ushirikina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. brainstorm007

    Hizi hela za zamani zina dili gani au ni ushirikina?

    Wenye ujuzi wa haya mambo tunaombeni elimu
  2. M

    Kwanini miji mingi waliyotawala waarabu kuna kiasi kikubwa cha kutumia ushirikina wa majini ?

    Halafu tofauti na mikoa mingine kwenye suala la ushirikina, mikoa hii unakuta watu wanachukulia poa wanajua flani ana majini 40, flani hachezewi anakutupia majini, ni sehemu zinazosifika kwa malimbwata, n.k. Tanga Pwani Tabora Lindi Pemba
  3. hamis77

    Sura za kurogea watu na kufanyia ushirikina

    Ushawahi kusikia kitu kinaitwa Ruqyah?, Ingawa Waislamu wanadai Ruqyah ni njia ya "kukinga na sihirk", ukweli mchungu ni kwamba sehemu kubwa ya sura zinazotumika (kama Surah Al-Falaq, An-Nas, Ayatul Kursi,Surah Al- Jinn) zinasomwa kwa nia ya kuwasiliana na ulimwengu wa majini. Mfano,Surah...
  4. R

    Kamanda Mulilo: Ushirikina, Kudaiana ni miongoni mwa sababu za watu kupotea

    MULILO: USHIRIKINA , KUDAIANA MIONGONI MWA SABABU WATU KUPOTEA Mheshimiwa Kamanda Mulilo, Soka et al nao walikuwa wanadaiana? Mdude naye alikuwa anadaiwa, Mawazo naye alikuwa anadaiwa, Kangoye naye alikuwa anadaiwa? Na wengine wa kundi hilo la chadema Pili Mbona wote ni wa Chadema...
  5. jamaikatz

    Maisha magumu, Dunia haina huruma, duniani unaishi kwa mateso na bado ukifa unaenda kuteseka, bora kuwa tajiri wa ushirikina

    Sisi binadamu tunaishi maisha yenye dhambi sana duniani, bado ni maskini lakini tunazidi kufanya maovu unafikiri siku ukifa je utaenda peponi hilo ni jambo gumu sana, ni bora uishi maisha ya raha yenye utajiri, yenye dhambi na hata kwa kutoa kafara ila tu umeifaidi dunia, kuliko kuishi maisha...
  6. Festi mbuya

    Mahusiano yenye changamoto za ushirikina na kulazimishana

    Hello habari, nina changamoto kidogo naomba msaada, mwaka jana mwezi wanane nilikutana na mwanamke na nikaanzisha naye mahisiano na sababu ilo fanya mahusiano yaendelee alipodai kuwa anaujauzito niliendelea kumsapoti nilipoweza mpka ulipofika mwezi wa kumi na mbili ambapo alidai ujauzito...
  7. laii

    Mtu anaweza kuazima "kijinga cha moto" au "mkaa unaowaka" kwa nia ya kutumia kwenye ulozi au ushirikina

    🔥 Kijinga cha moto katika ushirikina huweza kuwa: 1. Kifaa cha kupeleka ujumbe wa kipepo – yaani, moto huo ukatumika kuteketeza au "kuwasha" madhabahu ya giza. 2. Njia ya kuingiza uchawi au uchafu kiroho kwenye nyumba ya mtu – kwa sababu mkaa huo una uhusiano wa moja kwa moja na chanzo (yaani...
  8. Setfree

    Kama unaogopa kulala nyumba zenye uchawi au ushirikina, dawa hii hapa

    Shetani na mapepo ni viumbe wasioonekana kwa macho. Hao ndio wanaosababisha vitisho, hofu, nywele kusisimka, unasikia maneno au sauti bila kuona mtu anayeongea, kukandamizwa kifua, kunyolewa nywele, kujikuta umelala nje ya nyumba na kitanda chako nk nk. Ukilala katika nyumba zenye uchawi au...
  9. Pdidy

    Marejesho yanachangia sana uzinifu wa wake za watu na ushirikina kwenye ndoa

    Bw na bibi marejesho Naomba tu nikujuze kwa kweli ulipofikia sio pazuri Ingawa baadhi wanawapenda lakini hapana mpunguze makali ktk familia za watu Wapendwa nimeona niwajuze tu kwenye ndoa kuna mengi sana Kati ya mambo yanayotesa n marejesho.... Marejesho yamekuwq n shida sana ktk baadhi ya...
  10. R

    Mwanamke mrembo kuzaa na mwanaume masikini ni mapenzi ya kweli, bahati, hajui kukataa, ushirikina au ni kitu gani ?

    Mabinti warembo / Visu / Pisi Kali huwa wana demand kubwa, atafatwa na wanaume wa aina nyingi, yeye ni kuchagua tu Inapotokea mwanamke mrembo kampenda hadi kumzalia mwanaume masikini huwa ni kipi . Mapenzi ya kweli Ni cha wote Ushirikina / Ndumba Bahati ama kuna cha ziada
  11. Mshana Jr

    Mada ya ushirikina: Miongozo namna watu wanavyoumizwa kwenye ulimwengu usio na ithibati za kisayansi

    Ni mpaka yakukute haya mambo ndio unaweza kukaa chini na kuanza kuyatafakari kwa kina Ushirikina hauna ithibati za kisayansi LAKINI UPO na unafanya kazi Ushirikina ni kama moshi.. Upo una uona lakini huwezi kuushika Ushirikina ni kama akili.. Unayo lakini huwezi kumuonesha yeyote.. Ni matokeo...
  12. ELI COHEN

    VIDEO: Jamaa kashtuka saa nane usiku dali limefungulia na panya mkubwa kaingia chumbani kwake.

  13. kavulata

    Kwanini TFF inakaa kimya ushirikina wa Simba?

    TFF na Simba kuna uhusiano gani? Simba inaonyesha waziwazi kuwa inafanya ushirikina kwenye michezo lakini Bodi ya ligi na TFF wanajifanya hawaoni kitu; tena inazilazimisha timu nyingine zikutane na ushirikina wa Simba kwa kuzipa faini timu zinazojitahidi kukwepa kukutana na ushirikina wa Simba...
  14. Leejay49

    Eti madaktari wa humu na wajuvi wa mambo, Hii ni kawaida mwenye mtoto wa miezi sita amejifungua mtoto mwingine

    Wasalaaamu,. Tuko na wapangaji wetu hapa,. Ni mtu na mke wake lakini sio watu wazima ni vijana tu wa kawaida... Huyu Binti mwaka jana mwezi wa10 tarehe za mwanzoni alijifungua mtoto( sikumbuki exactly ile tarehe tumeenda kumwona hospitali ilikuwa tarehe ngapi),. Means mwanae mpaka mwezi huu...
  15. Mshana Jr

    Mafunzo ya ushirikina kwa kutumia mshumaa na udi

    Mishumaa unawakilisha kipengele cha Moto (kitendo, shauku, kuangaza au kuangamiza vitu) wakati uvumba/udi kwa kawaida huwakilisha Hewa (wazo, mawazo, akili) au hewa + moto... Katika biashara mahususi, tuna jozi ya mishumaa kuwakilisha Mungu na Mungu wa kike, mishumaa 4 kuwakilisha kila...
  16. S

    Mti ulioanguka na baadae kusimama wenyewe Geita ni sayansi wala siyo ushirikina kama wengi wanavyoripoti

    Iko hivi! Kuna taarifa ya mti uliokuwa umeanguka kuonekana umesimama tena baada ya kukatwa matawi huko geita. Tukio hili wengi wamelihusisha na imani mbalimbali za dini zao! Lakini kiuhalisia mambo kama haya hutokea na kwa sisi tulioishi porini tushashuhudia sana wala si mara moja! Sayansi...
  17. Fufua Tumaini Jipya

    Nahisi mzazi wangu anafanya ushirikina

    Wakuu habari. Nipo mzazi wangu , nahisi anafanya ushirikina . Maana sifa za MTU mchawi hizi hapa -hapendi mafanikio yako -ukimwambia jambo lako halifanikiwi hata iweje -Ana chuki , anamchukia kila mtu -Hana Shukran Ila kubwa kuliko yote anamchukia Sana mzee wangu baba Hii hali...
  18. Z

    Ushirikina na Rushwa kutumika kusaka madaraka ni hatari.

    Tukatae kuwachagua viongozi wanao tumia nguvu za giza/ushirikina kupata uongozi. Imekuwa jadi kwa viongozi wengi katika nafasi zao kutumia USHIRIKINA kupata na fasi na kulinda nafasi zao. tuwakatae viongozi wenye tabia hizo. Unamkuta kiongozi hana uwezo wa kuiongoza hata familia yake lakini...
  19. Forrest Gump

    Kipi kilichokufanya ukashtuka kujua kumbe ulikuwa unafanyiwa ushirikina na hatua gani ulichukua?

    Karibuni wakuu, Watu wamefanyiwa ndumba sana hadi kufanya mambo yao yaharibike, wengine walishtuka ila wengine ndio hivyo mazima walipotea katika giza waliloletewa
  20. Minjingu Jingu

    Video: Inawezekana kuukamata Ushirikina kwa Video ikiwa kwa macho ya nyama huoni?

    Wataalamu watuambie hii ni artificial intelligence au ni kweli? Je cameras zinawezaka record wanga,misikule n.k ikiwa kwa macho ya nyama hawaonekani? Yaani mfano ukaamua uweke cctv camera nyumbani chumbani mwako. Inaweza mrecord mwanga? Je hii video ni halisi au AI?
Back
Top Bottom