Leo nabadilisha tairi za gari yangu BMW 3-series E90. Nauza tairi ilizokuja nazo toka Singapore mwezi huu. Tairi bado zina tread nzuri.
Size ni 225 45R17
Continental ContiSport run-flat.
Bei elfu 50 kila tairi mazungumzo yapo.
0759970963
Mwenyekioo cha hii simu anicheki haraka, Kiwe used. Offer chini ya 100k. Maeneo ya Dar, Moro na Dom tunaweza kuwasaliana kwa haraka zaidi. Mawasiliano 0715175518.
Nauza Iphone 7 Plus 32 GB - USED.
Kama mpyaa.. kila kitu funciton as new
95% Battery Health
Price: IMESHAUZWA
Location: IMESHAUZWA
Contact : IMESHAUZWA
Habari wanaforum,
Natafuta kioo cha Samsung Galaxy A20 kilichotumika na bajeti yangu ni 100,000/=.
Nipo Dar es salaam Kinondoni.
Kama atapatikani anitafute ili tuonane twende kwa fundi ili nikakifix na kuona kama kinafanya kazi ili tulipane pesa hizo.
Pesa yangu iko mfuko wa shati na hiyo...
- Used deskop inauzwa
- monitor inch 22 DELL
- CPU HDD 500 HP
- keyboard, mouse, wire zote zipo
- Bei 200,000 (laki mbili)
- contact: 0712518770
-eneo ilipo ni Temeke.
Secret agents most times hide during their operation and most times wouldn't like their identity to be unvieled and there for they go for special kinds of equipments.
Most times, secret agents don't make use of weapons openly, they rather make you of strange weapons that might be difficult to...
Ninauza PS4 Slim (imetumika kidogo), ina pad 2. Capacity 500GB. Nipo Dar (mkoani nitatuma pia but kwa gharama ya mnunuaji).
Bei TZS 780,000/=
Comes with CD ya Fifa19
Mawasiliano: +255 752 998 891
Camera: Canon 5D Mark III
Lens: Canon EF 24-70mm f/2.8L
Camera Gimbal: DJI Ronin S
Laptop: MacBook Pro 15’inch 500GB
Hard Drive: 1TB Transcend
Camera mic: Rode VideoMic Pro
Headphone: Sony MDR7506
Kama unavyo, tuchekiane hapa
direct call: +255683018095 | WhatsApp: +255676095799
Wakuu habari ningependa kufahamu uzoefu kidogo juu ya uagizaji magari used kWA kutumia mtandao wa be foward.
1. Huwa uinachukua mda gani toka ulipoagiza gari na mpaka unalipata?
2. Unaweza kujua mpaka kodi ya TRA+ gharama za TPA kabla ya kuwalipa pesa ya gari mtandaoni?
3. Kuna usumbufu gani...
Salamu wana bodi,
Nina shida na gear box ya nissan caravan. Natafuta used. Msaada tafadhali.
Hata kwa asiye nayo ningeoenda nipate mchango kuwa bei zake zikoje.
Asanteni
A US-based Kenyan scientist has unveiled the world's first antiretroviral (ARV) drug to be taken once-a-year.
Prof Benson Edagwa and his colleagues at the University of Nebraska Medical Center modified an existing ARV drug - cabotegravir - to enable the body to absorb and release it slowly from...
KUPITIA #COVID19 DEMOKRASIA INAKIUKWA, ASASI ZA KIRAIA ZINAPASWA KUPAMBANA
Serikali nyingi za Afrika zimesifiwa kwa hatua zilizochukua kudhibiti kusambaa kwa #CoronaVirus. Japokuwa zuio la kubaki ndani limeleta matatizo mengine
Moja kati ya pingamizi kubwa ni kuwa njia zinazotumiwa na mataifa...
Bodies are in effect left to spoil out and about as authorities battle to adapt to coronavirus passings in an Ecuadorian city.
At any rate 150 bodies were left in the city or kept in the homes of lamenting family members in Guayaquil as the dangerous bug attacks the ghastliness struck port city...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.