used

  1. TheDreamer Thebeliever

    JamiiForums Tanzania Anayejua biashara ya kununua simu used toka Kenya?

    Habari wadau. Mtu anayejua wapi unaweza nunua simu used kwa bei nafuu nje ya nchi katika huu ukanda wetu wa SADC na kuzi import hapa Tz. Asanteni.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Nauza tairi used BMW

    Leo nabadilisha tairi za gari yangu BMW 3-series E90. Nauza tairi ilizokuja nazo toka Singapore mwezi huu. Tairi bado zina tread nzuri. Size ni 225 45R17 Continental ContiSport run-flat. Bei elfu 50 kila tairi mazungumzo yapo. 0759970963
  3. Kaka Sai

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kioo cha Samsung Galaxy S7 edge kilichotumika

    Mwenyekioo cha hii simu anicheki haraka, Kiwe used. Offer chini ya 100k. Maeneo ya Dar, Moro na Dom tunaweza kuwasaliana kwa haraka zaidi. Mawasiliano 0715175518.
  4. eli_dealz

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Iphone 7 Plus 32 GB (Used) Clean as new full box

    Nauza Iphone 7 Plus 32 GB - USED. Kama mpyaa.. kila kitu funciton as new 95% Battery Health Price: IMESHAUZWA Location: IMESHAUZWA Contact : IMESHAUZWA
  5. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta tairi used za Bajaj (Ganda la nje)

    Habari wakuu. Natafuta tairi mbili zilizotumika za Bajaj ambazo zipo kwenye Hali nzuri ili niweke kwenye Bajaj yangu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Samsung galaxy s6 used 60,000 TZS

    Imeuzwa tayari
  7. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania CCM they used the word "Wanyonge" to deceive ignorant

    To be honest Hon JP, has already lost influence, so he used the Word " "Wanyonge" in order to find sympathetic .
  8. Arch Mnyaheru

    JamiiForums Tanzania Mwenye kioo cha Samsung A20 used nakihitaji. Nina Tshs. 100,000/=

    Habari wanaforum, Natafuta kioo cha Samsung Galaxy A20 kilichotumika na bajeti yangu ni 100,000/=. Nipo Dar es salaam Kinondoni. Kama atapatikani anitafute ili tuonane twende kwa fundi ili nikakifix na kuona kama kinafanya kazi ili tulipane pesa hizo. Pesa yangu iko mfuko wa shati na hiyo...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Landrover Diffender used kwa ajili ya kununua-hata kama imepaki

    Please nahitaju kununua Landrover Diffender iliyotumika, kama kuna mwenye nayo anirushie picha kisha tuongee biashara
  10. Loraa sum's

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Used Desktop

    - Used deskop inauzwa - monitor inch 22 DELL - CPU HDD 500 HP - keyboard, mouse, wire zote zipo - Bei 200,000 (laki mbili) - contact: 0712518770 -eneo ilipo ni Temeke.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Pictures of stange Guns used by Secret Agents

    Secret agents most times hide during their operation and most times wouldn't like their identity to be unvieled and there for they go for special kinds of equipments. Most times, secret agents don't make use of weapons openly, they rather make you of strange weapons that might be difficult to...
  12. T

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Used PS4 Slim: 2pads & 500GB Capacity (Excellent Condition; Warranty sticker in place)

    Ninauza PS4 Slim (imetumika kidogo), ina pad 2. Capacity 500GB. Nipo Dar (mkoani nitatuma pia but kwa gharama ya mnunuaji). Bei TZS 780,000/= Comes with CD ya Fifa19 Mawasiliano: +255 752 998 891
  13. Alex Hamadi Hamis

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kununua vifaa hivi vya production (USED)

    Camera: Canon 5D Mark III Lens: Canon EF 24-70mm f/2.8L Camera Gimbal: DJI Ronin S Laptop: MacBook Pro 15’inch 500GB Hard Drive: 1TB Transcend Camera mic: Rode VideoMic Pro Headphone: Sony MDR7506 Kama unavyo, tuchekiane hapa direct call: +255683018095 | WhatsApp: +255676095799
  14. Alex Hamadi Hamis

    JamiiForums Tanzania Natafuta godoro used 5*6 inches 8

    Nahitaji godoro used, 5 kwa 6. Liwe kati ya inches 6 au 8. Nipo Sinza A, karibu na Mlimani City. Tuwasiliane kwa +255683018095
  15. Alex Hamadi Hamis

    JamiiForums Tanzania Nahitaji godoro (5x6, 8inches)

    Nahitaji godoro used, 5 kwa 6. Liwe kati ya inches 6 au 8. Nipo Sinza A, karibu na Mlimani City. Tuwasiliane kwa +255683018095
  16. MONA WA KYEN

    JamiiForums Tanzania Uagizaji magari used Be foward

    Wakuu habari ningependa kufahamu uzoefu kidogo juu ya uagizaji magari used kWA kutumia mtandao wa be foward. 1. Huwa uinachukua mda gani toka ulipoagiza gari na mpaka unalipata? 2. Unaweza kujua mpaka kodi ya TRA+ gharama za TPA kabla ya kuwalipa pesa ya gari mtandaoni? 3. Kuna usumbufu gani...
  17. C

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Used gear box ya Nissan Caravan

    Salamu wana bodi, Nina shida na gear box ya nissan caravan. Natafuta used. Msaada tafadhali. Hata kwa asiye nayo ningeoenda nipate mchango kuwa bei zake zikoje. Asanteni
  18. Kevin85ify

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyan scientist unveils ARV drug to be used once a year

    A US-based Kenyan scientist has unveiled the world's first antiretroviral (ARV) drug to be taken once-a-year. Prof Benson Edagwa and his colleagues at the University of Nebraska Medical Center modified an existing ARV drug - cabotegravir - to enable the body to absorb and release it slowly from...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania The pandemic is being used to erode democratic freedoms. Civil society must fight back

    KUPITIA #COVID19 DEMOKRASIA INAKIUKWA, ASASI ZA KIRAIA ZINAPASWA KUPAMBANA Serikali nyingi za Afrika zimesifiwa kwa hatua zilizochukua kudhibiti kusambaa kwa #CoronaVirus. Japokuwa zuio la kubaki ndani limeleta matatizo mengine Moja kati ya pingamizi kubwa ni kuwa njia zinazotumiwa na mataifa...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Bodies placed on roadside like Dirty ,Boxes used as Cofins as Deaths becomes Un imaginable...

    Bodies are in effect left to spoil out and about as authorities battle to adapt to coronavirus passings in an Ecuadorian city. At any rate 150 bodies were left in the city or kept in the homes of lamenting family members in Guayaquil as the dangerous bug attacks the ghastliness struck port city...
Back
Top Bottom