used

  1. Barbarosa

    Top ranking US Catholic Cardinal says COVID 19 used to advance Godless and Murderous Agenda!

    Ipo siku mtamkumbuka D.Trump wakati tayari mtakuwa mmeshachelewa, kinachokuja huko mbele ni pure evil, hata Kanisa limeanza kuona, D.Trump ndiye pekee aliyekuwa anawazuia Globalist kuwafanya Watumwa, sasa wote ni lazima mpigwe chanjo na huo ndio mwanzo tu, ... Full video hapo chini.
  2. Komeo Lachuma

    Tyres Used nzuri kwa Bei Rafiki

    Nahitaji Tyres used ambayo toka itengenezwe haijafikisha miaka 5. Iwe haijachongwa. Size 235/70/15. Ushauri wa kununua mpya kaa nao. Nmesema nataka used. So usilete habari za kike. Maana wadada na wale wenzao mchicha mwiba hushauri jambo ambalo hawajaulizwa. NATAKA TYRES USED 4. ZISIWE...
  3. TheDreamer Thebeliever

    Anayejua biashara ya kununua simu used toka Kenya?

    Habari wadau. Mtu anayejua wapi unaweza nunua simu used kwa bei nafuu nje ya nchi katika huu ukanda wetu wa SADC na kuzi import hapa Tz. Asanteni.
  4. C

    Nauza tairi used BMW

    Leo nabadilisha tairi za gari yangu BMW 3-series E90. Nauza tairi ilizokuja nazo toka Singapore mwezi huu. Tairi bado zina tread nzuri. Size ni 225 45R17 Continental ContiSport run-flat. Bei elfu 50 kila tairi mazungumzo yapo. 0759970963
  5. Kaka Sai

    Nahitaji kioo cha Samsung Galaxy S7 edge kilichotumika

    Mwenyekioo cha hii simu anicheki haraka, Kiwe used. Offer chini ya 100k. Maeneo ya Dar, Moro na Dom tunaweza kuwasaliana kwa haraka zaidi. Mawasiliano 0715175518.
  6. eli_dealz

    Phone4Sale Iphone 7 Plus 32 GB (Used) Clean as new full box

    Nauza Iphone 7 Plus 32 GB - USED. Kama mpyaa.. kila kitu funciton as new 95% Battery Health Price: IMESHAUZWA Location: IMESHAUZWA Contact : IMESHAUZWA
  7. K

    Natafuta tairi used za Bajaj (Ganda la nje)

    Habari wakuu. Natafuta tairi mbili zilizotumika za Bajaj ambazo zipo kwenye Hali nzuri ili niweke kwenye Bajaj yangu.
  8. M

    Samsung galaxy s6 used 60,000 TZS

    Imeuzwa tayari
  9. DR HAYA LAND

    CCM they used the word "Wanyonge" to deceive ignorant

    To be honest Hon JP, has already lost influence, so he used the Word " "Wanyonge" in order to find sympathetic .
  10. Arch Mnyaheru

    Mwenye kioo cha Samsung A20 used nakihitaji. Nina Tshs. 100,000/=

    Habari wanaforum, Natafuta kioo cha Samsung Galaxy A20 kilichotumika na bajeti yangu ni 100,000/=. Nipo Dar es salaam Kinondoni. Kama atapatikani anitafute ili tuonane twende kwa fundi ili nikakifix na kuona kama kinafanya kazi ili tulipane pesa hizo. Pesa yangu iko mfuko wa shati na hiyo...
  11. K

    Nahitaji Landrover Diffender used kwa ajili ya kununua-hata kama imepaki

    Please nahitaju kununua Landrover Diffender iliyotumika, kama kuna mwenye nayo anirushie picha kisha tuongee biashara
  12. Loraa sum's

    Computer4Sale Used Desktop

    - Used deskop inauzwa - monitor inch 22 DELL - CPU HDD 500 HP - keyboard, mouse, wire zote zipo - Bei 200,000 (laki mbili) - contact: 0712518770 -eneo ilipo ni Temeke.
  13. M

    Pictures of stange Guns used by Secret Agents

    Secret agents most times hide during their operation and most times wouldn't like their identity to be unvieled and there for they go for special kinds of equipments. Most times, secret agents don't make use of weapons openly, they rather make you of strange weapons that might be difficult to...
  14. T

    INAUZWA Used PS4 Slim: 2pads & 500GB Capacity (Excellent Condition; Warranty sticker in place)

    Ninauza PS4 Slim (imetumika kidogo), ina pad 2. Capacity 500GB. Nipo Dar (mkoani nitatuma pia but kwa gharama ya mnunuaji). Bei TZS 780,000/= Comes with CD ya Fifa19 Mawasiliano: +255 752 998 891
  15. Alex Hamadi Hamis

    Nahitaji kununua vifaa hivi vya production (USED)

    Camera: Canon 5D Mark III Lens: Canon EF 24-70mm f/2.8L Camera Gimbal: DJI Ronin S Laptop: MacBook Pro 15’inch 500GB Hard Drive: 1TB Transcend Camera mic: Rode VideoMic Pro Headphone: Sony MDR7506 Kama unavyo, tuchekiane hapa direct call: +255683018095 | WhatsApp: +255676095799
  16. Alex Hamadi Hamis

    Natafuta godoro used 5*6 inches 8

    Nahitaji godoro used, 5 kwa 6. Liwe kati ya inches 6 au 8. Nipo Sinza A, karibu na Mlimani City. Tuwasiliane kwa +255683018095
  17. Alex Hamadi Hamis

    Nahitaji godoro (5x6, 8inches)

    Nahitaji godoro used, 5 kwa 6. Liwe kati ya inches 6 au 8. Nipo Sinza A, karibu na Mlimani City. Tuwasiliane kwa +255683018095
  18. MONA WA KYEN

    Uagizaji magari used Be foward

    Wakuu habari ningependa kufahamu uzoefu kidogo juu ya uagizaji magari used kWA kutumia mtandao wa be foward. 1. Huwa uinachukua mda gani toka ulipoagiza gari na mpaka unalipata? 2. Unaweza kujua mpaka kodi ya TRA+ gharama za TPA kabla ya kuwalipa pesa ya gari mtandaoni? 3. Kuna usumbufu gani...
  19. C

    Nahitaji Used gear box ya Nissan Caravan

    Salamu wana bodi, Nina shida na gear box ya nissan caravan. Natafuta used. Msaada tafadhali. Hata kwa asiye nayo ningeoenda nipate mchango kuwa bei zake zikoje. Asanteni
  20. Kevin85ify

    Kenyan scientist unveils ARV drug to be used once a year

    A US-based Kenyan scientist has unveiled the world's first antiretroviral (ARV) drug to be taken once-a-year. Prof Benson Edagwa and his colleagues at the University of Nebraska Medical Center modified an existing ARV drug - cabotegravir - to enable the body to absorb and release it slowly from...
Back
Top Bottom