Habari Ndugu,
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Brand zilizopo ni Hisence na Boss
Bei ni 750,000 (Mazungumzo yapo boss)
Mahali zinakopatikana ni Kimara darajani (Kimara mwisho)
TV zilikuwa zinatumika Kibiashara kwenye Kukodisha Ukumbini kwa ajili ya Sherehe.
Zinauzwa hazina tatizo lolote...
Habari wakuu.
Nauza Bajaj TVS, ipo Mbauda Arusha. Ipo katika Hali njema. Bei 2.3m. Mazungumzo kidogo yapo Kwa mteja atakayekuwa serious.
Simu 0776655978 au 0656388678
Tunauza mashine za photocopy used pamoja na vifaa vingine vya ofisi zilizo katika hali nzuri na ubora..spea zake zipo ..toner pia upo ..na tunatoa warranty ya siku 30,Bei zetu zinatofautina na ufanyaji kazi wa mashine na ukubwa wake,tupigie tukupe ushauri ipi inakufaa kwa kazi zako na shuhuli...
Nauza EXTERNAL HDD 750GB used but but in Mint Condition.
Haina tatizo,inaweza kutumika pia kama internal
70,000/=
location:Dar-es-salaam
wa.me.255716889489
used smart tv : inch 43 imetumika miezi 3
Kampuni: homebase
Ina :warranty,boksi,stand ya ukutani na chini, remote na waya zake
Eneo: Dar-es-Salaam, Ubungo Riiverside
Bei: 650,000
Contact: 0712518770.
Wakuu,
FRIJI liwe na sifa zifuatazo
Used kubwa 1.5 au 2 size
Lisiwe chakavu
Lisiwe na hitilafu yoyote
Linaweza kuwa Aina ya Boss and the like but the Boss much prefered..
Uwe tayari kunisafirishia
Malipo baada ya makubaliano.
Inbox
Ahsante..
Stop over auto parts, wataalam wa kuuza spares za Coaster aina zote na magari aina ya Coaster used,tumekuwa tukiwasaidia wanunuzi wa Coaster Used mambo muhimu ya kujua kabla hujanunua Coaster used. Mambo hayo ni pamoja na kukagua gari ukiwa na fundi mzoefu uliyenaye au ukitaka tutumie mafundi...
Kuna makampuni mengi South Africa yanauza matekta na zana za kilimo kwa bei ambayo sio mbaya sana huku yakiwa kwenye ubora mzuri.
Kwa wenye ujuzi au waliowahi kununu vip ubora wake upoje na pia kuna changamoto gani kwenye hizo zana za kilimo.?
Homeboyz donates cars to Raila Odinga
Friday, October 01, 2021
ODM Leader Raila Odinga (centre) when he received vehicles donated by Homeboyz Entertainment in partnership with Mombasa-based businessman Bernard Odhiambo at Chungwa House on October 1, 2021.
Courtesy | ODM
Samwel Owino...
Habari wakuu wale wazee wa maofisini ambao kila gazeti lazima mnunue, usilimbikize gazeti ulizosoma ofisini, ninanunua Gazeti used kwa kilo moja shilingi elfu moja 1000/TZ SH.
Hata kama una kilo 1000 niambie nitanunua zote, hata ukiwa na tan 10 za gazeti ninanunua kwa kilo shilingi elfu moja...
je una bidhaa ambayo unataka kuiuza?
karibu tukuuzie bidhaa yako iliyotumika ,
jiunge na group letu la whatsapp
https://chat.whatsapp.com/FVBnU70HjaE2pyVxB7nTth
Suffering from a case of Syphilis? Don’t worry, the Tudor’s got you🥺
Syringe recovered from Henry VIII’s ship the Mary Rose which sank in 1545.
These syringes were often times used to treat syphilis by injecting mercury.
Syringes were used as urethral syringes, for treating diseases such as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.