used

  1. February Makamba

    Ushauri jamani, nimeshaharibu sinunui tena vitu used

    Wakuu kwema? Mimi kijana wenu mtiifu nimekuja kwenu nikiwa na majanga naomba mnisaidie. Nilinunua simu mtandaoni kupitia kupatana.com, niliona bei ni nzuri nikamcheki jamaa nikachat nae kwenye hiyo website na akanipa namba. Nikampigia kwa simu ya kawaida maana namba haikuwa WhatsApp, tukaongea...
  2. monotheist

    Aliyewahi kwenda Zanzibar kununua vitu vya electronic bei ipoje?

    Wajuvi nina mpango wa kwenda zanzibar kununua vitu used vya electronic kama ps3, ps4 na computer je hivi vitu vinapatikana kwa bei rahisi kweli na upatikanaji wake upoje na vipi kuhusu kodi
  3. JITU LA MIRABA MINNE

    Kariakoo sehemu gani naweza kupata simu used kwa bajeti kama laki 2?

    Wazee kichwa cha habari kinajitosheleza
  4. F

    Wizi wa cover za nyuma za side mirror unakuwa kwa kasi unazaminiwa na wauza spea (used) wa magari

    Habari wadau. Kuna wizi wa ajabu sana kwenye magari. Wanaiba cover ya nyuma ya side mirror tu sababu ni rahisi kuzichomoa. Hawachukui side mirror nzima. Na wanaiba sababu wanajua mwenye gari lazima ukanunue tena hicho ki cover. Wezi wanaenda kuwauzia wauza spea hivyo vi cover vya wizi na...
  5. shalet

    Natafuta Marine board used Dar es salaam

    Habari wadau, Nipo maeneo ya Goba, ziwe zimetumika mara moja tu. ziwe kwenye hali nzuri. tuchekiane inbox.
  6. salehek

    Kabati la mbao used

    Bei: 160000 Location: Chanika kwazoo Lipo katika hali nzuri 0787969674
  7. Suley2019

    Lee Njiru: Wafanyakazi wa Ikulu walitumia uchawi kulinda vibarua vyao wakati wa utawala wa Moi

    Picha: Msemaji wa zamani w Serikali, Kenya Lee Njiru Aliyekuwa Msemaji wa Serikali wakati wa utawala wa Daniel arap Moi, Lee Njiru amefunguka kuhusu jinsi baadhi ya wafanyikazi wa Ikulu walivyokuwa wakitumia uchawi ili kubaki Ikulu. kujiweka afisini wakati wa uongozi wake kama msemaji rasmi wa...
  8. Mathanzua

    Bioweapons: How safe are we?

    You can take someone's DNA and design a weapon that can kill him. People are therefore warned not to share health data harphazardly because it can be used to program new bio-weapons to target them. US Rep.Jason Crow warned that bio-weapons are now being made that use a target's DNA to only...
  9. Luhama

    Nahitaji gari used

    Habarini wakuu. Ninahitaji gari kati ya IST, Vitz, Swift na Suzuki Jimmy. Budget yangu ni 5.5. Sihitaji dalali, nataka niwasiliane na mmiliki moja kwa moja. Asanteni.
  10. A

    INAUZWA Sofa used zinauzwa

    Sofa used zinauzwa bei Tsh 200,000 kwa zote mbili. Zipo Mbezi kwa Musuguri Dar es salaam. Mazungumzo yapo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kupitia namba 0762890123.
  11. Sky Eclat

    It’s called ECO toilet, it can compose human waste and can be used as manual.

    It can be cleaned with water and you don’t need running water to use it. After cleaning with water you can wipe the surface with antibacterial wipes.
  12. The Signal

    Natafuta chainsaw used

    Habarini wadau kama mada inavyojieleza hapo juu. Natafuta chainsaw used. 1.Aina ni HUSGVARNA(272) 2.20 Inches Kwa mtu aliyetayari naomba tuwasiliane NB. Iwe kwenye hali nzuri isiwe imechoka.
  13. Donnie Charlie

    If you used this computer, you should be above 35…

    Prince of Persia.
  14. profesawaaganojipya

    Naomba kujua kodi za kuagiza gari used na mpya

    Wadau wa JF naomba nijuzwe kwa ufasaha, kodi ipi ni kubwa, kati ya kuagiza gari mpya kabisa japan, na gari used japan, mfano gari toyota premio ya 2011 na ya premio mpya sio used ni mpya ya 2018.
  15. EmmanuelKamaghe

    INAUZWA Total station kwa ajili ya kazi za survey bila chaja na begi lake inauzwa Tsh Milioni 2

    TOTAL STATION KWAAJILI YA KAZI ZA SURVEY BRAND NI TOPCON USED BILA CHAJA NA BEGI LAKE.... 2 MILLION. MAWASILIANO 0621390287 WHATSAPP AND NORMAL CALLS.
  16. A

    Soko la used computer UAE

    Kwa wale walioko kwenye soko la kuuza used computers na spare part au accessory zake na wanatafuta soko la kununua vifaa hivi kwa bei poa ya jumla karibuni UAE, soko linajitosheleza kabisa, unachokitaka kwenye hili soko utakipata, model kuanzia 2010 and above. Kwa maelezo zaidi niletee DM
  17. peter msuku

    INAUZWA Nunua pikipiki used nzima haina kipengele

    Habari. Kama unaitaji pikipiki used za aina yoyote na kwa Bei unayoitaka tutakupatia tunapikipiki za aina zote. Tembelea Instagram @saantz_pikipiki_used Tupigie simu namba 0684998047 tukuhudumie mikoani pia tunatuma
  18. Samatime Magari

    🚨ONYO: Ukinunua gari used kabadilishe Jina

    Ni Mwishoni mwa mwaka 2021 Kipindi cha sikukuu Kabla hatujaupokea mwaka Kimario alinipigia simu asubuhi asubuhi akaniambia kuna issue very sensitive anahitaji msaada wangu, Nilijaribu kudadisi issue ni nini akaniambia ni muhimu tuonane kwanza ndio ataniambia. . Alisisitiza issue ni sensitive...
  19. geofreyngaga

    Nahitaji used gas oven

    Habari. Kwa yeyote anaeuza au anajua wapi naweza pata oven inayotumia gesi yenye uwezo wa kubeba mikate 90 ile tunayosema gram 500. Note: iwe used. Iwe Dar Pwani au Morogoro Call/Whatsapp 0652494919
  20. S

    Nahitaji Battery used ya Toshiba satellite

    Habari wakuu Nahitaji battery used ya Toshiba satellite ,aliyenayo atume Bei yake na picha (Kwa Dar es salaam tu) WhatsApp +255765696086 Models PA5024U-1BRS,PA5025-1BRS au PABAS260
Back
Top Bottom