urusi

Urusi was a civitas and ancient episcopal see of the Roman province of Africa Proconsularis in present-day Tunisia.
The town flourished from 30BC until 640AD and has been tentatively identified with ruins at Henchir Soudga, (9.57727n 35.98709e) in Siliana Governorate. The ruins lie just outside the Jebel Serj National Park.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Urusi imehusisha asilimia 75% ya jeshi lake lote kwenye huu ugomvi, na bado shughuli ipo

    Ama kwa kweli Urusi amedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kwamba ahusishe asilimia 75% ya jeshi lake lote na kuacha nyumbani asilimia ndogo ilinde nchi, yote hii kupambana na kataifa kadogo kama Ukraine, na mpaka sasa wiki imeisha hajafaulu kukafagia......kwamba hata akifaulu kuteka Kiev leo hii...
  2. John Haramba

    Memba wa Umoja wa Mataifa waondoka ukumbini, wasusia hotuba ya Waziri wa Urusi

    Zaidi ya wajumbe 140 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, leo Machi Mosi, 2022 walitoka nje ya ukumbi baada ya kukataa kusikiliza hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Lavrov. Waziri huyo alikuwa akishiriki mkutano huo kwa njia ya video kutokana na mipaka ya ndege...
  3. beth

    Mamlaka Nchini Ukraine zasema shambulio la Urusi limeua Wanajeshi 70

    Mamlaka Nchini Ukraine zinasema shambulio la Urusi limeua Wanajeshi wapatao 70 kwenye Kitengo cha Kijeshi huko Okhtyrka, Mji ulioko kati ya Kharkiv na Kyiv. Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watu waliokimbia Nchini Ukraine kutokana na machafuko yanayoendelea imeongezeka kufikia 520,000. Aidha...
  4. John Haramba

    FIFA, UEFA washirikiana kuifungia Urusi michuano yote, klabu na timu za taifa

    Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) na Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA) kwa pamoja wametangaza kuzifungia timu zote za Urusi katika michuano ya kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa hadi hapo itakapotolewa taarifa nyingine. Mamlaka hizo za soka zote zimetoa tamko la pamoja...
  5. beth

    Urusi yaendelea kuishambulia Ukraine licha ya mazungumzo yanayolenga kusitisha mapigano

    Mashambulizi ya Urusi Nchini Ukraine yameendelea kwa siku ya tano licha ya mazungumzo yanayolenga kusitisha mapigano. Inaripotiwa kuwa, mashambulizi ya makombora yameua watu kadhaa katika Mji wa Kharkiv, huku ving'ora vya mashambulizi ya anga vikisikika tena katika Mji Mkuu wa Kyiv. Rais...
  6. joseph1989

    Ukraine amuomba Roman Abramovic aongoze mazungumzo ya Usuluhishi kati yake na Urusi

    Naona Ukraine hapa kamchagua Roman Abramovic sababu zinaiva na Putini. --- Russian billionaire businessman Roman Abramovich, who owns Premier League football club Chelsea, has accepted a Ukrainian request to help negotiate an end to the war in Ukraine, his spokesperson said. Word of...
  7. kmbwembwe

    Kama ni uvamizi wa nchi nyingine, Urusi siyo wa kwanza

    Kama ni uvamizi wa nchi zingine nchi za kibeberu za Ulaya zinaongoza na Urusi sio ya kwanza. Ukianzia na kuzivamia nchi mbalimbali ikiwemo Afrika kuziweka kwenye ukoloni kuanzia karne ya 18 nchi za kibepari za Ulaya na Marekani ndio zinaongoza dunia kwa uvamizi wa nchi zingine.. Kuna Japan...
  8. John Haramba

    Mazungumzo ya Urusi, Ukraine yaanza, waandishi wa habari watolewa ukumbini

    Mazungumzo kati ya wawakilishi wa Ukraine na Urusi kuhusu uvamizi Ukraine yameanza nchini Belarus, kabla ya mkutano kuanza, waandishi wa habari wametolewa nje. Mwenyeji wa wageni hao ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus, Vladimir Makei amewakaribisha wajumbe hao na kuwataka wajihisi wapo...
  9. kt the irreplaceable

    Tafakuri jadidi: Je, Urusi ametengwa na washirika wake? Ikiwa NATO ataingia Ukraine kupambana, Urusi ataweza kupambana peke yake?

    Ndugu zangu ikiwa bado kuna mgogoro ukiendelea kufukuta nchini Ukraine, tumeshuhudia vikwazo na matamko mazito kutoka kwa NATO members na European union kwa Urusi. Ikiwa nato ataamua kwenda field physically kupambana na majeshi ya urusi, je Urusi ataweza kupambana mwenyewe? Ikumbukwe Nato ni...
  10. Miss Zomboko

    Russia: Benki Kuu yaongeza riba kudhibiti thamani ya shilingi na mfumuko wa Bei

    Benki kuu ya Urusi imetangaza kuongeza kiwango chake kikuu cha riba kufikia 20%, kutoka 9.5%, ili kukabiliana na hatari ya kushuka kwa thamani ya fedha yake na mfumuko wa bei wa juu, huku maafisa wakishindana kudhibiti vikwazo kutoka kwa vikwazo vya Magharibi. Moscow pia imeamuru makampuni...
  11. beth

    Bulgaria: Waziri wa Ulinzi hatarini kufutwa kazi kwa kusita kusema kinachoendelea Ukraine ni vita

    Waziri Mkuu, Kiril Petkov amesema atamfuta kazi Waziri wa Ulinzi, Stefan Yanev baada ya Kiongozi huyo kusita kuelezea uvamizi wa Urusi dhidi ya #Ukraine kama vita akisisitiza "Waziri wangu wa Ulinzi hawezi kutumia neno operesheni badala ya vita". Imeelezwa, Serikali ya Mseto itafanya mkutano...
  12. beth

    Umoja wa Ulaya wapiga marufuku ndege za Urusi

    Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza marufuku dhidi ya Ndege za Urusi, ikisema inafunga Anga lake kwa Ndege zinazomilikiwa na zilizosajiliwa na Urusi. Inamaanisha Ndege hazitoweza kutua, kuruka au kupita juu ya anga la Nchi yeyote ya EU. Umoja huo pia umesema utapiga marufuku Vyombo vya Habari vya...
  13. LICHADI

    Hii ni aibu kubwa sana kwa Urusi

    Taifa kubwa ulimwenguni kama Russia nilijua itawachukua siku 2 tu kuwazima Ukraine lakini ngoma ngumu, sasa wanapiga wanawake kwa watoto wanapiga makombora kwenye majengo kama hawaeleweki. Kibaya zaidi wanachi wa Ukraine wamekataa kugawanyika yaani hakuna mtu anayemlaumu Rais wao kwa maaumuzi...
  14. J

    Enzi za Ujamaa tungelazimishwa kuwaunga mkono Urusi

    Tungeambiwa sisi ni wajamaa hivyo ni lazima tuwaunge mkono wakomunisti hata kama ni kwa shingo upande. Mambo yamebadilika sana kwa mfano Tundu Lissu ndio anaishi upande wa magharibi. Maendeleo hayana vyama!
  15. MamaSamia2025

    TALIBAN imezitaka Urusi na Ukraine kutatua mzozo huo kwa njia za amani

    Kundi la Taliban linaloongoza serikali ya Afghanistan limezitaka Russia na Ukraine kumaliza tofauti kwa njia za amani. Hapa chini ni taarifa yake kwa kiswahili (sio rasmi).. "Emirate ya Kiislamu ya Afghanistan inafuatilia kwa karibu hali ya Ukraine na inaelezea wasiwasi wake juu ya uwezekano wa...
  16. kidadari

    Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

    Rais wa Urusi Vladimir Putin ameamuru jeshi la Urusi kuweka vikosi vyake vya nyuklia katika "tahadhari maalum" - kiwango cha juu cha tahadhari kwa Vikosi vya Kimkakati vya Kombora vya Urusi. Akizungumza na maafisa wakuu wa kijeshi, akiwemo Waziri wa Ulinzi Sergei Shoigu, alisema mataifa ya...
  17. sky soldier

    PICHA: Putin aliishi Tanzania 1973 hadi 1977 akiwa kama mkufunzi kwa wapigania uhuru

    Pana swala gumu kidogo, Picha ilikuwa ya 1973 lakini google wameandika Putin alimaliza chuo 1975, huenda ni maisha ya kijasusi labda chuoni ilikuwa ni zuga tu huku anaendelea na majukumu mengine. Anyway, nanyi mnaweza kutoa maoni yenu.
  18. John Haramba

    Wakitaka kumuondoa Abramovich kuimiliki Chelsea wamlipe trilioni 4.6

    Klabu ya Chelsea inaweza kuingia katika wakati mgumu kifedha ikiwa mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich ataondolewa klabuni hapo, kwani kutatakiwa kiasi kikubwa cha fedha alipwe kutokana na uwekezaji alioufanya tangu aanze kuimiliki klabu hiyo mwaka 2003. Imeelezwa kuwa kama watataka...
  19. President of China

    Nchi za ulaya zinazotegemea gesi ya Urusi

    Sasa nimeona nianze kuzungumza mambo ya Urusi sasa. Hapa duniani nchi iliyobarikiwa kwa resources nyingi chini ya ardhi ni Urusi. Leo nitaongelea nchi zinazoitegemea urusi kwa gas.
  20. John Haramba

    Urusi: Facebook yazuiwa kisa taarifa tata katika vita yao na Ukraine

    Urusi imezuia matumizi ya mtandao wa Facebook unaomilikiwa na Kampuni ya Meta Platforms Inc's (FB.O) nchini kwao kile kilichoelezwa kupishana katika masharti ya vitu vya kuweka mitandaoni wakati huu wa vita yao na Ukraine. Maamuzi hayo yameongeza presha kubwa kwa vyombo vya ndani ya Urusi...
Back
Top Bottom