Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,298
- 8,206
Mada tajwa hapo juu ni juu ya hawa African leaders.
Viongozi wetu wa Afrika wanakaa kimya juu ya vita ya Urusi na Ukraine kwasababu wanaogopa watanyimwa misaada.
Wataongea nini wakati wanaopigana ndio tunaowategemea. Nchi zinazo jitegemea tu ndio zinaweza kuongelea hiyo vita na kutoa ushauri.
Tegemezi marazote hukosa confidence ya kutoa mchango wake.
Ngoja habari kamili imo humu kwenye hii video.
Kama kuna kiongozi humu utanisamehe najua inauma sana lakini huu ndio uhalisia.
Viongozi wa nchi za kiafrika hii meseji iwafikie. Byeeeee.
Viongozi wetu wa Afrika wanakaa kimya juu ya vita ya Urusi na Ukraine kwasababu wanaogopa watanyimwa misaada.
Wataongea nini wakati wanaopigana ndio tunaowategemea. Nchi zinazo jitegemea tu ndio zinaweza kuongelea hiyo vita na kutoa ushauri.
Tegemezi marazote hukosa confidence ya kutoa mchango wake.
Ngoja habari kamili imo humu kwenye hii video.
Kama kuna kiongozi humu utanisamehe najua inauma sana lakini huu ndio uhalisia.
Viongozi wa nchi za kiafrika hii meseji iwafikie. Byeeeee.