urais

Kanako Urai (浦井 佳奈子, Urai Kanako, born September 26, 1981) is a Japanese professional wrestler currently signed to WWE, where she performs on the Raw brand under the ring name Asuka (アスカ, ) where she is the current Raw Women's Champion in her first reign.
Previously known as Kana (華名), she started her professional wrestling career in the AtoZ promotion in June 2004, where she remained until retiring in March 2006. She returned to the ring a year and a half later, starting to work as a freelancer for promotions such as JWP Joshi Puroresu, NEO Japan Ladies Pro-Wrestling, Pro Wrestling Wave, Reina Joshi Puroresu, Smash and Wrestling New Classic (WNC). Her achievements include winning the JWP Openweight Championship, NEO Tag Team Championship, Reina World Women's Championship, Smash Diva Championship and Wave Tag Team Championship.
In August 2015, Urai signed a developmental deal with WWE, making her the first Japanese female wrestler signed with the company in over 20 years. After spending two years in WWE's developmental branch NXT, where she is a former NXT Women's Champion (with her reign of 510 days being the longest in that title's history) as well as the Female Competitor of the Year (2016, 2017) and Overall Competitor of the Year (2017) NXT Year-End Award winner, Asuka was moved to the promotion's main roster in September 2017. In addition, the company has billed her as having the "longest undefeated streak in WWE history" at 914 days. In January 2018, she was the inaugural winner of the women's Royal Rumble match. She is also a former SmackDown Women's Champion, Women's Tag Team Champion (with Kairi Sane) and the 2020 Women's Money in the Bank ladder match winner, making her the first to win both the women's Royal Rumble and Money in the Bank matches. Following her Raw Women's Championship win, Asuka became the third Women's Triple Crown Champion and the second Women's Grand Slam Champion.
In December 2015, Dave Meltzer of the Wrestling Observer Newsletter stated that Urai "may be the best worker in WWE, man or woman". In 2017, Asuka became the first Japanese wrestler to top Pro Wrestling Illustrated's (PWI) annual PWI Female 50 list. Her techniques include various kicks and submission holds, leading to a reputation for a stiff wrestling style. Urai has also worked as a freelance graphic designer and video game journalist and through her work with Microsoft she has been sponsored by the company, wearing an Xbox 360 logo on her gear.

View More On Wikipedia.org
  1. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima (AAFP), Said Soud amechukua fomu kuwania Urais wa Zanzibar

    Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima (AAFP), Said Soud amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Urais Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho. Said aliyechukua fomu katika ofisi za chama hicho zilizoko Mwera, amesema iwapo atapata ridhaa hiyo atazingatia suala la amani na utulivu sambamba...
  2. aleesha

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi Urais Zanzibar 2020: Nafasi ya Maalim Seif Sharif Hamad

    Historia ya siasa za Zanzibar haiwezi kuandikwa ikakamilika bila kulitaja jina la Seif Sharif Hamad. Maalim ni mtu mmoja mwenye sehemu kubwa katika historia hiyo na kamwe hapuuziki. Maalim alizaliwa tarehe 22 Oktoba mwaka 1943 huko Mtambwe Nyali kisiwani Pemba. Yeye ni mtoto wa pekee kwa mama...
  3. Influenza

    JamiiForums Tanzania Namba 30: Mussa Aboud Jumbe, Mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Aboud Jumbe amechukua fomu ya CCM kuwania Urais wa Zanzibar

    Mussa Aboud Jumbe, Mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Aboud Jumbe amechukua fomu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Jumbe amekuwa mgombea wa 30 katika mbio hizo za Urais. Vile vile Mussa ni Mkurugenzi katika Idara ya Maendeleo ya Uvuvi...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Urais Zanzibar: Kwanini nampa nafasi Mhandisi Hamad Yusuf Masauni

    Habari JF Siasa, Humu ndani kumekuwa na maoni au chapuo mbalimbali juu ya wagombea Urais Zanzibar. Kuna mmoja wetu humu jukwaani amekuwa wazi kwa kuwapa chapuo Dr Hussein Mwinyi na Prof Makame Mbarawa. Naomba nami niseme ama kutoa maoni yangu kutoka moyoni Kama walivyofanya wengine. Kwanza...
  5. Vedasto Prosper

    JamiiForums Tanzania Je, bado Zanzibar mmechoka Mgombea Urais kuchaguliwa Dodoma? Na kupokezana Urais wa Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika Je?

    Bendera ya Tanganyika Kabla ya Uchaguzi wa Mwaka 2015, CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar, kilieleza nia yake ya kutaka kuachiwa mamlaka ya kumchagua mgombea Urais wa Visiwa hivyo, badala ya utaratibu wa sasa unaoshirikisha wenzao wa Tanzania Bara. Pamoja na hatua hiyo, chama hicho pia...
  6. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mkutano Mkuu wa CCM kukutana Julai 11 na 12 kumpitisha Mgombea Urais Dkt. Magufuli na kupitisha Ilani

    Katibu wa siasa na sekretarieti wa CCM kanali Lubinga amesema mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya CCM utakutana July 11 na 12 kupitisha jina la mgombea Urais wa JMT Dkt. Magufuli na mgombea Urais wa Zanzibar. Kadhalika mkutano huo utajadili na kupitisha Ilani ya uchaguzi ya CCM. Pia kanali...
  7. Influenza

    JamiiForums Tanzania Namba 29: Shaame Simai Mcha achukua fomu kuwania kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM

    Shaame Simai Mcha ambaye ni Mwandishi wa Habari, ameingia katika mbio za Urais wa Zanzibar kwa kuchukua fomu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020.
  8. Influenza

    JamiiForums Tanzania Namba 28: Idd Hamad Idd achukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM

    Kada wa CCM, Idd hamad Idd amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombe Urais wa Zanzibar kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 - Idd Hamad anakuwa mwanachama wa 28 wa chama hicho kuchukua fomu hiyo ambapo tayari Wanawake 3 na Wanaume 24 wameshachukua
  9. J

    JamiiForums Tanzania CCM kuna demokrasia pana wagombea 29 wachukua fomu kugombea Urais wa Zanzibar hadi sasa, CHADEMA ni 3

    Hadi sasa jumla ya wagombea 29 wamechukua fomu xa kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa urais Zanzibar kupitia CCM. Kwa upande wa wapinzani CHADEMA ina wagombea 3 na NCCR Mageuzi 1 CCM ni baba wa demokrasia Maendeleo hayana vyama!
  10. aleesha

    JamiiForums Tanzania Urais Zanzibar 2020: Mfahamu kiundani Khamis Mussa Omar

    Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Khamis Mussa Omar amejitosa kwenye mbio za Urais Zanzibar 2020 na kuchukua fomu kuomba ridhaa ya CCM. Khamis Mussa ndiye mshika funguo za hazina ya visiwa hivi, sehemu nyeti ambayo ili ukae lazima ama kuaminiwa ama kuwa sehemu ya ulaji...
  11. Jumbe Brown

    JamiiForums Tanzania GE2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

    Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa...
  12. aleesha

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Nafasi ya Profesa Makame Mbarawa kwenye Urais Zanzibar

    Mengi yamesemwa kuhusu nia ya Profesa Makame Mbarawa kugombea Urais Zanzibar 2020. Wapo waloandika makala zenye uwiano bora, wapo walomponda na kusema hana nafasi lakini pia wapo walomsifia. Makala hii inachambua pande mbili za mjadala na kumpa msomaji ama uwanja mpana wa kuwa na hitimisho lake...
  13. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Isingekuwa ubinafsi na uoga wa viongozi Mkulima huyu Eldoforce Bilohe angechukua fomu ya Urais 2020

    Huyu ndiye mgombea Urais wa CCM aliyenivutia kwenye uchaguzi wa 2015 , zipo tetesi kwamba mwaka huu alishajipanga kuchukua tena fomu , lakini amekatishwa tamaa na utaratibu wa CCM. ==== Mkulima wa darasa la saba ataka urais CCM KATIKA hali isiyo ya kawaida, mkulima kutoka Kijiji cha Mjimtala...
  14. britanicca

    JamiiForums Tanzania GE2020 Natangaza rasmi kumpigia kampeni yeyote atakayesimama dhidi ya Magufuli kwenye Kinyang'anyiro cha Urais 2020 akawa serious

    Mimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli. Bado nawapima Lissu? Membe? Zitto? Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya Britannica
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ambari Khamis achukua fomu kuomba ridhaa ya kugombea Urais Zanzibar kupitia NCCR Mageuzi

    Ambari Haji khamis ni wa 1 kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama Cha NCCR Mageuzi kugombea nafasi ya urais Zanzibar. Ambari Haji Khamis ni Makamo Mwenyekiti Tanzania Zanzibar Chama Cha NCCR Mageuzi amesema endapo chama kitampa ridhaa ya kuwa mgombea na hatimae kushinda urais Zanzibar...
  16. mheshimiwamtemi

    JamiiForums Tanzania Namba 26: Mwanamke wa tatu, Fatma Kombo Masoud achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo ------ Tunaweze kusema historia imevunjwa. Hadi...
  17. Influenza

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lowassa na Mkewe wamdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais katika Uchaguzi wa Oktoba 2020

    Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa pamoja na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020. Ni miongoni mwa wana CCM waliojitokeza Wilayani Monduli, Arusha kudhamini Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM akiwa pia ndiye pekee...
  18. Influenza

    JamiiForums Tanzania Namba 25: Mwamamke wa pili, Hasna Attai Masoud achukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM. Arudisha fomu

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hasna Attai Masoud amekuwa mwanamke wa pili kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar. Hasna anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 25 visiwani humo CURRICULUM VITAE. Personal Particulars Surname...
  19. Cannabis

    JamiiForums Tanzania GE2020 Bernard Membe: Nina dhamira ya kuwania urais wa Tanzania

    Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimatifa wakati wa Serikali ya Tanzania, Bernard Membe ambaye mwezi Februari mwaka huu chama chake cha CCM kilipendekeza kumvua uanachama wake amesisitiza kuwa dhamira na uamuzi wake wa kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Back
Top Bottom