TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 812
- 969
Nilijiuliza maswali:
1. Kwa nini Membe aliandamwa?
2. Kwa nini Membe alifukuzwa?
3. Je, ni kweli Membe anaweza kuwa ni mtu tu asiye na nguvu wala ushawishi lakini akakumbana na 1 & 2 hapo juu?
Ambacho nimekiona mpaka sasa ni kwamba, Membe ndiye atagombea Urais kwa ticket ya CHADEMA 2020, na mgombea wa awamu ijayo, yaani 2025 ni Lissu.
Naamini Membe ana nguvu fulani, na nyuma yake wanaweza kuwepo marais kadhaa wastaafu.
tf.
1. Kwa nini Membe aliandamwa?
2. Kwa nini Membe alifukuzwa?
3. Je, ni kweli Membe anaweza kuwa ni mtu tu asiye na nguvu wala ushawishi lakini akakumbana na 1 & 2 hapo juu?
Ambacho nimekiona mpaka sasa ni kwamba, Membe ndiye atagombea Urais kwa ticket ya CHADEMA 2020, na mgombea wa awamu ijayo, yaani 2025 ni Lissu.
Naamini Membe ana nguvu fulani, na nyuma yake wanaweza kuwepo marais kadhaa wastaafu.
tf.