Ndg wanajukwaa Habari,
Tumekuwa tukipigia kelele na kutaka mabadiliko ya kweli ndani ya nchi yetu, hasa ya kiuongozi.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutaka mabadiliko, na sijawahi kabisa kukubaliana na njia nyingi za kiuongozi za JPM.
Umekuwa utawala wa kimabavu, kuumiza watu, ajira na ugumu wa maisha, n.k
Lakini nakiri kwamba CHADEMA haiwezi kubebwa na mwana CCM hata siku moja. Na kibaya zaidi ni kwamba hakuna mwana CCM atakuja kuongoza mabadiliko.
Kuna dalili CHADEMA wanataka kumsimamisha Nyalandu.
Big NO, Nyalandu ni CCM, ni aina ya Lowassa aliyechangamka.
Wapo wanaomtetea kwamba huyu alikuja muda mrefu na hakuja kusaka madaraka. Hawajui michezo ya CCM hao.
CHADEMA mkimuweka Nyalandu, kura nampa Magufuli.
Tumekuwa tukipigia kelele na kutaka mabadiliko ya kweli ndani ya nchi yetu, hasa ya kiuongozi.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutaka mabadiliko, na sijawahi kabisa kukubaliana na njia nyingi za kiuongozi za JPM.
Umekuwa utawala wa kimabavu, kuumiza watu, ajira na ugumu wa maisha, n.k
Lakini nakiri kwamba CHADEMA haiwezi kubebwa na mwana CCM hata siku moja. Na kibaya zaidi ni kwamba hakuna mwana CCM atakuja kuongoza mabadiliko.
Kuna dalili CHADEMA wanataka kumsimamisha Nyalandu.
Big NO, Nyalandu ni CCM, ni aina ya Lowassa aliyechangamka.
Wapo wanaomtetea kwamba huyu alikuja muda mrefu na hakuja kusaka madaraka. Hawajui michezo ya CCM hao.
CHADEMA mkimuweka Nyalandu, kura nampa Magufuli.