Samia alipochukua madaraka ya Urais, kwa yale machache aliyoyafanya mwanzoni, yalimfanya apingwe sana na hardliners wa CCM, hasa CCM ya marehemu Magufuli.
Kwa upande mwingine, aliungwa mkono sana na wanaCCM wenye busara na misimamo ya wastani, wapinzani walio wengi na wale wasio na vyama vya...