uongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. a sinner saved by Christ

    Baadhi ya watu wanapenda uongo au kudanganywa

    Watu wanapenda kusikia/kutazama/kuamini UONGO. 1)Mtu yupo radhi atumie muda wake mwingi kutazama tamthilia,sinema,series ,movies Ili hali anajua kabisa ni maigizo ni uongo sio ukweli. 2)Watu wapo radhi kujihusisha na mahusiano ya kimahusiano na wenza ambao wanawaongopea na wanajua kuwa...
  2. Z

    Swali; viongozi wa umma wanapokuwa mbele ya media ni full uongo

    Tahadhari usimwamini sana mwanasiasa wa kiafrika akiwa mbele ya camera, kwanini waongo hivi?
  3. dosho12

    Jinsi kumbukumbu za uongo zinavyotengenezwa na ubongo

    Watu wanahisi kumbu kumbu ni kama video recorder inatunza matukio yote kwa usahihi na ufasaha ila ki ukweli si hivyo, kumbu kumbu mara nyingi ni kama suggestion kukisia kwa matukio uliyoyaona na kusikia, unavyo kumbuka kitu ubongo unafanya suggestion ya tukio lilivyokuwa. Kumbu kumbu za uongo...
  4. L

    Baada ya Maandamano ya CHADEMA Kushindikana,Maria Sarungi Aanza Kutumika na kutumikishwa kupika Uzushi na uongo usio na Ushahidi Kuchafua watu.

    Ndugu zangu Watanzania, Ikumbukwe ya kuwa huyu Mama Maria Sarungi kazi yake kubwa ni kutumika,kutumikishwa , kutumiwa kwa njia zote chafu na mbaya kupika Majungu,umbea,uzushi,uongo,ufitini na uchonganishi.Maisha yake yanategemea atumikishwe kama mtumwa na watu wenye ajenda zao za siri kuchafua...
  5. Lanlady

    Utawezaje kutofautisha kati ya kutunza siri na kusema uongo?

    Wapo baadhi ya watu ambao hupenda kujua mambo yanayokuhusu au mambo asiyoyajua; na anatamani kuyajua ila hapaswi kuyajua kwa wakati huo. Sasa ikiwa wewe ndiye unaulizwa kuhusu jambo au taarifa fulani unayoijua ila hupaswi kuisema kwa huyo anayekuuliza kwasababu ni SIRI; Je utamdanganya kwa...
  6. Msitari wa pambizo

    KERO Responded TARURA waliahidi kuanza ukarabati wa barabara ya Wakorea Tegeta A lakini mpaka sasa hawajafanya lolote

    Niliwahi kusema hapa kwamba tangu Serikali ijue kwamba watanzania ni wepesi wa kusahau na wala si wafuatuliaji basi wana ahidi na kudanganya watakavyo. Mwezi March TARURA walitoa ahadi kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa Jamii forums kwamba ujenzi wa barabara ya Wakorea ( inayoelekea Tegeta A...
  7. KikulachoChako

    Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

    Habari wakuuu, Kama tunavyojua kwenye harakati au maisha ya kimapenzi tunakutana na misuko suko ya hapa na pale, misuko suko ambayo inatufanya tuyachukie mapenzi au mahusiano. Moja ya mambo yaliyoshamiri kwenye ndoa na mahusiano ya nyakati hizi ni UONGO uliokithiri. Mimi binafsi niliwahi...
  8. M

    Kujifariji sana ni tatizo, utajifariji mpaka uongo

    WATU WANAOJIFARIJI SANA WANA HATARI YA KUBAKI WALIPO MAISHA YOTE. #Wale ambao kila kitu ni mpango wa Mungu hata kama ni uzembeo wao. #Wale ambao wanajipa matumaini ya kufanikiwa ilihali hawana juhudi zozote #Wale ambao wanajidanganya uongo wenye matumaini na kukwepa ukweli wenye uhalisia #...
  9. Pascal Mayalla

    Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies!

    Wanabodi, Mabandiko mengine sio mabandiko ya kitoto!, ukijiona huelewi, we jipitie tuu!. Angalizo la Alama ya Kuuliza "?". Mimi mwenzenu jameni, nimewahi kuitwa mahali na kufikishwa mbele ya kamati fulani kwa kutuhumiwa nimesema statement fulani!, kumbe masikini mimi, sikutoa statement...
  10. K

    Shahidi kutoa Ushahidi wa uongo

    Msaada wajuzi wa sheria. Nina kesi mahakamani ilikua zamu ya kutoa ushahidi upande wa (A) mlalamikaji kaleta shahidi ambae amesema uongo mahakamani na kala kiapo. Ushahidi wa yeye kusema uongo ninao na anakili kuwa kapewa pesa. Nichukue hatua gani msaada tafadhari?
  11. Brojust

    Nina swali Hapa jamiiforums, Hivi kwanini mtu akidanganya au akisema kitu kinachoashiria uongo mnasema CHAI ?

    1. Chai (uongo) asili yake ni nini ? 2. Kwanini mliwaza chai pale mtu anaposema uongo ? 3. Kwani chai na uongo vina uhusiano gani ? NB: Nasikia ubongo wa binadamu unaogelea kwenye fluid fulani sijui inaitwaje na haujawa attached kwenye kitu chochote. Ahsante.
  12. Magical power

    Je, ni kweli marehemu huwa haandikagi usia wa uongo?

    Inasemekana marehemu huwa haandikagi usia wa uongo maana anajua akishakufa habari yake imeisha na uongo hautamsaidia kitu Je, kuna ukweli wowote kuhusu hili? Tusubiri uchunguzi wa kitaalamu
  13. R

    Nabii Geor Davie rekebisha fundisho lako la uongo!

    Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni...
  14. Samia atosha tukutane2030

    Huyu ashitakiwe kwa kuongea uongo na kupotosha jamii

    Mimi simjui huyu mtu ila mpaka media zinamwita kufanya naye mazungumzo bila shaka ni mtu maarufu katika jamii. Anatoa uongo kwa manufaa ya nani? Ni kweli sasa bodaboda wamekuwa wengi sana. Kila kwenye stand ya daladala kuna stop ya bodaboda, kila kwenye soko, makutano n.k kuna stop ya...
  15. M

    Anakupenda wewe au anakupendea uongo wako?

    ANAKUPENDA WEWE AU ANAPENDA UONGO WAKO? SWALI MUHIMU KUJIULIZA 😊 Yawezekana yupo kwako kwa kuvutiwa na majigambo yako uliyojivika na kuonekana mtu mwingine ila siku ukirudi uhalisia unakuwa sio yule anayemuhitaji 😔 Katika kutafuta kukubalika kuna watu hudanganya ili tu wawe kwenye hadhi ya...
  16. GoldDhahabu

    Uongo mkuu kuwahi kutokea duniani

    Naamini huu uongo ulitia fora: "Hata sabato ilipokwisha,ikipambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi. Na Tanzania, palikuwa na tetemeko kubwa la nchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha...
  17. 2004boy

    Uongo uliniponza

    Habarini wakubwa natumai mu wazima. Kwenye maisha yangu huwa najitahidi sana nisionekane muongo ila hapa ilinibidi nidanganye ili nipate ninachokihitaji. Nikiwa na miaka 18 nilimpenda binti mmoja nilianza kumfuatilia taratibu nikagundua anapoishi ilikuwa ngumu Sana kutoka nje na...
  18. Allen Kilewella

    Azam acheni kuwapa wachezaji majina ya uongo

    Yaani Shabaan Juma akiwa Yanga walimwita "Waziri wa maji" alipohama tu wakaacha kumwita. Leo hii lile jina la "Triple C Mwamba wa Lusaka" washaacha kumwita tena Cloutus Chama. Imekuwa kama ni kawaida watangazaji wa Azam kuwapachika majina ya utani "Nick names" wachezaji hasa wa Simba au Yanga...
  19. TODAYS

    Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

    China imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa. Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana...
  20. MrfursaTZA

    Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

    Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia. Vitabu vya...
Back
Top Bottom