Salaam, Shalom!!
Huu ni unabii wa Nchi yetu nzuri TANZANIA Kwa mwaka 2024.
KANISA ni mtu mmoja mmoja amwaminiye Yesu Kristo kuwa BWANA na Mwokozi wa maisha Yake, KANISA pia inatafsiriwa kama kikundi Cha watu wakusanyikao kuliitia Jina la BWANA.
UNABII KWA KANISA 2024, UTAGUSA YAFUATAYO.
1...