umma

Umma (Sumerian: 𒄑𒆵𒆠 ummaKI; modern Umm al-Aqarib, Dhi Qar Province in Iraq, formerly also called Gishban) was an ancient city in Sumer. There is some scholarly debate about the Sumerian and Akkadian names for this site. Traditionally, Umma was identified with Tell Jokha. More recently it has been suggested that it was located at Umm al-Aqarib, less than 7 km to its northwest or was even the name of both cities.

View More On Wikipedia.org
  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Hizi zilizopack kwenye maofisi ya umma, yamelala taili, wanasubilia minada wajiuzie?

    Makonda aliwai endesha ZOEZI LA KUKAGUA vituo vyote vya polisi na kuamua kutengeneza magari yote yaliyokuwa vituoni kupitia. Sheria za private. Na alifanikiwa kwa kiasi kikubwa mnoo! Swali langu la msingi haya magari ambayo yamelala mataili mkayapaki hapo maofisini MWENU mwasubilia mjiuzie kwa...
  2. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasanii hawaadhibiwi, wanawajibishwa kwa kupuuza maslahi ya umma

    Kwa takribani kipindi cha miezi miwili sasa, nchini Tanzania kumeshuhudiwa kampeni za kimtandao zinazoendeshwa na baadhi ya watu maarufu na wanaharakati, zikihamasisha umma kusitisha kuzipa sapoti kazi za wasanii wa Tanzania. Kampeni hizi zimehusisha kutosikiliza nyimbo zao, kutohudhuria...
  3. Ze Heby

    JamiiForums Tanzania Mikopo isiyo na Riba kwa watumishi wa umma

    Habari ndugu watumishi wa sasa na wale watarajiwa Serikali huwa inatenga kiasi cha pesa kwa ajili ya kuwakopesha watumishi wake. Mikopo hii haina riba kabisa (ukiacha gharama kidogo sana za kuprocess). Lengo la mikopo hii ni kuwasaidia watumishi kupata fedha za kujenga nyumba, kununua usafiri...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika nimewakatia tamaa kwenye uongozi na maendeleo ya umma, Bado tuna damu za kutawala kichifu

    Muafrika ni mwanaharakati mzuri sana anapokuwa chini lakini akishapewa mamlaka ghafla mizimu ya kichofu humpanda. Mara ya mwisho kuona kunweza kuwa na matumaini ni kwa Raisi wa Zambia Hichilema nikasema hapa kuna matumaini ila kwa yanayoendelea nae kaanza kusulubu wanaompnga, Hapa kwetu siwezi...
  5. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kiliba: Lazima umma ijulishwe waanzilishi wa matukio batili Oktoba 29 ni wanaharakati

    Akizungumza na vyombo vya habari leo desemba 14, 2025 Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Geofrey Kiliba amesema lazima umma kujulishwa wahusika na waanzilishi wa matukio ya Oktoba 29 na siku zilizofuata ambao ni wanaharakati "lazima umma ujue tutakuwa ni...
  6. mager6

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha kutotoka nje D9 kwa tamko kwa Umma sio ushindi wa dola ni kashfa kwa serikali

    Wale waliotaka kuandamana Gz waliomba waandamane Kwa amani. Wangeruhusiwa ingesaidia kujua wanataka Nini. Kwa namna walivyo nificha siku Ile ni sahihi kusema watatafuta Plan C. Ikumbukwe walikuwa na kundi nyuma yao tuliite anonymous mbinu zote za kuchoma miundombinu na Mali za waliowahisi...
  7. Chance ndoto

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa umma ukipatikana mtupe taarifa

    Katika hali isiyokawaida, jana baada ya kumuona Simbachawene akiongea, sikutegemea usiku wa kuamkia leo ningerudi kwa taabu nyumbani. Nimefika Buguruni nikakuta watu wanakimbizwa na wanajeshi, wanawaambia wasitembee. Ilipofika saa saba usiku, mambo yalikuwa hivyo. Leo asubuhi natoka barabarani...
  8. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya Umma: Harmonize ashusha video yake huko Youtube baada ya raia kususia kuitazama na kuambulia viewers wachache

    Harmonize tarehe 29 alipandisha ngoma mpya YouTube, badae ameona aifute kutokana Viewers kuwa chini ya 5k since then mpaka jana. Wananchi especially Gen Z wameona sio tu show zao hata kuwasapoti kwenye platform mbalimbali ni kitu hakitakiwi kwasasa, Wananchi wameamua kuwapuuza the so called...
  9. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Je, uchawa utaushinda umma?

    Kwa machawa, leo ni siku muhimu sana. Anayewafuga kajitutumua asijue kitakachofuatia. Wapo wanasherehekea wasijue watalia soon. Samia hawezi kutobowa. Naamini machawa na awafugaye watatobolewa. Ni suala la muda. Ukitaka kujua hiii, angalia spidi ya mashehetani ya kutishia wengine ilivyozimika...
  10. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Napinga maridhiano na wauaji wa makusudi

    Ain’t no way. Ain’t no fcuking way! Napinga kabisa kwa nguvu zangu zote na kwa dhati kabisa kufanya maridhiano na wauaji wa makusudi. Hakuna cha kusameheana wala kuombana msamaha. As far as I’m concerned, I’m calling for an open season against the police and their CCM backers. They’re all...
  11. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Polisi wakanusha taarifa ya Marufuku ya Kutoka Nje Kuanzia Saa 12 Jioni Desemba 5, 2025 kutokana na maandamano yanayokuja

    TAARIFA KWA UMMA Polisi wa Tanzania wanawaonya wananchi wote kuepuka kutoka nje wakiwa katika vikundi au peke yao baada ya saa kumi na mbili jioni (6:00 PM) kuanzia tarehe 05 Desemba 2025 kutokana na maandamano yanayokuja. Jeshi la polisi kupitia taarifa hii, lingependa kuwahakikishia wananchi...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Kero gani umewahi kukutana nayo katika ofisi za umma?🇹🇿

    Watanzania wengi wanategemea huduma mbalimbali kutoka kwenye ofisi za umma—iwe ni kupata vyeti, leseni, mikopo, huduma za afya, elimu, ajira n.k. Lakini bado yapo malalamiko mengi kuhusu namna huduma hizi zinavyotolewa. Tuchambue kwa pamoja: Je, kero zipi umewahi kukutana nazo katika ofisi ya...
  13. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Larry Madowo: Tanzania ilijaribu kuizuia habari hii isifike kwa umma

    Tanzania ilijaribu kuizuia habari hii isifike kwa umma. Lakini sisi tunaieleza dunia kupitia televisheni na mtandaoni.
  14. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa hivi tangu serikali imejichagua yenyewe na kuapishana hakuna hata mmoja aliyekuja mbele ya umma sasa wanaongoza wakina nani ?

    Mpaka sasa hivi tangu serikali imejichagua yenyewe na kuapishana hakuna hata mmoja aliyekuja mbele ya umma sasa wanaongoza wakina nani ? Nilisema hakuna hata mmoja kati yao mwenye huo ubavu, na hali ya uwepo wa maandamano yasiyo ya kikomo ndio wanachizika kabisa Kitakacho tokea sisi...
  15. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 "Kufreeze" kwa Vyombo vya Sauti za Umma: Hatari Iliyofichika Kwenye Njia Mbadala za Wananchi

    Hali hii imeonekana kwa uwazi nchini Tanzania katika miaka ya karibuni, ambapo baadhi ya vyombo ambavyo kiasili na kisheria vinavyopaswa kuwa mabega ya wananchi kama vile Bunge na vyombo vya habari vimeshindwa kuendeleza wajibu wao ipasavyo. Matokeo ya hali hiyo ni pamoja na kuziba kwa mianya...
  16. Mudawote

    JamiiForums Tanzania Adui wa Tanzania Siyo Mtumishi wa Umma, Siyo Miundombinu ya Umma, Wala Siyo Mwanachama wa Chama Fulani

    GTs 1. Kwenye mijadala ya sasa kuhusu hasira, maandamano na maumivu ya kile kilichotokea tarehe 29–30 Oktoba 2025, kumekuwa na dalili za uhasama unaoelekezwa kwa watumishi wa umma, miundombinu ya umma, au hata wanachama wa chama fulani. Ni muhimu kusimama na kusema hayo siyo malengo sahihi. 2...
  17. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Hatutaki maridhiano yoyote na huu utawala batili tarehe 09 tunatoka

    Baada ya kutoa amri ya kuuwa Watanganyika zaidi ya elfu 10+ huku watu zaidi ya 23000 wakiwa hawajulikani walipo leo anataka maridhiano! Maridhiano ya wauawaji?? Big No!! Eti kaua yeye halafu anataka kufanya uchunguzi yaani ajichunguze yeye!! 1. Amekwepa kuomba radhi kwa ukatili uliofanywa na...
  18. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania ‎Wanaolalamikia "waandamanaji" kuchoma Mali binafsi na za umma hawajajisumbua kuelewa Gen Z ya Tanzania ikoje

    KIZAZI KISICHOKUWA NA KESHO: BOMU LINALOTIKISA TANZANIA KIMYA KIMYA Na Mjumbe wa Nafsi za Watu Kuna maneno ambayo yamekuwa kama wimbo wa taifa usio rasmi kila mara panapotokea vurugu: “Hawa vijana wanaharibu! Wanachoma mali za umma! Hawana akili wala heshima!” Lakini labda, kabla hatujatupa...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi amemuuza Rasmi Mange Kimambi. Funguo rasmi ya udhibiti wa umma iliyoporwa Oktoba 29, inaenda kurudishwa

    Ukweli halisi wa kilichotokea Oktoba 19 umezimwa. Watu hawana mida tena wa kutafuta kilichojiri, badala yake wanafikiria kufanya maamdamano mengine bila tathmini ya kikichotokea. Kumbuka hatudili na serikali ya watu, bali ni kikundi cha kigaidi. Imeshafahamika, Wanapiga CURFEW Wanazima...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Kama Ikulu, Polisi na Idara zote za Serikali zinafunga “comments”, basi Umma umeshinda

    Kama kuanzia huyo “Rais” mwenyewe na Ikulu yake wakichapisha chochote mtandaoni wanafunga comments, maana yake Umma umeshinda. Jeshi la Polisi, Idara, viongozi binafsi na taasisi zote ambazo zinalalamikiwa kwa dhulma na maovu pia wanafunga comments, kuanzia Msemaji wa Serikali hadi akina...
Back
Top Bottom