A
Anonymous
Guest
Unakuta mtu una Cheti cha ndoa, umeshathibitishwa kazini, ukiomba uhamisho unakataliwa na kuambiwa uombe kwenye mfumo.
Mfumo ukiomba haukuruhusu eti mpaka miaka mitatu. Hii ni kinyume na haki za binaadamu. Mnataka tuishije tunapokuwa mbali na ndoa zetu?
Mamlaka husika naomba litende haki Kwa watumishi wanandoa.
Haitoshi, mtu unapata wa kubadilishana naye halafu waambiwa subiri miaka mitatu. Hii sio sawa.
Tunahitaji haki kwa ustawi wa familia zetu na kizazi bora cha baadae.
Mfumo ukiomba haukuruhusu eti mpaka miaka mitatu. Hii ni kinyume na haki za binaadamu. Mnataka tuishije tunapokuwa mbali na ndoa zetu?
Mamlaka husika naomba litende haki Kwa watumishi wanandoa.
Haitoshi, mtu unapata wa kubadilishana naye halafu waambiwa subiri miaka mitatu. Hii sio sawa.
Tunahitaji haki kwa ustawi wa familia zetu na kizazi bora cha baadae.