umeme

  1. Nina tatizo la kuwa na umeme mwilini (Static electricity)

    Katika siku za hivi karibuni nimekuwa na tatizo la kupigwa shoti ya umeme naposhika milango ya aluminium au mageti. Hii hutokea ninapokua nimekaa kisha kuinuka either nifungue mlango wa ofisi wa aluminium basi huwa napigwa shot au ninaposhuka kwenye gari nifungue geti nyumbani basi pia...
  2. E

    SoC01 Tukipeleka umeme vijijini, tutaua ndege wawili kwa jiwe moja kwa kupata nishati ya umeme na tutatengeneza fursa nyingi zitokanazo na umeme

    Na Elivius Athanas. 0745937016. Umeme ni nishati muhimu sana katika karne hii ya leo. Shughuli nyingi za majumbani, viwandani, ofisini na sehemu zingine, zinategemea sana nishati hii ili kufanya kazi. Matumizi yake ni mengi mno na umuhimu wake hauelezeki. Heko kwa Serikali ilijitahidi na...
  3. K

    China yakabiliwa na ukosefu mkubwa wa umeme

    Nchi ya China ambayo ndio nchi ya pili kwa uchumi mkubwa imekumbwa na ukosefu mkubwa wa umeme kiasi cha kulazimika kuzima mpaka taa za barabarani kwa baadhi ya miji yake mikubwa Hali hii inasadikiwa kusababishwa na ongezeko kubwa la bei ya makaa ya mawe & upungufu mkubwa wa maji kwenye mabwawa...
  4. CCM Kuweka misingi madhubuti kuendeleza sanaa nchini

    CCM KUWEKA MISINGI MADHUBUTI KUENDELEZA SANAA NCHINI Dar es Salaam 25 Septemba, 2021 Akizungumza kupitia jukwaa la wasanii liloandaliwa na kampuni ya Marketing Africa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Shaka Hamdu Shaka amesema serikali ya CCM itaendelea kuweka misingi Imara ya...
  5. M

    Vijiji vingapi vinapata umeme hali halisi?

    Nasoma kwenye Daily News ya tar. 27 Septemba kuwab"Dodoma regional Commissioner, Mr Anthony Mtaka thanked the President for supporting the region to address a number of challenges. Others are rural electrification projects saying that out of 531 villages in the region, 461 have been connected...
  6. Janga linatufuata- bei ya umeme duniani inapanda kwa kasi

    The Economist explains Why has the price of electricity in Europe reached record highs? A shortage of natural gas and wind are to blame Sep 15th 2021 IN EUROPE THE cost of electricity is soaring. Prices had been rising steadily this year, as economic recoveries got under way. But they have...
  7. M

    MD REA amepeleka umeme vijiji vingi, nini sababu ya kuondolewa?

    Hii ni roho mbaya au, huyu mtu amefikisha umeme karibu vijiji vyote Tanzania, akasababisha CCM kushinda uchaguzi, alikuwa mchapakazi, nimekuwa namuona yeye amepiga kazi, Tanesco sawa kulikuwa na shida gani, amefanya kazi na kufikia malengo yake, sijui ni kabila gani Ila nasikia ni msukuma, je...
  8. S

    OMBI: Serikali iikumbuke mikoa ya pembezoni hasa Kigoma. Hali ya barabara na umeme siyo nzuri

    Nasema hivo kwa sababu barabara ya kuanzia Nyakanzi, Kakonko, Kibondo, Kasulu inajengwa na imeikamilika baadhi ya maeneo ila eneo la Kibondo mpaka Kasulu bado mkandarasi naona uwezo wake mdogo. Kwa upande wa umeme tunashukuru Makamu wa Rais kumsisitiza sana Waziri Makamba kulivalia njuga suala...
  9. Maduka ya jumla ya vifaa vya umeme kwa mkoa wa Mwanza

    Habari wadau. Nategemea kufungua kibanda cha kuuza vifaa vya umeme maeneo ya Mkuyuni Mwanza hivi karibuni. Kwa mnaojua machimbo ya kupata mzigo wa uhakika kwa bei nafuu naombeni msaada wenu. Asante.
  10. Makamba toka achaguliwe Wizara ya Nishati, Rukwa hatuna umeme

    Jamaa kaja na gundu ile mbaya Toka nianze kuishi Rukwa mwaka 2019 umeme haujawahi kukatika kwa siku mara kumi au kupotea kabisa kwa masaa zaidi ya 24. Ila Toka Makamba awe Waziri wa nishati umeme mkoa wa Rukwa hakuna kabisa na maeneo mengine unakatika mpaka mara 10 kwa siku. Inawezekana...
  11. Wananchi walalamika kutokuunganishiwa umeme Mwanza: Tatizo Nyaya za umeme zimeisha Nyakato TANESCO

    Katika Jiji la Mwanza wananchi katika Makazi ya sehemu Mbalimbali Nyakato,Nyamongoro,Kisesa,Buswelu,kishiri ,Igoma. Nyumba nyingi za Makazi hazijaunganishiwa Umeme kutokana na changamoto ya Tanesco Tawi la Nyakato KUISHIWA NYAYA ZA KUUNGANISHIA UMEME. Waziri Mpya wa Nishati anza na hili La...
  12. Umeme wa 45,000 unakatwa elfu 11 unabakiwa na elfu 34 huyu nchi imemshinda

    Anaandika malisa GJ Fikiria unanunua umeme wa 45K, serikali inalamba 11K kupitia makato mbalimbali, na wewe unaambulia umeme wa 34K tu. Fikiria wewe ni mtumishi, umekatwa PAYE, umekatwa HESLB, umekatwa NSSF. Zote hizo unaichangia serikali. Halafu kile kidogo unachobakiza ukienda kujaza mafuta...
  13. M

    January Makamba, shughulikia suala la umeme kukatikakatika ovyo, hili ni tatizo

    Sasa hivi TANESCO wanakata umeme, hawatoi taarifa, biashara na shughuli zetu zinasimama. Huu ujinga utaisha lini nchi hii? Mmeturushia zigo la sisi watumiaji umeme kulipa kodi ya majengo, halafu mnatuambia sisi tumalizane na wenye nyumba HALAFU bado hata umeme huo mnaukatakata. Hivi nyie...
  14. Fanyeni yote lakini msiturudishe kwenye mgao wa umeme

    Fanyeni yote ila msiturudishe kwenye Mgao wa umeme. Ujenzi wa bandari bagamoyo Kukwamisha mradi wa umeme wa maji. Kupanda kwa gesi. Kupanda kwa mafuta. Kupanda kwa bundle. Kurudisha karo shuleni. Kuturudisha kwenye umeme wa mitambo ya kukodi Kama IPTL. Msituambie kwamba tunatakiwa kuwalipa...
  15. Tozo ya majengo inayolipwa kupitia Luku inakatwa kila mwezi au kila ukinunua umeme?

    Wakuu habari za jioni kwa mashabiki wa biashara United timu Bado haijatoka hadi mda huu kwenda Djibouti. Niende kwenye mada kuu naomba kuuliza wakuu mnisaidie juu hili tuliambiwa kodi hii itakuwa inakatwa kila mwezi lakn maajabu Leo nimenunua umeme naona inakatwa tena hii kodi Au n Mimi...
  16. Rais Samia atoa mabilioni ya fedha sekta ya anga, elimu, mradi wa SGR na bwawa la kufua umeme la mwalimu Nyerere

    RAIS SAMIA ATOA MABILIONI YA FEDHA SEKTA YA ANGA, ELIMU, MRADI WA SGR NA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MWALIMU NYERERE. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan aendelea na utekelezaji wa ufunguaji na ukuzaji wa uchumi wa Tanzania kwa kutekekeleza miradi ya kimkakati kwa kasi...
  17. RC Kafulila: Tanzania gharama za umeme ni ndogo

    Mkuu wa mkoa wa Simiyu David Kafulila, amesema licha ya kuwapo kwa baadhi ya changamoto ya utoaji wa huduma za umeme, lakini Tanzania ni nchi pekee katika mataifa ya pembe ya Afrika Mashariki yenye gharama ndogo zaidi ya tozo za umeme, ikilinganishwa na nchi nyingine za ukanda za huo. Hayo...
  18. Smart speakers, smartwatch na miswaki ya umeme

    Nauza: Smart Speakers (Amazon Echo na Google Home Mini) mpya sealed each Tsh 150,000/= Electric Toothbrush Xiaomi Tsh 50,000/= Smartwatch za kuanzia Elfu 40 hadi Laki 2. Ubungo Mawasiliano. Nicheki WhatsApp: 0758095750
  19. Marekani: Kimbunga Ida chapiga New Orleans, nyumba zaidi ya Milioni 1 hazina umeme

    Zaidi ya nyumba Milioni moja Jijini New Orleans hazina umeme kutokana na Kimbunga Ida. Hadi sasa kifo kimoja kimeripotiwa baada ya mti kuangukia nyumba Rais wa Marekani, Joe Biden amesema Kimbunga Ida kitakuwa tishio na upo uwezekano wa uharibifu mkubwa. Ametangaza janga kubwa katika Jimbo la...
  20. Egypt imeigeukia kubembeleza Congo DRC Baada ya Ethiopia Kudinda kuhusu Bwawa la Umeme

    Habari zenu. Baada ya mwanaume Ethiopia kupuuza vitisho na mikwara ya mbu nje ya net iliyokuwa ikitolewa na Egypt kwa Ethiopia Kuhusu kujaza maji kwenye Bwawa la Umeme,jamaa sasa wameamua kuiangukia Congo DRC. Egypt sasa inapanga kutumia mabilioni ya dola kuwalipa wakongo Ili ijenge channel ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…