66 UMASKINI WA KUJITAKIA NA KITENDAWILI CHA MCHANGO,
UCHAGUZI NGUVU YETU
Hebu tushirikiane kutafuta jibu la hili fumbo: Chama cha siasa Afrika kinaingia mtaani na kuwapa wananchi somo la ulaghai kwamba serikali imewafanya maskini. Wananchi wanaitikia kwa huzuni, 'Kweli kabisa!'
CHAMA KINAWEZA...