Mtaani maisha ni kama jungle – ukiwa soft, unaliwa bila huruma. Vitu haviendi kwa mpangilio, hakuna guarantee ya kesho, na ukiwa na stress sana unaweza kujikuta ukibadilisha ndoto zako kuwa ndoto za kuamka. Kila kona ni shida, kila mtu anakimbiza daily survival, na wengi wamekuwa slaves wa...