Hello!
Niliwahi kupost mada kama hii miezi michache iliyopita. Leo ninaipost tena baada ya kufanya utafiti tena na tena.
Watu wengi wanadaiwa sio mchezo. Hata Mimi niliwahi kuvamiwa na roho ya madeni, madeni yanamsogeza mtu karibu na kifo, madeni huondoa amani katika familia.
Katika mipango...
Habari ya wakati huu.
Wakuu mimi sio muandoshi mzuri ila kuna jambo nimeliona kule mtandao wa X kutoka kwenye akaunti fulani akizungumzia habari za matrix na mambo kadhaa ya ulimwengu kwa mifano ameonesha yote yanayotokea sasa yalishapanga yamekua programmed na system za giza zinazotawala...
Akiendelea kumsifu Waziri Mkuu Narendra Modi kwa kusambaza habari juu ya sifa na hadhi ya India inayokua kimataifa katika pembe za mbali za nchi katika kampeni ya uchaguzi wa Lok Sabha, kiongozi wa zamani wa Congress Acharya Pramod Krishnam alisema ujenzi wa Hekalu la Kihindu la BAPS huko Abu...
Kama Mwafrika angekuwa na mali na uchumi wa kuweza kuajiri wafanyakazi kutoka mataifa mengine angepata lawama toka pande zote za Dunia kwa unyanyasaji na ukatili.
Mwafrika anamtesa ndugu yake Mwafrika kama mnyama, jambo ambalo kwa mataifa mengine huwezi kuliona.
Mitaani case za unyanyasaji ni...
Hello!
Hili kila mtu anaweza kulithibitisha kwa kuback up miaka michache nyuma.
Furaha niliyokuwa nayo mwaka 1999 ni kubwa kuliko ya miaka ya 2009, furaha niliyokuwa nayo 2019 si kubwa kama ile niliyokuwa nayo 2009.
Licha ya maisha yangu kuboreka kila mwaka.
Nakiri kuwa maisha ya kulala...
Naomba nitoe salam kwa member wenzangu wa JF.
Kwa mara nyingine, leo nawaletea historia ya mwanamasumbwi bora wa kike wa muda wote, na wa uzito wote (The GOAT) Laila Ali au unaweza kumwita 'She bee stingin' ni mtoto wa King wa mchezo huo duniani Muhammad Ali 'The Greatest'.
Laila Ali alizaliwa...
Ukizungumzia wasanii wakali wa Hip Hop ulimwenguni hauwezi kuacha kutaja jina la Rapper Kendrick Lamar.
Kendrick Lamar ameshachukua tuzo kubwa za Grammy na ameshafanya ngoma ambazo zinaendelea kuishi na hazichoshi kuzisikiliza.
Kama ulikuwa hujui bhana, Rapper Kendrick Lamar kabla ya kuwa Star...
Wanajukwaa mnaonaje ustawi wa dunia kwa sasa hapo mashariki ya kati sio mbali na sisi tulipo na hata bahari ya shamu unavuka tu nchi mbili Kenya na Djibouti au somalia. Chokochoko hizi zitaathiri zaidi uchumi wetu hali zitakuwa mbaya zaidi mnashauri tujipange vipi kwa level ya kila mmoja ili...
Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?
Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti...
Hello habari!
Umri wangu huu wa miaka utu uzima nimejifunza mambo mengi mno.
ASili ya binadamu ni kupenda jambo zuri hasa lile ambalo anahisi anaweza kulifikia.
Duniani kuna maelfu ya kazi, malaki na mamilioni ya wanaume kwa wanawake.
Kuna fursa nyingi za kiuchumi, kuna courses nyingi za...
Imebainika club ya Simba kupanda thamani maradufu kwa zaidi ya 85.9% kwenye maeneo tofauti ndani ya club. Maeneo yanayotazamiwa kupanda thamani ni pamoja na wadhamini wakubwa kuongezeka,kupata wafadhili mbalimbali watakao jitolea kukuza vipaji kwenye club, wadhamini wa soka la wanawake Simba...
Ni miaka 7 Sasa tangu atangulie mbele za haki mama huyu wa kizungu anaitwa, Charlotte Nelson William.
Charlotte Nelson William, enzi za uhai wake katika jumuiya ya Freemason nchini uingereza.
Miaka ya nyuma niliwahi kufanya kazi za ufundi gari, lakini nikiwa Kama kibarua wa muda, yaani day...
Freemasonry is a fraternal organisation. Arising from obscure origins (theorised to be anywhere from the time of the building of King Solomon's Temple to the mid-1600s), it now exists in various forms all over the world, and claims millions of members. All of these various forms share moral and...
Ukuaji Wa Soko la Cryptocurrency Africa unahitaji Utaratibu Mzuri.
Heri ya Mwaka Mpya 2023 wana JF ๐๐
Utafiti uliofanywa na Chainalysis unonyesha kuwa, Bara la Africa ni ya 1 kwa ukuaji Wa haraka kwny soko la Cryptos Ulimwenguni lakn imekuwa ikifanya mihamala michache kwa makadilio jumla ya...
Ni kama jambo jepesi lakini limebeba maana nzito ya kiulimwengu!
Lengo kuu la kuiteka dunia kwa kuifanya dunia kuwaza pamoja, kwa muda mmoja na jicho la pamoja si jambo jepesi hata kidogo! Hii ni mipango ya wenye nguvu katika Ulimwengu wa roho. Asilimia 70% ya watu duniani Leo watafikilia na...
Je, nini kipo nyuma ya pazia, lengo na dhamira yao ni nini?
Deep intelligence yao ni ipi? Juu ya suala hili ovu kabisa kuliko chochote kile hapa ulimwenguni.
Wajuzi na waona mbali karibuni tuchambue ni kipi kipo nyuma ya pazia kwa wamagharibi hawa, and there deep secret may be hided over this...