Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,716
- 36,186
Kama Mwafrika angekuwa na mali na uchumi wa kuweza kuajiri wafanyakazi kutoka mataifa mengine angepata lawama toka pande zote za Dunia kwa unyanyasaji na ukatili.
Mwafrika anamtesa ndugu yake Mwafrika kama mnyama, jambo ambalo kwa mataifa mengine huwezi kuliona.
Mitaani case za unyanyasaji ni nyingi mno. Watoto wa kambo wanachomwa pasi na mama wa kufikia, wadada wa kazi wakipoteza kijiko wanakatwa mshahara, wanapigwa makofi.
Mateso kila kona.
Wenye mamlaka nao wanawatesa wananchi kwa kutumia kalamu na computer.
Afrika ukiiba yai na umwshikwa na Waafrika wenzako unapewa adhabu kama umeiba fedha za kijiji.
Nina video nyingi za ukatili wa Mwafrika, naweka hii moja kama mfano.
👇👇👇👇
Mwafrika anamtesa ndugu yake Mwafrika kama mnyama, jambo ambalo kwa mataifa mengine huwezi kuliona.
Mitaani case za unyanyasaji ni nyingi mno. Watoto wa kambo wanachomwa pasi na mama wa kufikia, wadada wa kazi wakipoteza kijiko wanakatwa mshahara, wanapigwa makofi.
Mateso kila kona.
Wenye mamlaka nao wanawatesa wananchi kwa kutumia kalamu na computer.
Afrika ukiiba yai na umwshikwa na Waafrika wenzako unapewa adhabu kama umeiba fedha za kijiji.
Nina video nyingi za ukatili wa Mwafrika, naweka hii moja kama mfano.
👇👇👇👇