Maisha ni kama fumbo,fumbo ni kama kufuri na maarifa ndio ufunguo wa maisha!.
Kila ulichopandikizwa kinaweza kukufunga au kukufungua,angalia usijechelewa ukakata tamaa.
Si Kila agano unapaswa ulishupalie,mengine yaache yapite! Na ukweli kuhusu wewe ni Siri yako yakupasa uifungue.