Wahenga wanasema kumpiga teke chura ni kumuongezea hatua sasa Serikali imenikaanga mtaani mwaka wa saba huu bila ajira nikatafuta chimbo likawa linanipa dor za kulipa bills zote za muhimu na vichenchi kidogo kubaki
Sasa kuna wakati natamani ajira maana mishe zinakazaga kiasi kwamba hata kwa...
Habari wanaJF,
Natumaini mmeamka salama. Dunia ishageuka kuwa uwanja wa vita: leo TZ, kesho Iran nk. Na mafuta yanaweza kupanda kwa sababu... tutaliongelea siku nyingine.
Leo tujadili ukweli fulani wenye kauchungu: Kumiliki mali nyingi sio sawa na kuwa na ukwasi (cash flow). Unaweza kuwa na...
Kuelekea tarehe 29 Oktoba 2025 napenda kuwaambia hawa wanasiasa mafisadi wanaotulisha propaganda za amani ili waendelee kuishi vizuri kwa ufisadi wanaofanya kwenye kodi zetu na mali zetu wanachi.
Safari hii Wananchi tumekataa kuitunza amani ili wao waishi maisha ya ukwasi kwa kodi zetu huku...
Kipindi fulani tuliskia dola zimeadimika, lakini watoto wa jasusi mkuu wanapiga nazo picha kama hela za nyanya.
Wananzengo, hili jasusi kuu linamiliki biashara zipi na sisi tupate dolari.
Wanasiasa wengi kutoka Tanzania wapo na Ukwasi Mkubwa Ambao , hauelezeki .
Ila wamechagua njia ya Ku-play low key .
Hizo Lamborghini na Bugatti mnazoziona ni punje tu ya ukwasi wao.
Hakikisha October Una-tiki√
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ametoa wito kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumtaka Waziri wa Fedha kuidhinisha utoaji wa taarifa zote zinazohusu mikopo, mamlaka za rufani za kodi, misamaha ya kodi pamoja na mamlaka za uchunguzi.
Mpina amesisitiza umuhimu wa taasisi kama...
Kama unadhani maruhani yapo kwa viumbe hai utakuwa umekosea sana.. Maruhani yapo pia kwenye vitu visivyo na uhai na lugha pia
Hebu waza kwa makini usahihi wa sentensi kama hizi
1. Maji yameenda kuchotwa
2. Nimemkuta hayupo
Na watu daily wanazitumia bila shaka kabisa...
Sasa kuna hili la wanyama...
Kama rais utafanikiwa kufuatilia nyendo na maisha ya wateule wako utashangaa !! Awamu hii Haina ufuatiliaji kwa wateule wako ! Haina ukali na usimamizi huru wa rasilimali za nchi ! Wewe unatafuta hela ,unakopa ,unakusanya Kodi lakini pesa inatumiwa vibaya sana na wateule wako !! Wateule wako...
Kenya facing a serious liquidity crisis, treasury says
Kenya's Treasury says the country is facing serious cash flow challenges due to the maturing debts that have delayed the disbursement of funds to various development projects.
Treasury Cabinet Secretary Njuguna Ndung’u told the Finance and...
Mod nakuomba huu uzi usiunganishe
Ukiangalia hapa duniani management ni tatizo kubwa tuliokua nao waafrika sehemu yeyote katika nchi za kiafrika watu wanapigania matumbo yao na sio uhai na ufanisi wa taasisi au kampuni husika.
Ukiangalia ukwasi waliokua nao wafanyakazi wa bandari binafsi...
BoT YASAINI HATI YA MAKUBALIANO NA FRONTCLEAR KUKUZA MASOKO YA FEDHA
Benki Kuu ya Tanzania kwa ushirikiano na Tume ya Umoja wa Mataifa ya Uchumi Afrika (UNECA) imetia saini hati ya makubaliano (MoU) na Taasisi ya Kukuza Masoko ya Fedha - Frontclear, yanayolenga kukuza sekta ya fedha nchini...
Wadau wa huduma jumuishi za kifedha nchini wamesema diplomasia ya uchumi imeongeza uwekezaji na ukwasi katika benki mbalimbali kutokana na kuongezeka kwa mzunguko wa fedha. wamesema wawekezaji wapya na wafanyabiashara wa ndani wameongezeka imani yao ya kuhifadhi fedha katika benki hivyo kuongeza...
Ndugu zangu hapa nimekaa na masheikh wa msikiti wa hapa mtaani wanasema kuwa wao wangekuwa viongozi wa makanisa wangekuwa matajiri kwa kuwa Wakristo hutoa sadaka nyingi sio sarafu kama Waislamu.
Wamenihakikia kuwa kwa ijumaa ambayo ndio siku kubwa kwa wiki wao hupata elfu sita hadi kumi kwa...
Habari!
Neno mjinga halina uhusiano na matusi. Ni mtu asiyejua kitu kuhusu jambo husika.
Kwahiyo kwakuwa Watanzania wengi hawajui yanayoendelea katika nchi yao kutokana na kukosekana kwa uwazi ndani ya shughuli za kiserikali basi ni vyema tutumie msamiati huu wa WAJINGA.
Walipopiga hesabu na...
Hakuna kitu kibaya kama umaskini, unapoona umefanikiwa kupata pesa hakikisha haumsadii mtu, hasa wanawake. Mimi nawashangaa hawa wasiyo na kazi mnapiga mchongo mnagawana labda 800 USD halafu yeye ya kwake anawekeza katika uchi.
Siku chache anaanza kutibu UTI mara Syphilis na Gono. Tujifunze...
Wanabodi,
Hili ni Bandiko la swali, kuhusu moja ya zile mada ngumu za psychoanalysis, ambayo hoja zake ni vitu vya kufikirika tu na havijatamkwa rasmi, lakini vitu hivyo, vikisemwa na kujadiliwa kwa uwazi, vitalisaidia taifa.
Watu tumeubwa tofauti tofauti, wengine ni good observers na wengine...
Kuna msemo usemao, Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.
Hao wenye moyo ni wazalendo wa kweli wa nchi yetu.
Tangu baada ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, amekufa na Azimio lake la Arusha lililoweka miiko ya uongozi, sifa ya uongozi wa umma enzi za Mwalimu ilikuwa...
Miaka ya nyuma nilikuwa napokea fedha kupitia EMS(HAWALA YA FEDHA)
Baadae nikafungua akaunt benki ya posta na sasa kuna MPesa and the likes.
Je wachumi wamewahi kufanya analysis ya kiasi cha fedha kilichochepushwa kutoka mfumo wa kibenki kwenda mfumo wa simu??
Hivi ni kwa nini benki yetu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.