Kama unasumbuliwa na panya waharibifu loweka nafaka mfano karanga, mahindi, nk kwenye kinywaji cha energy drink yoyeto iliyochemshwa, kisha weka kwenye njia zao wakila tu hawachukui round utaokota mizoga.
Hata paka au kunguru we loweka nyama au samaki kwenye energy kisha weka sehemu atakayoweza...