Ukitaka kuwa masikini we wahurumie wanawake

Ukitaka kuwa masikini we wahurumie wanawake

Wanawake 90% wapo kwa ajili ya kuharibu Maisha ya mwanaume ukiwatoa hao 10% ambao ndo Mama zetu basi hao 90% hawana nia njema na wewe.


Usimuhurumie Mwanamke tofauti na Mama yako na watoto wako wa kike.

#No reform no Election.
Hilo halina ubishi 💯 mwanamke kiumbe cha ajabu sana baadhi Yao hawana utu Wala shukurani omba yasikukute
 
Mama zetu na watoto wa kike wanabidi kuhurumiwa na sisi na sio na kila MTU kiasili mwanamke ameumbwa kuja kuharibu maisha ya mwanaume.
Mkuu, kila mwanaume ana mama, na kila binti ana baba. Si ndio? Sasa kila mwanaume akihudumia ipasavyo binti yake na mama yake wanawake wote watakuwa wanahudumiwa na mwanaume bado.
 
Back
Top Bottom