ukitaka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. President of China

    JamiiForums Tanzania Ulipo wapo, Serikali ipo na mkono mrefu - Ukitaka siri fanya pekee yako (Kwenye Bar, Makanisani, Misikitini, Kokote wapo) Mange mkwanja tu anatoa siri

    Ukishaitambua Serikali ni nini hakika hutaweza kuanza kuleta mawazo mgando. Kona zote za nchi Serikali inafanya kazi, Sasa hivi serikali inaundwa kila kitu kitakuwa mahali pake. Vijana wa Gen Z watashangaa kuona babu zao wanawasaliti. Wataingizwa kwenye mkenge. Wazee wamekaa kwenye migawahawa...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Fanya Hivi Ukitaka Kusajili Kampuni ya Ujenzi (Construction)

    Kusajili Kampuni ya Construction Kuna procedures zake ambazo hazijaachana sana na Kampuni ya kawaida, ila hapa nitakuandikia in details procedures hizo; 1/5 Company Registration Hapa utafuata taratibu zote za brela kama kuandaa documents, kufanya application na kulipia fee, baada ya usajili wa...
  3. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukitaka kuzaa watoto wazuri, lazima uolewe na mwanaume mzuri

    Hapo vip! Huyu dada ameongeo ukweli kabisa ila anapingwa na wanaume wenye rangi ya shetani na wanawake waliolewa na majitu mabaya.Huo ndio ukweli penda usipende. Waafrika huwa wanautamaduni wa kupingana na kupiga vita vitu vizuri huku moyoni wakitaka vitu hivyo hivyo vizuri..ndio maana ni...
  4. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ukitaka kuolewa kuwa kwenye mahusiano na mwanaume anayekupenda na sio unayempenda wewe

    Hapo vip!! Wasichana au wanawake wengi wanabaki masingle mothers na kutelekezwaa kwasababu anakuwa kwenye mahusiano na mwanaume anayempenda..wanawake wengi huwa wanawazaliwa wanaume wanaowapenda wakifikiri ndio njia ya kuolewa kumbe ameamua mwenyewe kuwa single mother kwasababu mwanaume anamuoa...
  5. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ukitaka kuolewa, olewa na mwanaume anayekupenda na sio mwanaume unayempenda

    Hapo vip!! Wasichana au wanawake wengi wanabaki masingle mothers na kutelekezwaa kwasababu anakuwa kwenye mahusiano na mwanaume anayempenda..wanawake wengi huwa wanawazaliwa wanaume wanaowapenda wakifikiri ndio njia ya kuolewa kumbe ameamua mwenyewe kuwa single mother kwasababu mwanaume anamuoa...
  6. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Life Code: Ukitaka kuishi muda mrefu duniani tumia life style za kizamani

    Code 001.
  7. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia: Unapokuwa kwenye mazungumzo, ukitaka mtu akwambie ukweli unaoutaka mfanye acheke kwanza.

    Copy Code;
  8. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua mwanamke ni msafi angalia miguu yake

    Take Note.
  9. tonicimmobility

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ukitaka kumsahau mtu uliyempenda sana unafanyaje?

  10. L

    JamiiForums Tanzania Fanya Hivi Ukitaka Kuuza Kampuni Yako

    Wiki ya mwisho wa mwezi wa Saba nilikua namsaidia mteja wangu kufanya process za kuuza Kampuni yake, haya ni mambo ya kuzingatia ukitaka Kuuza Kampuni; 1. Elewa unauza Nini Kuna mambo kadhaa yanawezwa kuuzwa kwenye Kampuni 1.1 hisa za Kampuni 1.2 Assets au Mali za Kampuni 1.3 Kampuni yote...
  11. sameer0220

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuoga matusi nenda kinyume na CHADEMA

    Tatizo huwa ni nini hasa kwa wafuasi wa CDM kwamba ukiwauliza swali ili ujifunze unapewa matusi Ukienda kinyume na maono yao unashambuliwa NB mimi sio mfuasi wa chama chochote mimi ni mtu huru😅
  12. Kant Ombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zamani ukitaka mchumba lazima utongoze lakini siku hizi ukimuita "MY" tu tayari

    Hii nimetoa FB, je Kuna ukweli? My wangu haszu
  13. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua maCCM ni Wahuni Angalia Athony Mtaka Alivyofichwa

    GT Wakuu such a potential person una mficha kwa madhumuni gani. Huyu jamaa kama JPM angekuweoo lazima angepewa nafasi kubwa sana kusimamia serikali. Najua kabisa moyoni ana majonzi analia kilio cha Samaki but he is a great Man wahuni hawataki kabisa kumsogeza mbele maana hawezi kukubali...
  14. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuwa mtu mwenye Nguvu juu ya ulimwengu huu usifanye mapenzi

    Hawa watu wasiofanya mapenzi kwa namna yoyote ile hata kwa kuifikiria kwenye ubongo wao katika ulimwengu wa sayansi ya kiroho hawa ndio binadamu hatari zaidi kuwepo duniani. Hawa binadamu wa hivi shetani na malaika zake humwogopa kuliko unavyoweza kufikiria kwasababu ukiacha kufanya mapenzi ya...
  15. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukitaka kuoa zingatia yafuatayo

    Duniani Hutaambiwa kila kitu ila Ishi Humu itakusaidia 1.Usioe Mwanamke aliewahi Kuwa na Mahusiano na Wanaume zaidi ya wawili 2.Usioe Mwanamke anaetumia Tiktok au Snapchat 3.Usioe Mwanamke Single mother ambae baba wa mtoto wake yuko hai na akikuambia amekufa ukathibitishe Kabisa kwenye kaburi...
  16. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujijua kuwa kama una positive Energy angalia hizi sifa

    Kama unataka kujijua kuwa Una positive energy. Hizi ni baadhi ya sifa. -Ukiona unapendwa Sana na watoto wadogo 1-5 , watoto wadogo Mara nyingi wana uwezo wa Ku-sense positive Energy -Ukiona ukikaa sehemu panastawi na watu unaokaa nao wanastawi pia. -Ukiona Una uwezo wa kuunganisha watu mfano...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Ukitaka raha jiunge CCM

    Maisha muruwa, hakuna kulinda au kuzuia uchaguzi. Ukishapiga kura unaongojea kutangaziwa. Wapinzani unaweza ukajitolea hali na mali na ukapoteza kila chako siku ya siku anaujiuga ccm na kupata cheo wewe ukiuguza majeraha
  18. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuamka kiroho pokea zawadi ya Kitabu hiki upate mwanga wa maisha

    KUAMKA KIROHO NI mchakato wa kuamka kutoka kwenye giza ( ujinga) na kutembea kwenye mwanga baada ya kufunguliwa kwa lock zilizoshikilia akili yako ili utembee kwenye Nuru. Kwenye Giza la kiroho kuna umasikini, matatizo, magonjwa, nadharia za kuogopa wachawi majini mapepo mizimu nk hivi ni...
  19. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Ukitaka Kuishi Tanzania kwa Aman Fanya yafuatayo

    1;Husiende kumdai mtu /kikundi Cha watu waliopokonya kilicho chako waache wakitumie siku wakikichoka watakurudishia wenyewe 2;Ungana na watesi wako ata kama moyo wako unavuja Damu 3; hakikisha unakuwa mjinga ata kama una kiwango Cha juu Cha uelewa 4; mwisho , subiri miujiza ya wagalatia siku ya...
  20. Chibike

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kua Rais TFF ama uongozi wa juu, lazima uwe na PESA pole sana ndugu yangu Ally Mayay

    Asalaam Aleykum TUSIDANGANYANE hapa ama kuzungukazunguka, kwenye uongozi wetu wa mpira wa miguu nchini umejaaa figisu na tumeshaamza kuziona ila ukweli ni kwamba kama huna PESA huwezi kukalia hivyo viti, bila pesa hizo endorsement utazipata vipi? Pole sana kaka yangu Mayay Ally, ni pesa tu huna...
Back
Top Bottom