Ni vyema watawala wetu wakazingatia ujumbe huu mahususi kutoka Kwa mtumishi huyu wa Mungu mwenye maono aliyekataa nira ya watawala. Mtu huru na aliye objective.
Nisiwachoshe hebu tumusikie wenyewe
for educational purposes and enjoyment ... Heb tutiririke jumbe ambazo kwako wewe huwa ni za kifala as per your perceptions.
Tukiziona tujirekebishe ili tusionekane mazutwa kwa watu.
Mimi mtu akinisalimia tu "VEPE .. " basi kanikosa ... Simjib text Hadi kesho . Akirudia Tena bas naachana nae.
Rais wa Awamu ya Nne na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha Ujumbe Maalum kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Congo (Congo Brazzaville), COLLINET MAKOSSO Anatole.
Anatole alipokea ujumbe huo wa maandishi kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Congo, Denis...
Ni Jumapili juzi nikiwa zangu mitaa ya Arusha natoka zangu kumshukuru Mungu basi nikaona ni vyema nijiandae kutoka out kidogo nikatafuta sehemu kuna wakala wa huduma za kifedha. Nikauliza kama naweza kutoa pesa na alinikubalia kuwa nitoe huku akinipa na namba ya kutolea.
Dakika kama tano...
Mama, waliokushauri umkamate Tundu Lissu na kumfungulia mashtaka makubwa makubwa hayo hawana nia nzuri na wewe. Yaani, wamekupoteza/ wamekudanganya.
Nionavyo mimi ni kwamba, badala ya kudhani unatatua tatizo hapo kwa akili yangu umeongeza tatizo mara 50 zaidi. Faida ya kumfungulia mashtaka...
Usiseme Iran inaandaa nuclear bali sema IRGC inaandaa nuclear.
Usiseme palestine imerusha makombora bali sema hamas wamerusha makombora
Usiseme Israel anapigana lebanon bali sema israel anapigana na hezbollah
Usiseme Yemen inadungua meli za US bali sema wahuthi wanadungua meli za US
Haya ni...
Rais Mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha ujumbe Maalum wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Dkt. Abiy Ahmed. Ujumbe huo umewasilishwa Ikuku jijini Addis Ababa April 11, 2025. Mhe. Kikwete pia aliwasilisha Salamu za Rais Samia ambazo...
Namba 40 Imebeba Ujumbe Mzito wa Kihistoria
Katika Biblia namba 40 ni alama yenye kumaanisha kipindi cha wakati mgumu. Ni wakati wa maumivu, kukata tamaa ya maisha, masumbufu na changamoto mbalimbali na maisha ulimwenguni.
Kwa mfano: wakati wa Nabii Nuhu mvua ilinyesha kwa siku 40. Haukuwa...
Ni masiku machache tu nimeanza kuweka maudhui katika mitandao ya kijamii, lakini napokea jumbe za wadada hadi naogopa.
Nilikuwa na account ya FB muda mrefu tu ambayo ina jina linalo endana na maudhui yangu japo Nilikuwa natumia kikawaida tu, ina marafiki kibao ambao tunafahamiana.
Baada ya...
Habari Wananchi?
Hivi Hawa watu wanaohubiri kuitunza amani yetu hawaoni kwamba ni Serikali na ccm ndiyo wanaohatarisha Amani yetu kwa kung'ang'ania kukumbatia mifumo mibovu ya chagizi zetu?
Ujumbe huu wa amani Kila Kona kwa siku ya Leo nadhani ni mpango maalumu ili watu watakapokuwa wanadai...
Kumekuwa na michezo ya kusajili line bila idhini ya mwenye kitambulisho, umeenda kusajili laini unaambiwa rudia tena kuweka vidole kumbe nyuma ya pazia kuna namba imesajiliwa bila idhini yako, wehalifu wengine wanaweza kutunza alama za vidole kusajili bila wewe kuweka vidole.
Namba hizi...
Viongozi wa Klabu ya Yanga SC wamehitimisha kikao chao na serikali kilichofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili masuala muhimu kuhusu hatma ya dabi ya Kariakoo.
Baada ya kikao, Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said, aliwahakikishia wanachama kuwa uongozi wa klabu...
Rais Samia, CCM na Serikali yake, wasisubirie kulazimishwa kwa nguvu kuchukua hatua za kujirudi, yaani kuachana na sheria, mifumo na kanuni za kishetani katika kuendesha chaguzi.
Inafahamika wazi kuwa mtu mshenzi au jambazi ambaye hulishibisha tumbo lake kwa ujambazi, si rahisi kwake kuacha...
Ajali inapotokea huwa inasikitisha sana na kuumiza sana!
Lakini upande wa pili huwa inafungua ukurasa mpya wa kujadili!
Mungu aliumba mitume na manabii ili kuzisaidia mamlaka za utawala katika kutekeleza sheria!
Miongoni mwa manabii walioitwa na mungu ni pamoja na
1. Baadhi ya watumishi wa...
Waziri Kombo Awasilisha Ujumbe Maalum Jamhuri ya Angola
Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amewasili jijini Luanda nchini Angola kuwasilisha Ujumbe maalum wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.