Umewahi kuona mtu hawezi kuongea mbele za watu?
Anatetemeka, anaogopa, haendi kwenye sherehe au mikusanyiko umewahi kujiuliza shida n nini?
Umewahi kujiuliza kwanini mtu hawezi kabisaa kukaa mbele darasani?
Umeshawahi kujiuliza kwanini mtu anachelewa kuoa au kuanzisha mahusiano au familia...