udini

Udini Square is a shopping mall at Gelugor, a southern suburb of George Town in Penang, Malaysia. Opened in 2015, the three-storey mall is currently anchored by two sporting good chains, SportsDirect.com and MST Golf Superstore, as well as Mr D.I.Y., Malaysia's largest hardware chain.Udini Square was developed by a Malaysian property developer, IJM Corporation, with a gross development value of RM75 million. The suburban lifestyle mall caters to residents within Gelugor, and sits near the Tun Dr Lim Chong Eu Expressway that links George Town, the Penang Bridge and Penang International Airport.

View More On Wikipedia.org
  1. Mjina Mrefu

    Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

    Habari wakuu, Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X). Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..." Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo? Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
  2. LIKUD

    Mwijaku alirudia shule au alisilimu?

    Jina lake anaitwa Burton Mwemba or something but anajiita shekhe na of course anajua jua baadhi ya dua. Swali; jina halisi la mtu huyu ni nani? Tangu lini muislamu kutoka ujiji Kigoma akaitwa " Burton!!" Alikuwa mkristo akasilimu au alirudia shule na kununua jina la mtu?
  3. figganigga

    Baba Askofu Stephen Munga: Acheni kucheza karata ya Udini, hoja ijibiwe kwa hoja

    ACHENI KUCHEZA KARATA YA UDINI - HOJA IJIBIWE KWA HOJA Suala la mjadala wa mkataba tata wa bandari sio mchezo wa kamari. Hapo hatufanyi majaribio katika kuhoji na kujibu hoja. Pia hapo tunatazama mambo mapana ya taifa kwa vizazi vingi vijavyo. WATU WENYE AKILI TIMAMU NA NGUVU YA KUFIKIRI...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Kwa nini kuupinga Mkataba wa Bandari inaitwa "udini" lakini kuunga mkono sio udini?

    KWA NINI KUUPINGA MKATABA WA BANDARI INAITWA "UDINI" LAKINI KUUNGA MKONO SIO UDINI? MSIWE WAPUMBAVU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Wanasiasa moja ya mambo yanayowashushia heshima ni kigeugeu na unafiki wao. Wanasiasa wakisifiwa na viongozi wa dini hawasemi dini imeingizwa kwenye Siasa...
  5. Dalton elijah

    Wacha nimpe darasa kidogo Mzee Jakaya Kikwete

    Na Mwl John Pambalu Nimeshangazwa sana na kauli ya mzee Kikwete aliyoitoa jana huko mkoani Mara siku moja baada ya tamko la Baraza la maaskofu Katoliki katika kile alichodai kuwa si sawa kuchanganya dini na siasa. Kikwete ambaye marehemu Askofu Getrude Lwakatare alikuwa mbunge kupitia chama...
  6. Determinantor

    Kukosoa wanasiasa haiwezi kuwa ‘UDINI’

    Katika pita pita zangu nimekutana na ka' makala kadogo hivi, kazuri kameandikwa na Buyobe wa Twitter. Nikaona si dhambi kukaweka hapa Ili wale wanaotetea "upumbavu" wa CCM Kwa minajili ya "UDINI" wakumbuke hili nalo. Tarehe 25 December 2017, Askofu Zakaria Kakobe akiwa kanisani kwenye ibada ya...
  7. wa stendi

    Picha inaongea! Msichanganye dini na siasa

    Hayo ameyasema Rais mstaafu Jakaya mrisho kikwete Na kweli sio vizuri kuchanganya dini na siasa
  8. GoldDhahabu

    Wanaohusisha mkataba wa bandari na suala la udini wanafahamu kuwa ukosoaji haujaanza mwaka huu?

    Tokea suala hilo liibuke, takriban miezi miwili sasa, kumetokea makundi makuu mawili. Kundi la kwanza ni la wanounga mkono huo mkataba. Na kundi la pili ni la wanoupinga, wengi wao wakitaka baadhi ya vipengele virekebishwe. Binafsi, nipo upande wa wanaotaka huo mkataba urekebishwe ili uweze...
  9. Determinantor

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa! Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW. Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na...
  10. thegreat1510

    Udini na Ukanda ni sumu kwa taifa lolote, Watanzania tujaribu kuizuia

    Habari wanajf. Swala hili linaloendelea mitandaoni watu wakijaribu kulinganisha swala la bandari na udini na Ukanda linazidi kukua. Likiwa kubwa litatoka kwenye mitandao litaanza kulitafuna taifa letu. Nasema ni sumu Kali kwasababu halijawahi kutulizwa kirahisi likianza hasa kwenye nchi za...
  11. Nsanzagee

    Lissu alimkemea Magufuli na Mkapa ambao ni wakatoliki wenzie, huo udini anaopakaziwa sasa unatoka wapi?

    Watu wakiishiwa hoja, husingizia jinsia ama dini! Lissu sifahamu kama ni Mkristo ama dini gani. Ninachojua Tundu Lissu kwake suala la dini, ni la mtu na Mungu wake na siyo Tanzania inajisiwe na mtu awaye yote kwa sababu ya dini yake Inapotokea kiongozi yeyote anakuwa kinyume na sheria za nchi...
  12. M

    Sakata la kuuzwa bandari za Tanganyika limeipasua nchi kwa udini. Waislamu walalamikia Chadema kwa udini

  13. Kaka yake shetani

    CCM inatumia propaganda za udini na ukabila kukabiliana na vyama Makini vya upinzani

    Hili sakata la bandari ili kulituliza wanatumia propaganda za udini sasa. Kama mnakumbuka miaka ya nyuma CUF ilivyoipa shida CCM mpaka kueneza propaganda chama cha udini. Ikaja CHADEMA kikasemwa chama cha kikanda. Bado hamuoni kuwa CCM ndio adui wa hii nchi?
  14. B

    Wameshindwa kujitetea suala la DP World sasa wamehamia kwenye udini

    Mimi ni Mkatoliki, nikianzisha mjadala unaopinga Mkataba wa DP World kuhusu Bandari yetu basi naitwa mdini, naambiwa mimi mkatoliki sipendi waislam! Huu ndio ujinga gani? Yaani mnashindwa kujubu maswali muhimu ya wananchi mnaanza kuita watu ni wadini? By the way mtu ambaye anatafasiri kila...
  15. Nsanzagee

    DP World na kelele zinazoendelea, napata tabu sana kuamini iwapo Rais yupo ama laa! Na kama yupo mbona hatoi mwelekeo? Ona na huu udini!!

    Sauti ya Rais ni faraja, Rais, kwa sauti yake, ni dira ya nchi na wananchi Lakini pia, yeye ndiye kocha mkuu, kunapotokea wasaidizi wake wameelemewa uwanjani, yeye hutokea kubadili upepo wa mchezo Sasa yapata mwezi na ushee nchi ipo kwenye mzozo wa mkataba wa bandari! Kila upande...
  16. Zee la madawa

    Hii kitu haikubaliki, hii nchi udini umeota mizizi sasa

    SAKATA LA KUPOTEA RAJAB OMARI MTANA KIJIJI CHA LULAGO HANDENI 2013 NA HUKUMU YA KUNYONGWA MASHEIKH 10 TANGA 2013 Waislam 10 wamehukumiwa kunyongwa kwa tuhuma za kuua mlinzi mmoja. Kufikia hukumu hii kuna mengi na chanzo chake kilianzia katika biashara ya hiliki na malipo ya ushuru kijijini...
  17. G Sam

    Wanaotetea mkataba kati ya Tanzania bara na DP World wanasumbuliwa na udini!

    Niseme wazi kabisa wabaotetea huu mkataba wa kipuuzi kati ya Tanzania bara na DP World kuwa wamilikishwe bandari zote za Tanzania bara kwa mkataba usiokuwa na ukomo wanasumbuliwa na udini. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kuungana na huu upuuzi zaidi tu ya udini wao. Wana...
  18. kavulata

    Suala la bandari lina harufu ya chuki

    Inafahamika kuwa bandari zetu zinatoa huduma hafifu sana kwa wateja wake wanaozitegemea kwa huduma. Inafahamika kuwa bandari zetu hazitoi mapato yanayokusudiwa kwa taifa kwasababu mbalimbali zikiwemo zile za: 1. Ukosefu wa utaalam wa kuendesha bandari. 2. Ukosefu wa vifaa vya vya kisiasa vya...
  19. Zee la madawa

    Dkt. Slaa aache udini na undumilakuwili

    Dr. Slaa: Mkataba wa Bandari na DP World ya Dubai ni uuzwaji wa nchi Akiongea na waandishi wa habari kuhusu sakata la bandari leo 13th June 2023 Dr. Slaa amesema kuwa mkataba huo ni uuzaji wa nchi kwenye kipindi ambacho serikali iliyopo madarakani ina uhalali wa wasiwasi kutokana na uchaguzi...
  20. ONJO

    Dawa ya kuondoa udini yapatikana

    Habari zenu wanajamii Furaha yangu ni kupata majawabu ya kila swali. Leo ninayo njia ya kuondoa udini serikalini. Lipo neno linaitwa KWELI nalo ni mfano wa Biblia,na Quruan.Ila tofauti yake KWELI haitaji jina la mtume yeyote bali inafuata misingi,kanuni na sheria za nje.Hasa ikizingatia akili...
Back
Top Bottom