Tukiendekeza siasa na udini katika mashindano ya African Football League, hayatadumu

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,130
7,899
Haya mashindano aina ya African Football League ni rahisi kuona kwa nini huwa yanakwama sehemu nyingine na uwezekano wa kukwama hapa Africa tayari unaonekana.

Kutokana na mzozo wa kisiasa unaoendelea huko Mashariki ya Kati, mechi ya ufunguzi iligubikwa na viashiria vya kusapoti Palestina, kuanzia mabango yaliyoshikwa na mashabiki hadi ushangiliaji wa magoli wa wachezaji wa Al Ahly.

Tukumbuke mmoja wa wadhamini wakubwa wa AFL ni Saudi Arabia. Nimesoma mahali Israel wamewaambia raia wake waondoke Misri. Unadhani nini kinaenda kutokea katika mechi za Al Ahly pale Misri? Saudi Arabia wameamua kumwaga mapesa mengi katika soka duniani kote na hili linaleta mtafaruku huko Ulaya maana inaonyesha nyuma ya pazia kuna nia isiyo njema. Ni wiki iliyopita tu timu ya taifa ya Tanzania ilikwenda Saudi Arabia katikati ya ratiba ngumu za ligi na mashindano ya kimataifa, halafu eti tukacheza mechi ya kirafiki na Sudan. Safari ile ilikuwa na tija gani kwa timu? Mwisho wa siku wachezaji wanaonekana wameenda kwa shughuli za kiimani zaidi. Nitawaacha mconnect dots.

Moja ya maswali ya msingi ambayo Motsepe ilitakiwa kuulizwa ni utofauti utakaokuwepo kati ya mashindano haya mapya na mengine ya CAF hasa linapokuja suala la tabia mbovu ya nchi za Kaskazini katika mashindano ya CAF kuanzia uamuzi wa marefa, tabia za wachezaji uwanjani na mashabiki wao.

Kama mambo ni yale yale na kilichobadilika ni maslahi kuongezwa, linakuja swali, kwa nini hayo maslahi hayakupelekwa katika mashindano yaliyokuwepo na kuboresha tu taratibu? Ukiongeza timu zikawa 24, ina tofauti gani na group stage ya mashindano ya champions league? Kama bado tutaendelea kushuhudia mashabiki wanarusha mabomu ya moshi viwanjani pale timu zao zinapozidiwa, utofauti na hadhi iliyotegemewa ya mashindano haya haitakuwepo.

Haya mashindano yakionekana yameanzishwa yakiwa na agenda za siri nje ya mpira hayatafika mbali. Usishangae hata haya ya msimu huu wa kwanza yasifike mwisho.
 
Acha udini,
Shangilia Pira GAMONDI upate Raha!

Kumbuka hatuwezi kutenganisha maisha na matukio ya duniani na mpira ndio maana Bobby kafa UK wako uwanjani wanacheza na kuomboleza! Hujui maana kitambaa cheusi wachezaji huvaa kukiwa na msiba?!

Wabongo tuna udini grade one!
 
Mimi sioni kama kuna tatizo watu kupaza sauti zao kuwatetea Wapalestina wasio na hatia kuuwawa miaka nenda na hao Mayahudi.

Wakitaka watu kunyamaza, basi yaundwe Mataifa mawili kama mikataba ya huko nyuma inavyotaka.
 
Haya mashindano aina ya African Football League ni rahisi kuona kwa nini huwa yanakwama sehemu nyingine na uwezekano wa kukwama hapa Africa tayari unaonekana.

Kutokana na mzozo wa kisiasa unaoendelea huko Mashariki ya Kati, mechi ya ufunguzi iligubikwa na viashiria vya kusapoti Palestina, kuanzia mabango yaliyoshikwa na mashabiki hadi ushangiliaji wa magoli wa wachezaji wa Al Ahly.

Tukumbuke mmoja wa wadhamini wakubwa wa AFL ni Saudi Arabia. Nimesoma mahali Israel wamewaambia raia wake waondoke Misri. Unadhani nini kinaenda kutokea katika mechi za Al Ahly pale Misri? Saudi Arabia wameamua kumwaga mapesa mengi katika soka duniani kote na hili linaleta mtafaruku huko Ulaya maana inaonyesha nyuma ya pazia kuna nia isiyo njema. Ni wiki iliyopita tu timu ya taifa ya Tanzania ilikwenda Saudi Arabia katikati ya ratiba ngumu za ligi na mashindano ya kimataifa, halafu eti tukacheza mechi ya kirafiki na Sudan. Safari ile ilikuwa na tija gani kwa timu? Mwisho wa siku wachezaji wanaonekana wameenda kwa shughuli za kiimani zaidi. Nitawaacha mconnect dots.

Moja ya maswali ya msingi ambayo Motsepe ilitakiwa kuulizwa ni utofauti utakaokuwepo kati ya mashindano haya mapya na mengine ya CAF hasa linapokuja suala la tabia mbovu ya nchi za Kaskazini katika mashindano ya CAF kuanzia uamuzi wa marefa, tabia za wachezaji uwanjani na mashabiki wao.

Kama mambo ni yale yale na kilichobadilika ni maslahi kuongezwa, linakuja swali, kwa nini hayo maslahi hayakupelekwa katika mashindano yaliyokuwepo na kuboresha tu taratibu? Ukiongeza timu zikawa 24, ina tofauti gani na group stage ya mashindano ya champions league? Kama bado tutaendelea kushuhudia mashabiki wanarusha mabomu ya moshi viwanjani pale timu zao zinapozidiwa, utofauti na hadhi iliyotegemewa ya mashindano haya haitakuwepo.

Haya mashindano yakionekana yameanzishwa yakiwa na agenda za siri nje ya mpira hayatafika mbali. Usishangae hata haya ya msimu huu wa kwanza yasifike mwisho.
Jana game ya liver mashabiki walikua na bango 'God save gaza'
 
Siasa kwenye michezo imejaa na ndio maana Urusi ikafungiwa kushiriki mashindano ya fifa baada ya kuivamia Ukraine, na ndio maana mwaka jana ligi zote kubwa barani Ulaya jezi zote zilikuwa zilikuwa na bendera ya Ukraine ili kuonesha mshikamano kwa Ukraine.

Na ndio maana wachezaji ulaya wamekuwa wakirazimishwa kuvaa vitambaa vya kuhamasisha ushoga.

Na ndio maana hapa nchi kwako watu huwa wanaenda mabango ya mama anaupiga mwingi uwanjani ,sasa kwann iwe ajabu kwa wapalestina.

Mm nadhani tatizo ni ww.
 
Kwa hii thread bila shaka mtoa mada ni mtu asiye taka mabadiliko na ni mtu ana chuki binafsi...... michezo kwasasa ni biashara kubwa duniani tunaona makampuni mengi yana weka pesa kubwa kwenye michoezo hii yote kwasabu kuna potential katika michezo sasa imagine mtu anatilia shaka investment ya waarabu kisa wana weka pesa nyingi ila kipindi kile china wanafanya investment wana mwagasana pesa ulaya hakuna mtu alitilia shaka hili fatilia mzozo wa Mesut Ozil kuondoka arsenal ila akifanya muarabu inaonekana nitatizo whats wrong with u people kila jambo atalo fanya muarabu watu wanakuja na complaints za udini......

Tubadilike jamani waarabu nao ni binadamu nao wanaweza kufanya investment kama wanavo fanya watu wengine.....na kuhusu juzi wale ni mashabiki wameamua kuonesha hisia zao na wakatumia platform hiyo kufikisha ujumbe ni kama vile unavo ona mabango ya mama samia kwenye mechi hadi za ndondo cup.....tupunguze hizi chuki binafsi especially kwenye dini ita tugharimu
 
Haya mashindano aina ya African Football League ni rahisi kuona kwa nini huwa yanakwama sehemu nyingine na uwezekano wa kukwama hapa Africa tayari unaonekana.

Kutokana na mzozo wa kisiasa unaoendelea huko Mashariki ya Kati, mechi ya ufunguzi iligubikwa na viashiria vya kusapoti Palestina, kuanzia mabango yaliyoshikwa na mashabiki hadi ushangiliaji wa magoli wa wachezaji wa Al Ahly.

Tukumbuke mmoja wa wadhamini wakubwa wa AFL ni Saudi Arabia. Nimesoma mahali Israel wamewaambia raia wake waondoke Misri. Unadhani nini kinaenda kutokea katika mechi za Al Ahly pale Misri? Saudi Arabia wameamua kumwaga mapesa mengi katika soka duniani kote na hili linaleta mtafaruku huko Ulaya maana inaonyesha nyuma ya pazia kuna nia isiyo njema. Ni wiki iliyopita tu timu ya taifa ya Tanzania ilikwenda Saudi Arabia katikati ya ratiba ngumu za ligi na mashindano ya kimataifa, halafu eti tukacheza mechi ya kirafiki na Sudan. Safari ile ilikuwa na tija gani kwa timu? Mwisho wa siku wachezaji wanaonekana wameenda kwa shughuli za kiimani zaidi. Nitawaacha mconnect dots.

Moja ya maswali ya msingi ambayo Motsepe ilitakiwa kuulizwa ni utofauti utakaokuwepo kati ya mashindano haya mapya na mengine ya CAF hasa linapokuja suala la tabia mbovu ya nchi za Kaskazini katika mashindano ya CAF kuanzia uamuzi wa marefa, tabia za wachezaji uwanjani na mashabiki wao.

Kama mambo ni yale yale na kilichobadilika ni maslahi kuongezwa, linakuja swali, kwa nini hayo maslahi hayakupelekwa katika mashindano yaliyokuwepo na kuboresha tu taratibu? Ukiongeza timu zikawa 24, ina tofauti gani na group stage ya mashindano ya champions league? Kama bado tutaendelea kushuhudia mashabiki wanarusha mabomu ya moshi viwanjani pale timu zao zinapozidiwa, utofauti na hadhi iliyotegemewa ya mashindano haya haitakuwepo.

Haya mashindano yakionekana yameanzishwa yakiwa na agenda za siri nje ya mpira hayatafika mbali. Usishangae hata haya ya msimu huu wa kwanza yasifike mwisho.
Hayatofutwa mpka Yanga ayashiriki
 
Kuna mantiki gani kuwa na mashindano ya AFL sambamba na yale ya klabu bingwa barani Afrika si ni kuchosha wachezaji tu.
Mantiki ni Hela, Club zetu hazina hela hivyo tunaangalia Mashindano ambayo yatawezesha tupate hela zaidi.

Uwekezaji mdogo wa Bakhresa umewezesha Ligi yetu ku Attract vipaji toka Africa nzima, sasa hivi kawaida kukuta mchezaji anacheza ligi ya Tanzania Toka Mali, Ghana, Brazil, Serbia na nchi nyengine ambazo zamani si rahisi kuzikuta Tanzania.

Uwekezaji wa Saudia ni Mamia ya mabilioni ni hela nyingi mno ndio maana unaona Timu Kama Al Ahly inathubutu kusajili Mchezaji wa Dortmund.

Tutapokua na Mashindano yetu ya Africa yenye mapato makubwa tutaweza kuvutia vipaji mbalimbali duniani na kukuza vya kwetu badala ya kuangalia vya Ulaya tu.

Zile timu 20 tu za Ligi ya Uingereza zimelipa kodi zaidi ya Trilioni 10 kwa serikali yao, kuna opportunities kubwa sana kwa haya mashindano.
 
Haya mashindano aina ya African Football League ni rahisi kuona kwa nini huwa yanakwama sehemu nyingine na uwezekano wa kukwama hapa Africa tayari unaonekana.

Kutokana na mzozo wa kisiasa unaoendelea huko Mashariki ya Kati, mechi ya ufunguzi iligubikwa na viashiria vya kusapoti Palestina, kuanzia mabango yaliyoshikwa na mashabiki hadi ushangiliaji wa magoli wa wachezaji wa Al Ahly.

Tukumbuke mmoja wa wadhamini wakubwa wa AFL ni Saudi Arabia. Nimesoma mahali Israel wamewaambia raia wake waondoke Misri. Unadhani nini kinaenda kutokea katika mechi za Al Ahly pale Misri? Saudi Arabia wameamua kumwaga mapesa mengi katika soka duniani kote na hili linaleta mtafaruku huko Ulaya maana inaonyesha nyuma ya pazia kuna nia isiyo njema. Ni wiki iliyopita tu timu ya taifa ya Tanzania ilikwenda Saudi Arabia katikati ya ratiba ngumu za ligi na mashindano ya kimataifa, halafu eti tukacheza mechi ya kirafiki na Sudan. Safari ile ilikuwa na tija gani kwa timu? Mwisho wa siku wachezaji wanaonekana wameenda kwa shughuli za kiimani zaidi. Nitawaacha mconnect dots.

Moja ya maswali ya msingi ambayo Motsepe ilitakiwa kuulizwa ni utofauti utakaokuwepo kati ya mashindano haya mapya na mengine ya CAF hasa linapokuja suala la tabia mbovu ya nchi za Kaskazini katika mashindano ya CAF kuanzia uamuzi wa marefa, tabia za wachezaji uwanjani na mashabiki wao.

Kama mambo ni yale yale na kilichobadilika ni maslahi kuongezwa, linakuja swali, kwa nini hayo maslahi hayakupelekwa katika mashindano yaliyokuwepo na kuboresha tu taratibu? Ukiongeza timu zikawa 24, ina tofauti gani na group stage ya mashindano ya champions league? Kama bado tutaendelea kushuhudia mashabiki wanarusha mabomu ya moshi viwanjani pale timu zao zinapozidiwa, utofauti na hadhi iliyotegemewa ya mashindano haya haitakuwepo.

Haya mashindano yakionekana yameanzishwa yakiwa na agenda za siri nje ya mpira hayatafika mbali. Usishangae hata haya ya msimu huu wa kwanza yasifike mwisho.
Ulaya kote wanaweka hizo Bendera, Jana Sevilla na Madrid hali ilikua kama hivi
F8-9cxdWMAAnWmv.jpeg.jpg

Je la liga nao wanendekeza Siasa na Udini?

Ligi zote za Ulaya hizo Bendera zipo. Na ni pety issue kuwe na Bendera kusiwe na Bendera hakupunguzi wala kuongeza lolote kwenye mashindano.
 
Shida moja ambayo wote mnashindwa kuijua kuhusu mashindano haya ni kuwa hauwezi kuwa na ligi yenye timu permanent katika mazingira haya. Msilojua ni kuwa wanatengeneza ligi ya mfumo kama wa MLS, NFL au NBA ambapo timu hazibadiliki msimu kwa msimu. Wote mnaona nguvu kubwa ambayo Yanga wanatumia kuingia katika mashindano haya, sasa kumbuka karibu kila nchi kuna wapinzani wa jadi kama ilivyo hapa Simba na Yanga. Je timu 24 inatosha kumaliza shauku ya timu zote zinazodhani zina haki ya kujumuishwa? Ukimchagua mmoja, ukamuacha mwingine, kwanza unaua spirit ya ushindani ndani ya ligi ya nchi lakini pia unaleta element za chuki, wivu na husda kwa wale ambao watakuwa hawakuteuliwa. Hakuna ambaye amehoji taratibu zitakazotumika kubadili timu ambazo zitakuwa vibonde kila msimu.

Utakapoteua timu 24 permament za kushiriki AFL, zingine zitakazokuwa zinashinda ubingwa wa nchi kama siyo zile 24 zitakwenda wapi? Ndiyo maana swali la hatma ya champions league limeendelea kuulizwa na wengi na ndiyo swali lililokuwa linaulizwa huko Ulaya, CAF hawajalitolea ufafanuzi hilo swala badala yake wanaongelea tu maslahi kuongezeka.

Hii ligi ya AFL ingehusisha timu za nchi ikawa ligi kuu ya Africa halafu kuipa thamani kuliko ligi za vilabu ingekuwa na mantiki bora zaidi kwa Africa na ingejenga Uafrika zaidi na kuimarisha timu za taifa. Kama mligundua kwenye ufunguzi hawakupeperusha bendera za taifa bali za vilabu na hili niliwahi kukosoa humu ndani pale serikali inapoact kama Yanga na Simba ni timu za taifa. Niliwahi kuleta nyuzi kuongelea haya yote kwa hiyo ni kama nayarudia tu mengine.
 
Acha udini,
Shangilia Pira GAMONDI upate Raha!

Kumbuka hatuwezi kutenganisha maisha na matukio ya duniani na mpira ndio maana Bobby kafa UK wako uwanjani wanacheza na kuomboleza! Hujui maana kitambaa cheusi wachezaji huvaa kukiwa na msiba?!

Wabongo tuna udini grade one!

Mimi sioni kama kuna tatizo watu kupaza sauti zao kuwatetea Wapalestina wasio na hatia kuuwawa miaka nenda na hao Mayahudi.

Wakitaka watu kunyamaza, basi yaundwe Mataifa mawili kama mikataba ya huko nyuma inavyotaka.

Jana game ya liver mashabiki walikua na bango 'God save gaza'

Siasa kwenye michezo imejaa na ndio maana Urusi ikafungiwa kushiriki mashindano ya fifa baada ya kuivamia Ukraine, na ndio maana mwaka jana ligi zote kubwa barani Ulaya jezi zote zilikuwa zilikuwa na bendera ya Ukraine ili kuonesha mshikamano kwa Ukraine.

Na ndio maana wachezaji ulaya wamekuwa wakirazimishwa kuvaa vitambaa vya kuhamasisha ushoga.

Na ndio maana hapa nchi kwako watu huwa wanaenda mabango ya mama anaupiga mwingi uwanjani ,sasa kwann iwe ajabu kwa wapalestina.

Mm nadhani tatizo ni ww.

kwa hii thread bila shaka mtoa mada ni mtu asiye taka mabadiliko na ni mtu ana chuki binafsi...... michezo kwasasa ni biashara kubwa duniani tunaona makampuni mengi yana weka pesa kubwa kwenye michoezo hii yote kwasabu kuna potential katika michezo sasa imagine mtu anatilia shaka investment ya waarabu kisa wana weka pesa nyingi ila kipindi kile china wanafanya investment wana mwagasana pesa ulaya hakuna mtu alitilia shaka hili fatilia mzozo wa Mesut Ozil kuondoka arsenal ila akifanya muarabu inaonekana nitatizo whats wrong with u people kila jambo atalo fanya muarabu watu wanakuja na complaints za udini...... tubadilike jamani waarabu nao ni binadamu nao wanaweza kufanya investment kama wanavo fanya watu wengine.....na kuhusu juzi wale ni mashabiki wameamua kuonesha hisia zao na wakatumia platform hiyo kufikisha ujumbe ni kama vile unavo ona mabango ya mama samia kwenye mechi hadi za ndondo cup.....tupunguze hizi chuki binafsi especially kwenye dini ita tugharimu
Ulaya kote wanaweka hizo Bendera, Jana Sevilla na Madrid hali ilikua kama hivi
View attachment 2789220
Je la liga nao wanendekeza Siasa na Udini?

Ligi zote za Ulaya hizo Bendera zipo. Na ni pety issue kuwe na Bendera kusiwe na Bendera hakupunguzi wala kuongeza lolote kwenye mashindano.
Je Mtanzania mmoja au raia wa nchi nyingine yoyote akisema aingie na bendera ya kuisapoti Israel pale Cairo katika gemu ya kesho ya Al Ahly vs Simba ataachwa kwa uhuru atoe maoni yake? Mnashindwa nini kuelewa mantiki ya mambo haya? Naona kama haya mashindano yatakuwa na mwisho mbaya maana tumeyaanza vibaya sana, samahanini kama nitakuwa nimewakwaza. Ona kilichotokea kule DRC issue ya TP Mazembe, siasa imeingizwa mwisho wa siku timu inalazimika kuhamisha makazi na kuua mantiki yote ya kuwa na mashindano mapya yenye hamasa za mashabiki.

Tulijadili bila kuweka hisia. Najua Palestina wana kilio chao na naheshimu mapambano yao.
 
Hapo ni kutumia logic na uungwana tu,
Uungwana na logic ipi sasa? Haya mambo ya kisiasa ni "subjective" ndiyo maana FIFA huwa wanajaribu kusisitiza yasiingizwe katika mpira. Unadhani katika macho ya Waisrael, taifa lao haliko sahihi? Kama wachezaji wa Al Ahly waliweza kuonyesha kuwaunga mkono Palestina na hakuna aliyewabughudhi, je Kibu akitupia bao akaonyesha hisia zake kuisapoti Israel kwa sababu labda imani au logic yake inamwambia hivyo itakuwaje?
 
Haya mashindano aina ya African Football League ni rahisi kuona kwa nini huwa yanakwama sehemu nyingine na uwezekano wa kukwama hapa Africa tayari unaonekana.

Kutokana na mzozo wa kisiasa unaoendelea huko Mashariki ya Kati, mechi ya ufunguzi iligubikwa na viashiria vya kusapoti Palestina, kuanzia mabango yaliyoshikwa na mashabiki hadi ushangiliaji wa magoli wa wachezaji wa Al Ahly.

Tukumbuke mmoja wa wadhamini wakubwa wa AFL ni Saudi Arabia. Nimesoma mahali Israel wamewaambia raia wake waondoke Misri. Unadhani nini kinaenda kutokea katika mechi za Al Ahly pale Misri? Saudi Arabia wameamua kumwaga mapesa mengi katika soka duniani kote na hili linaleta mtafaruku huko Ulaya maana inaonyesha nyuma ya pazia kuna nia isiyo njema. Ni wiki iliyopita tu timu ya taifa ya Tanzania ilikwenda Saudi Arabia katikati ya ratiba ngumu za ligi na mashindano ya kimataifa, halafu eti tukacheza mechi ya kirafiki na Sudan. Safari ile ilikuwa na tija gani kwa timu? Mwisho wa siku wachezaji wanaonekana wameenda kwa shughuli za kiimani zaidi. Nitawaacha mconnect dots.

Moja ya maswali ya msingi ambayo Motsepe ilitakiwa kuulizwa ni utofauti utakaokuwepo kati ya mashindano haya mapya na mengine ya CAF hasa linapokuja suala la tabia mbovu ya nchi za Kaskazini katika mashindano ya CAF kuanzia uamuzi wa marefa, tabia za wachezaji uwanjani na mashabiki wao.

Kama mambo ni yale yale na kilichobadilika ni maslahi kuongezwa, linakuja swali, kwa nini hayo maslahi hayakupelekwa katika mashindano yaliyokuwepo na kuboresha tu taratibu? Ukiongeza timu zikawa 24, ina tofauti gani na group stage ya mashindano ya champions league? Kama bado tutaendelea kushuhudia mashabiki wanarusha mabomu ya moshi viwanjani pale timu zao zinapozidiwa, utofauti na hadhi iliyotegemewa ya mashindano haya haitakuwepo.

Haya mashindano yakionekana yameanzishwa yakiwa na agenda za siri nje ya mpira hayatafika mbali. Usishangae hata haya ya msimu huu wa kwanza yasifike mwisho.
Yaani wewe kuleta tu hii mada humu ndani tayari ni msiasa kama si mdini.....

Mbona hukuja na mada kuwasema waingereza walivyompiga figisu mmiliko wa Chelsea wa zamani kwa sababu tu ni mrusi, kwani zile sio siasa katika Mpira???

FIFA na wewe wote mna double standards, jambo likiwa dhidi ya muarabu au dhidi ya uislaam mnasema tusichanganye siasa na mpira lakini likiwa dhidi ya mpendae mnachanganya

#Free Palestine

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Je Mtanzania mmoja au raia wa nchi nyingine yoyote akisema aingie na bendera ya kuisapoti Israel pale Cairo katika gemu ya kesho ya Al Ahly vs Simba ataachwa kwa uhuru atoe maoni yake? Mnashindwa nini kuelewa mantiki ya mambo haya? Naona kama haya mashindano yatakuwa na mwisho mbaya maana tumeyaanza vibaya sana, samahanini kama nitakuwa nimewakwaza. Ona kilichotokea kule DRC issue ya TP Mazembe, siasa imeingizwa mwisho wa siku timu inalazimika kuhamisha makazi na kuua mantiki yote ya kuwa na mashindano mapya yenye hamasa za mashabiki.

Tulijadili bila kuweka hisia. Najua Palestina wana kilio chao na naheshimu mapambano yao.
Baba wa taifa hakuitambua israel,cairo hawaitambui israel,hatujui mini kitakupata ukipeperusha bendera ya israel cairo,sisi so wapiga ramli
 
Uungwana na logic ipi sasa? Haya mambo ya kisiasa ni "subjective" ndiyo maana FIFA huwa wanajaribu kusisitiza yasiingizwe katika mpira. Unadhani katika macho ya Waisrael, taifa lao haliko sahihi? Kama wachezaji wa Al Ahly waliweza kuonyesha kuwaunga mkono Palestina na hakuna aliyewabughudhi, je Kibu akitupia bao akaonyesha hisia zake kuisapoti Israel kwa sababu labda imani yake inamwambia hivyo itakuwaje?
Mkuu logic ambayo wadau wengine wanakuambia with or without hizi mambo hakubadilishi mashindano.

La liga yapo, Serie A yapo, Ligue 1 yapo, why ikitokea Africa iwe ni Dosari kwa Mashindano?

Na Tanzania ni Neutral ila Egpty sio Neutral hivyo Unatumia Busara mwenyewe.
 
Mimi sioni kama kuna tatizo watu kupaza sauti zao kuwatetea Wapalestina wasio na hatia kuuwawa miaka nenda na hao Mayahudi.

Wakitaka watu kunyamaza, basi yaundwe Mataifa mawili kama mikataba ya huko nyuma inavyotaka.
Leo nime like comment ya Tate Mkuu , huwa nazikimbia comment zake kwasababu anatusagiaga sana kunguni simba hahaha

Why nime-like? Sio tu imenifurahisha, hapana, ameongea ukweli

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom