uchawi

  1. Stroke

    JamiiForums Tanzania Uchawi upo, asikuambie mtu

    Walisema Serikali haiamini katika uchawi. Ila uchawi upo na asikuambie mtu aisee nimeona mwenyewe.
  2. Lattafa

    JamiiForums Tanzania Uchawi wa Kisasa : Je, Ushauri wa Kupata Mpenzi Unafanya Kazi?

    Nilitumia mbinu ya uchawi wa kisasa(Hyposis) kutoka kwenye YouTube kwa wiki moja. Nimekuwa nikikuta video mbalimbali za wanaume na wanawake wakitoa " Ushauri wa Uchawi ". Mfano, mbinu za kuongea, Kutoa Mapendekezo ambao ni ngumu kukataliwa. Mazoezi ya kujenga ujasiri, Hata " miiko" midogo ya...
  3. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mabasi Dar-Mbeya-Tunduma bila uchawi hutoboi

    Hii Njia usipojidhatiti lazima uangukie pua kama wafuatao, 1. Ndenjela 2. Ilasi 3. Sauli 4. Matema 5. Rungwe 6. Scandinavia 7. Hood, 8. Majinjah.
  4. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mbinu 5 Za Kisaikolojia Zilizokatazwa – Lakini Zinafanya Kazi Kama Uchawi

    1. Mbinu ya “Chaguo la Uongo” (False Choice Trick) Mfano: “Ungependa tukutane saa 9 au saa 11?” Kwa nje inaonekana ni wewe unachagua, lakini kisaikolojia chaguo zote mbili zinampeleka mpangaji kwenye anachotaka. Saikolojia Inavyofanya Kazi: Hii inaitwa Illusion of Control. Wakati ubongo wako...
  5. Ernst kipire

    JamiiForums Tanzania Nyerere alibainisha maadui wa Taifa letu kuwa ni Ujinga,umaskini na maradhi.Mimi naongeza na uchawi

    Nawasalimia wanajamvi Kwa jina la Mungu wetu mkuu(Yahweh). Iliwahi nikuliwa juu ya kauli ya mwasisi wa Taifa letu hayati Julious kambarage Nyerere,ambapo alisema,tukitaka kupiga hatua kama Taifa tunatakiwa Kuwa piga vita maadui zetu watatu (3) ambao ni Ujinga,maradhi na umaskini. Leo...
  6. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania JAMII CHAT: Uchawi ni sayansi ya kuunda miujiza au ni technique ya kufanya akili kuamini matokeo yametokana na miujiza?

    Karibuni:
  7. Think2

    JamiiForums Tanzania Huu ni uchawi kwenye mapenzi

    Hawa wanawake hawa aseoee
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi Mkenya aliyepotea Saudi Arabia kwa miaka 12 apatikana amefungwa gerezani kwa makosa ya uchawi.

    Esther Maria Njeri aliyepotea mwaka 2012 akiwa mfanyakazi wa ndani Saudi Arabia amegundulika kuwa mfungwa katika gereza la Almaz baada ya Mkenya mwenzake aliyeachiliwa kutoka gereza hilo kuwaambia ndugu zake waliokuwa wakimtafuta kwa miaka 12 kwamba walikuwa wote gerezani huku Esther akiwa...
  9. Mwanamke wa mithali 31

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli uchawi upo Duniani ?

    Hii imekaaje jamani... Leo usiku majira ya sa 8 kasoro niliamka na kutoka nje Kuna kitu nilisahau nilienda kuchukua hapo nje ( ndani ya fence) Nilivyofika kwenye varanda la nje sijui nini kilitokea Mimi nilianguka sehemu ambayo hata mtoto mchanga anayejifunza kutembea hawez kuanguka...
  10. Surya

    JamiiForums Tanzania Kanisa kuzidiwa na Uchawi (Giza)

    Sitaweka vifungu vya biblia lakini kwa atakayetaka apewe na vifungu wapi imeandikwa Tutampa. Mada ni Taifa la Mungu Israel na Taifa la Mungu Tanzania. Ushindani kati ya nguvu ya Uchawi (giza) na nguvu ya Nuru umeanza tangu Binadamu alipoumbwa hapa duniani. Na sehemu nyingi kuonekana Nguvu ya...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Kuamka ukiwa umechanjwa shingoni (imezungukwa yote) mbavuni na mapajani Ina maana gani?

    Dogo yamemkuta hayo mambo mara kadhaa jamani. Ni uchawi wenye tafsiri gani huu?!!!! Mbona maisha yanakera namna hii!!!!!!😡😡😡😡
  12. Papaah

    JamiiForums Tanzania Hivi kwenye imani kuna Uchawi eeh?

    Inakuaje mtu mpaka anaanza kumwamin mtu kama Tonny na wengine wa aina yake kiasi cha kumpa hela ati akiita sadaka, kwenda kushinda na kukesha huko? Kwa akili ya kawaida haikuji, hawa huwa wanalogwa kwanza...🤔
  13. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mahali hapa dar kuna uchawi kuzidi Chanika,chamazi na Mbagala ???

    Duh haya maisha sio poa sikutegemea kama dar es salaam jiji lenye kila aina ya starehe , kwamba na penyewe uchawi upo , yaani kuna uchawi balaa,sio poa hususani maeneo ya Mbagala, Chanika na chamazi dar nimeishi maeneo mengi ila sio kwa hayo maeneo yaani uchawi ndo ulipo lala, bora hata mikoani 😜
  14. kailojonhjo

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shattered Evil: Light And Shadow

    SHATTERED EVIL:LIGHT AND SHADOW MTUNZI:KAILOJONHJO.  UTANGULIZI SHATTERED EVIL: LIGHT AND SHADOW Ni simulizi inayochanganya ,mystery, fantasy,mapenzi, ujasusi Miaka ya zamani watu walisifika sana kua na nguvu iyo ilitokana na kua na upeo mkubwa wa akili mpaka...
  15. dorge

    JamiiForums Tanzania CWT kuna uchawi gani mabilioni ya wanachama inaliwa bila maelezo?

    Nini maana ya kuchanga, kutoa michango. Kwa kawaida michango ikitoka kwa wanachama linafwata jambo lingine. Matumizi ya michango kwenye malengo mliojiwekea. Hii cwt nilianza kuisikia miaka nenda rudi. Je haijafikia lengo? Je wanachama wanaendelea kuchanga? Kwa nini hawakomi kuchanga na...
  16. A

    JamiiForums Tanzania Zijue athari za Uchawi wa ghaskhini katika kazi zetu za kujipatia kipato

    Zijue athari za uchawi wa ghaskhini katika kazi zetu za kujipatia kipato Habari ya mchana ndugu mpendwa mfuatiliaji wa makala zetu mbalimbali zenye kukupa ufahamu juu ya maradhi mbalimbali yanayoizunguka jamii yetu, iwe ni maradhi yanayotokana na mazingira yanayotuzunguka au viumbe wenzetu...
  17. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Ukipanda Mimea au miti inazuiaje nguvu za Giza na uchawi.

    Nitakueleza kwa kina na kwa lugha rahisi jinsi mimea na miti hii inafanya kazi kuzuia nguvu za Giza: --- 🌿 1. Jinsi mimea inavyofanya kazi kuzuia nguvu za Giza ✅ (a) KIMWILI (Physical effect) 1. Harufu kali (aromatic compounds) Mimea kama uvumba, manemane, mkaratusi (eucalyptus), mikusu...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Uchawi hupo hii ni live tukio wala sio sinema.

    Kuna kipindi kinaitwa Easterntv kupitia youtube kikionesha kisa kilianza baada ya jamaa mwenye kipindi kuibua challange ya wapenzi ambaye mwanamke wake kumbe alikuwa anauza watoto na kuwaotoa bone marrow. kama mnaweza kufatilia mtafatilia mwanzo mpaka sasa. Sasa askari wamemtafuta sana ila baada...
  19. MABATI YA SUNBAK TANZANIA

    JamiiForums Tanzania Je watumishi wa Mungu hamuwezi kuhubiri bila kuongelea uchawi?

    Kuna jambo huwa nashindwa kulielewa . Je watumishi wa Mungu haumuwezo kuhubiri bila kuongelea uchawi? Je,lazima makinisani watu wazungumzie habari za ushirikina.
  20. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu halisi kwanini mtu akijitoa kwenye uchawi anauliwa.

    Kutoka Pm: " Mkuu Likud mbona siku hizi uandiki mada kuhusu uchawi? Anyways mtaani kwetu kuna mdada kafariki ghafla, mama ake anasemekana ni mchawi. Tetesi ni kwamba binti aliingizwa Kwenye uchawi then akaukataa. So nauliza kwanini MTU akijitoa Kwenye chama cha uchawi wana muua...
Back
Top Bottom