Tunapoelekea siku ya uchaguzi, kuna scenario kadhaa zitakazotokea kama ifuatavyo:
1) Kuna watu iwe mvua, jua, homa, foleni etc watavumilia na kupiga kura kuwachagua viongozi wanaowataka
2) Kuna watu waliojiandikisha ila hawatopiga kura kwa kuwa wapo nje ya Nchi
3) Kuna watu wamejiandikisha...