uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Kamanda Chily awatoa hofu wananchi kuelekea uchaguzi mkuu 2025

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamisha Msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G. Chilya amewatoa hofu wananchi wa Mkoa Ruvuma kuwa limejipanga vizuri kuimarisha hali ya Ulinzi na Usalama wakati wa Uchaguzi na baada ya Uchaguzi. Wito huo ameutoa Oktoba 26,2025 ikiwa ni muendelezo wa...
  2. M

    GE2025 Ole Sabaya: Kanisa la kweli halibishani na Serikali

    Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Kanisa la kweli la Bwana halibishani na Serikali kwakuwa Mamlaka ya Serikali yanatoka kwa Mungu hivyo amewaomba Viongozi na Waumin wa Makanisa mbalimbali kudumisha amani.
  3. DuaZaMama

    GE2025 RC Sirro: Hatukatazi watu kukaa vikundi lakini mnakaa kwa lengo gani?

    Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro amesema kuwa hawakatazi watu kukaa vikundi wakati ama baada ya kupiga kura kesho Oktoba 29 2025, kama watu hao watakuwa wanajadili mambo ya kawaida tu. Balozi Sirro amesema itakuwa shida tu pale watu hao wanaokaa vikundi wakiwa na lengo la kutaka...
  4. PAYE

    GE2025 Wapiga kura Zanzibar kushiriki kura ya mapema leo Jumanne

    Wapiga kura visiwani Zanzibar leo Oktoba 28, 2025 wanaanza zoezi la kupiga kura katika kile kinachofahamika kuwa ni "kura ya mapema" ya uchaguzi mkuu wa Tanzania. Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa kuanzia saa moja asubuhi na kufungwa saa 10 jioni na matokeo ya urais yatatangazwa ndani ya saa...
  5. M

    GE2025 Chama cha AAFP chajitoa mbio za ubunge na udiwani majimbo ya Arumeru Mashariki na Magharibi baada ya kuhujumiwa

    CHAMA CHA AAFP WILAYA YA ARUMERU KINATANGAZA KUJITOA KATIKA MCHAKATO WA UCHANGUZI WA UBUNGE NA MADIWANI KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI ΚΑΤΙΚΑ MAJIMBO YA ARUMERU MASHARIKI NA ARUMERU MAGHARIBI Chama cha AAFP wilaya Arumeru, Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kujitoa katika mchakato wa uchaguzi wa...
  6. DuaZaMama

    GE2025 Vijana Kahama wasema watajitokeza kupiga kura, wakataa maandamano

    Wananchi wa Kahama Mkoani Shinyanga wakiwemo Maafisa usafirishaji wanaotumia Pikipiki na Bajaji, Mama Ntilie, Machinga na wapiga debe wamebainisha maandalizi yao katika ushiriki wa uchaguzi Mkuu wa Jumatano hii Oktoba 29, 2025, wakisisitiza umuhimu wa Vijana wenzao kutotumika kisiasa na kwa...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Walimu Rukwa wahimizwa kujitokeza kupiga kura oktoba 29

    Chama cha Walimu Mkoa wa Rukwa (CWT) kimewahimiza walimu wote kushiriki kikamilifu katika zoezi la upigaji kura linalotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Rukwa, Mwalimu Doseph Ndalama, amesema chama hicho kinaendelea kushirikiana kwa...
  8. PAYE

    GE2025 Tarimba Abbas: Kinondoni inahitaji Watu wa kufanya Kazi, siyo kujifunza Kazi

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni Mkoani Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tarimba Gulam Abbas, amesema Jimbo la Kinondoni linahitaji watu wa kufanya kazi na siyo watu wa kujifunza kufanya kazi, akiwataka wananchi hao kumchagua ili kufanya kazi. ‎ ‎Akizungumza na wananchi Jimboni...
  9. Pascal Mayalla

    GE2025 From America with love: Kuna Watu ni wazalendo wa kweli wa TZ! Wamekuja kupiga tu kura na kurejea ughaibuni! Haya ni mapenzi makubwa kwa nchi yako!

    Wanabodi Hizi ni Salaam kutoka Marekani kwa Watanzania. Kiukweli kabisa, kuna watu ni Wazalendo kweli kweli kwa taifa lao, nimerejea nyumbani kutoka ughaibuni na nimekutana na watu Wazalendo wa ukweli wa taifa lao, licha ya vitisho vya maandamano kuvuruga uchaguzi, bado mtu anafunga safari...
  10. Roving Journalist

    GE2025 Mkoa wa Morogoro: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

    Wakuu, Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Morogoro. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka. Mkoa wa Morogoro una una jumla ya majimbo ya uchaguzi (11) ambayo ni Jimbo la Kilosa Jimbo la Mikumi...
  11. Mafyangula

    GE2025 Maroli yanasomba watu usiku huu Mwanza, ili kesho wajaze uwanja kwenye mkutano wa Samia

    Aibu kubwa mno! Yani nyie CCM si mnasemaga mnawatu wa kutosha na kama wanakipenda chama chao watakuja wenyewe kwenye hizo kampeni. kwanini mnanengeneka kuwasomba watu tena usiku kama ng'ombe au mbuzi? Embu acheni ushamba wenu! Nyie dawa yenu imeshaiva jikoni subiri mnyweshe sasa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru

    Mambo kama yameanza kunoga hivi! Huko Tarime watu wanapia tizi la nguvu kuelekea Oktoba 29. Leo wameanza kumtaka Heche achiliwe uhuru. Polisi na vyombo vya ulinzi na usalama salamu ziwafike sasa! ================ Muda huu Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru na watu...
  13. R

    GE2025 Kihongosi: Nchi haiongozwi kwa Jinsia, CCM imeleta Mgombea mwenye uwezo

    Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27, 2025 Jijini Mwanza, Kenani Kihongosi Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ameeleza kuwa suala la uongozi wa nchi haizingatii Jinsia bali kwa Maarifa, kanuni, katiba na miongozo " nchi...
  14. Cute Wife

    GE2025 Muliro na Mafwele walivyorekodiwa wakiongea na askari kuhusu maandamano. Wakiri kukamata watu, wawatishia kifo

    Wakuu, Haya nimewaletea kile chote alichosema Mafwele na Muliro kwenye kipande cha audio ya dk 9 walichorekodiwa na askari wakati wakiwaonya kuhusu kujihusisha na maandamano na kuripoti watu wanaojihusisha na maandamano au wanaoelekea huko ili washughulikiwe. Mbali na kuwakanya wamepewa na...
  15. Mafyangula

    GE2025 Zitto: Haiwezekani wewe mzazi umlipe mlizi anayelinda shule, ulipie umeme wa shule, kazi ya serikali ni nini? Michango hii tutaitoa

    Mgombea ubunge jimbo la Kigoma mjini kupitia ACT Wazalendo @actwazalendo_official Zitto Kabwe ameahidi kuwa chama chake kitakaposhinda nafasi ya ubunge na pamoja na kuwa na madiwani wengi kisha kuongoza Halmashauri ya Kigoma Ujiji kitaondoa michango yote mashuleni katika manispaa hiyo ambayo...
  16. Mafyangula

    GE2025 Kamati ya Amani Mpanda: Punguzeni polisi mitaani, mnajenga hofu kwa wananchi na haki ikiwepo uchaguzi utafanyika kwa amani

    Hofu imekuwa kubwa sana yani polisi wamesambaza sana! Kuafanya hivi sio suluhu bali mtawafanya hata walikuwa wanania ya kwenda kupiga kura watashindwa kwenda kupiga kura kwa kuogopa kukamatwa! ============ Wajumbe wa kamati za Amani na Ulinzi na Usalama za Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi...
  17. R

    GE2025 Kihongosi: CCM imebeba matumaini ya Tanzania

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27, 2025 Mkoani Mwanza ameeleza namna ambavyo Chama cha Mapinduzi (CCM) inaaminika na wananchi kwa kusikiliza na kutekeleza shida na...
  18. Waufukweni

    GE2025 Mawakala wa CHAUMMA Kibamba wakwama kuapishwa

    Mawakala 94 wa mgombea ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Edward Kinabo, bado hawajaapishwa na kulazimika kuweka kambi katika ofisi za wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo ya Kibamba na Ubungo. Imeelezwa, zoezi la kuwaapisha mawakala lilifanyika Oktoba 22...
  19. DuaZaMama

    GE2025 UVCCM Geita wakanusha taarifa iliyosambaa mitandaoni

    TAARIFA KWA UMMA TUPUUZE UPOTOSHAJI HUU Umoja Wa Vijana Chama Cha Mapinduzi mkoa Wa Geita haujatoa taarifa yoyote kuhusu hili jambo, ni watu wachache wasioitakia mema jumuiya yetu pamoja na amani ya Nchi yetu. Barua hiyo ambayo ilikuwa imelekeza vyombo vya ulinzi na usalama kuwa ndani saa 24...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Sheikh Alhad: Tuwasihi Gen-Z wetu changamoto hazitatuliwi kwa uharibifu

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum, ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kuelimisha vijana kuhusu umuhimu wa kulinda amani ya nchi, akisema changamoto wanazokutana nazo haziwezi kutatuliwa kwa vurugu bali kwa hekima na subira. Akizungumza...
Back
Top Bottom