Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamisha Msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G. Chilya amewatoa hofu wananchi wa Mkoa Ruvuma kuwa limejipanga vizuri kuimarisha hali ya Ulinzi na Usalama wakati wa Uchaguzi na baada ya Uchaguzi.
Wito huo ameutoa Oktoba 26,2025 ikiwa ni muendelezo wa...
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Kanisa la kweli la Bwana halibishani na Serikali kwakuwa Mamlaka ya Serikali yanatoka kwa Mungu hivyo amewaomba Viongozi na Waumin wa Makanisa mbalimbali kudumisha amani.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro amesema kuwa hawakatazi watu kukaa vikundi wakati ama baada ya kupiga kura kesho Oktoba 29 2025, kama watu hao watakuwa wanajadili mambo ya kawaida tu.
Balozi Sirro amesema itakuwa shida tu pale watu hao wanaokaa vikundi wakiwa na lengo la kutaka...
Wapiga kura visiwani Zanzibar leo Oktoba 28, 2025 wanaanza zoezi la kupiga kura katika kile kinachofahamika kuwa ni "kura ya mapema" ya uchaguzi mkuu wa Tanzania.
Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa kuanzia saa moja asubuhi na kufungwa saa 10 jioni na matokeo ya urais yatatangazwa ndani ya saa...
CHAMA CHA AAFP WILAYA YA ARUMERU KINATANGAZA KUJITOA KATIKA MCHAKATO WA UCHANGUZI WA UBUNGE NA MADIWANI KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI ΚΑΤΙΚΑ MAJIMBO YA ARUMERU MASHARIKI NA ARUMERU MAGHARIBI
Chama cha AAFP wilaya Arumeru, Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kujitoa katika mchakato wa uchaguzi wa...
Wananchi wa Kahama Mkoani Shinyanga wakiwemo Maafisa usafirishaji wanaotumia Pikipiki na Bajaji, Mama Ntilie, Machinga na wapiga debe wamebainisha maandalizi yao katika ushiriki wa uchaguzi Mkuu wa Jumatano hii Oktoba 29, 2025, wakisisitiza umuhimu wa Vijana wenzao kutotumika kisiasa na kwa...
Chama cha Walimu Mkoa wa Rukwa (CWT) kimewahimiza walimu wote kushiriki kikamilifu katika zoezi la upigaji kura linalotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Rukwa, Mwalimu Doseph Ndalama, amesema chama hicho kinaendelea kushirikiana kwa...
Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni Mkoani Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tarimba Gulam Abbas, amesema Jimbo la Kinondoni linahitaji watu wa kufanya kazi na siyo watu wa kujifunza kufanya kazi, akiwataka wananchi hao kumchagua ili kufanya kazi.
Akizungumza na wananchi Jimboni...
Wanabodi
Hizi ni Salaam kutoka Marekani kwa Watanzania.
Kiukweli kabisa, kuna watu ni Wazalendo kweli kweli kwa taifa lao,
nimerejea nyumbani kutoka ughaibuni na nimekutana na watu Wazalendo wa ukweli wa taifa lao, licha ya vitisho vya maandamano kuvuruga uchaguzi, bado mtu anafunga safari...
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Morogoro. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Morogoro una una jumla ya majimbo ya uchaguzi (11) ambayo ni
Jimbo la Kilosa
Jimbo la Mikumi...
Aibu kubwa mno! Yani nyie CCM si mnasemaga mnawatu wa kutosha na kama wanakipenda chama chao watakuja wenyewe kwenye hizo kampeni. kwanini mnanengeneka kuwasomba watu tena usiku kama ng'ombe au mbuzi?
Embu acheni ushamba wenu! Nyie dawa yenu imeshaiva jikoni subiri mnyweshe sasa...
Mambo kama yameanza kunoga hivi! Huko Tarime watu wanapia tizi la nguvu kuelekea Oktoba 29. Leo wameanza kumtaka Heche achiliwe uhuru.
Polisi na vyombo vya ulinzi na usalama salamu ziwafike sasa!
================
Muda huu Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru na watu...
Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27, 2025 Jijini Mwanza, Kenani Kihongosi Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ameeleza kuwa suala la uongozi wa nchi haizingatii Jinsia bali kwa Maarifa, kanuni, katiba na miongozo
" nchi...
Wakuu,
Haya nimewaletea kile chote alichosema Mafwele na Muliro kwenye kipande cha audio ya dk 9 walichorekodiwa na askari wakati wakiwaonya kuhusu kujihusisha na maandamano na kuripoti watu wanaojihusisha na maandamano au wanaoelekea huko ili washughulikiwe.
Mbali na kuwakanya wamepewa na...
Mgombea ubunge jimbo la Kigoma mjini kupitia ACT Wazalendo @actwazalendo_official Zitto Kabwe ameahidi kuwa chama chake kitakaposhinda nafasi ya ubunge na pamoja na kuwa na madiwani wengi kisha kuongoza Halmashauri ya Kigoma Ujiji kitaondoa michango yote mashuleni katika manispaa hiyo ambayo...
Hofu imekuwa kubwa sana yani polisi wamesambaza sana! Kuafanya hivi sio suluhu bali mtawafanya hata walikuwa wanania ya kwenda kupiga kura watashindwa kwenda kupiga kura kwa kuogopa kukamatwa!
============
Wajumbe wa kamati za Amani na Ulinzi na Usalama za Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27, 2025 Mkoani Mwanza ameeleza namna ambavyo Chama cha Mapinduzi (CCM) inaaminika na wananchi kwa kusikiliza na kutekeleza shida na...
Mawakala 94 wa mgombea ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Edward Kinabo, bado hawajaapishwa na kulazimika kuweka kambi katika ofisi za wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo ya Kibamba na Ubungo.
Imeelezwa, zoezi la kuwaapisha mawakala lilifanyika Oktoba 22...
TAARIFA KWA UMMA TUPUUZE UPOTOSHAJI HUU Umoja Wa Vijana Chama Cha Mapinduzi mkoa Wa Geita haujatoa taarifa yoyote kuhusu hili jambo, ni watu wachache wasioitakia mema jumuiya yetu pamoja na amani ya Nchi yetu.
Barua hiyo ambayo ilikuwa imelekeza vyombo vya ulinzi na usalama kuwa ndani saa 24...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum, ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kuelimisha vijana kuhusu umuhimu wa kulinda amani ya nchi, akisema changamoto wanazokutana nazo haziwezi kutatuliwa kwa vurugu bali kwa hekima na subira.
Akizungumza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.