uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Kihongosi: Rais Samia amefuatiliwa mtandaoni mara Milioni 164. 9, hii inadhihirisha kukubalika kwake kama Mgombea Urais wa CCM

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27, 2025 Mkoani Mwanza ameeleza namna Chama cha Mapinduzi kimefanikiwa kwa kufatiliwa na watu wengi Mtandaoni na umati mkubwa kuhudhuria...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Polisi kusini unguja wajipanga kudhibiti uvunjifu wa amani uchaguzi mkuu 2025

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) DANIEL SHILLAH, amesema Jeshi la Polisi Mkoani humo limejipanga imara kuhakikisha linakabiliana na matukio ya ukiukwaji wa sheria yatakayojitokeza siku ya Uchaguzi Mkuu 2025. Akizungumza na Waandishi wa...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Zitto: Hakutakuwa na maandamano, kutakuwa na uchaguzi wa amani haijawahi kutokea!

    Sijui hata kwanini tunazungumzia maandamano, kwa sababu chama ambacho kinaweza kuita maandamano ni ACT tu, na sisi tunashiriki uchaguzi kupiga kura...." Zitto Kabwe Mgombea Ubunge kupitia Act jimbo la Kigoma Mjini
  4. Cute Wife

    GE2025 Ukivaa nguo za CHADEMA, au kuongelea maandamano unawekwa gerezani hadi uchaguzi upite, jishikilie huo mdomo mpaka MO29!

    Wakuu, Hiki ndicho kinaendelea wakati huu, ukionekana umevaa gwanda za CHADEMA au unajisogoze sogeza na kuwa na viashiria vya kuwa mwana CHADEMA unadakwa chap, wanakutia selo, ndugu zako wanaambiwa hutoki mpaka uchaguzi uishe, hivyo wajipange tu kukuletea chakula na mahitaji muhimu...
  5. DuaZaMama

    GE2025 UVCCM Geita watoa masaa 24 kwa vyombo vya usalama kumtafuta mwenyekiti wao aliyetekwa Ndugu Manjale Magambo

    Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Geita umesikitishwa na kulaani vikali kitendo cha kutekwa kwa Mwenyekiti wa Mkoa, Ndugu Manjale Magambo, kilichotokea usiku wa saa tatu, tarehe 24 Oktoba 2025, katika makazi yake yaliyopo eneo la Bombambili, Geita Mjini. Taarifa tulizonazo zinaeleza kuwa...
  6. kagoshima

    GE2025 Nadhani hakukua na haja Mafwele kusema amekamata wanajeshi wanne kwa kuchana bango la Samia

    Tusiwachanganye wajeda na mambo ya siasa. Hatuna jeshi lingine. Tunadhofisha psychology ya jeshi letu. Ujue wanajeshi wameapa kutojihusisha na siasa. Waache walinde nchi Mafwele hakupaswa kutangaza kukamatwa kwa wanajeshi kwa kosa la kisiasa angeongelea kiujumla tu na kuficha identity. Kuna...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Mchungaji Matonya: Hamu ya madaraka isiligawe taifa

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji Moses Matonya, amesema viongozi wa Tanzania wana wajibu mkubwa katika kuhakikisha amani, umoja na mshikamano vinaendelea kudumu nchini, hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza Jumatatu, Oktoba 27, 2025...
  8. tonicimmobility

    GE2025 Mwinyi: Wasiotaka amani ni watu wa ajabu sana

    Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amehitimisha kampeni zake kisiwani Pemba siku ya Jumapili kwa kutoa ahadi kumi za kipaumbele ambazo amesema atazitekeleza endapo atachaguliwa kuendelea kuongoza serikali ya awamu ijayo. Akizungumza katika...
  9. DuaZaMama

    GE2025 Luhaga Mpina: Wananchi wanaotaka kuandamana wasikilizwe haraka kabla ya Oktoba 29, 2025

    Mgombea wa nafasi ya urais kupitia chama cha Act- Wazalendo Luhaga Mpina amesema kuwa wananchi waodai No Reforms No Election, wanaotaka kulinda kura, wanaotaka kuandamana, na wale wenye kesi za kisiasia wasikilizwe haraka sana kabla ya Oktoba 29, 2025. Mpina ameyasema hayo leo Oktoba 27, 2025...
  10. tonicimmobility

    GE2025 Njombe: Mgombea wa CHAUMMA aibukia mkutano wa ACT

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Njombe Mjini kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Sigrada Mligo jana Oktoba 26, 2025 alitumia Jukwaa la ACT kuzungumza na wakazi wa Njombe mjini pamoja na kumnadi Mgombea Udiwani wa Kata ya Mji Mwema kupitia Chama Cha ACT Wazalendo, Abuu Mtamike. Sigrada...
  11. R

    GE2025 Queen Darlin: Mungu angenipa uongozi ningewavunja vunja na ningewakata kata mnaotaka kuandamana, Mpeni Samia kura

    Msanii wa muziki wa Bongo fleva Queen Darlin amesema laiti Mungu angempa uongozi basi wale wanaopanga kujiandaa Oktoba 29, 2025 angewakata kata na kuwavunja miguu akidai Rais Samia ametekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miradi ya maji na viwanda
  12. Waufukweni

    GE2025 Mpina: Uchaguzi usifanyike hadi Mahakama itoe uamuzi

    Luhaga Mpina, aliyekuwa mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, leo Oktoba 27, amezungumzia rufaa yake aliyokata katika Mahakama ya Rufaa baada ya Agosti 6, 2025, kuteuliwa na chama hicho kugombea urais wa JTM. https://www.youtube.com/live/fHp9tErbuV4 Septemba 13, 2025 Tume Huru ya Taifa ya...
  13. tonicimmobility

    GE2025 Mwambegele: Tumehakikisha wapiga kura wanapata vituo vya karibu

    Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, ametembelea na kujionea maandalizi ya ujenzi wa vituo 83 kati ya 90 vya wapiga kura vilivyotengwa maalum kwa ajili ya wakazi wa maeneo ya zamani ya Kata za Ilangu, Ipwaga, Bulamata na Mishamo, zilizokuwa...
  14. Mtu Alie Nyikani

    GE2025 Nani kawapa CCM mamlaka ya kutuma SMS kwa watu, kuomba wakapige kura kwa Samia?

    Habari wana JF? Nianze kwa kusema naichukia CCM na watu wake, yaani nikisikia neno au sauti inatamka au kusema "CCM" napata kichefuchefu. Hii chuki yangu ni kwa sababu ya udharimu na unyonyaji ambao CCM imeufanya kwa zaidi ya miaka 40 na inaendela kufanya. Leo nimeamka nakutana na message...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Nape: Utu wa Rais Samia ndiyo nguzo ya amani ya Taifa

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amemsifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa uongozi wake uliojengwa katika misingi ya utu, usikivu na maridhiano. Akizungumza na wananchi wa Jimbo la Mtama wataka Waufungaji Wa...
  16. Cute Wife

    GE2025 Shabiki wa Simba aliyevaa jezi iliyoandikwa "I Love Lissu" hajulikani alipo

    Wakuu, Shabiki hiyo anayefahamika kwa jina la Abaissa Georgina (KE) alikuwa amevaa jezi yenye maneno "I LOVE LISSU" mgongoni, alipokuwa anaingia uwanjani akiwa ameongozana na ndugu zake kuangalia mechi ya Simba dhidi ya Nsingizini leo Oktoba 26, 2025. Wakati anaingia uwanjani alikamatwa na...
  17. L

    GE2025 Dkt Kikwete ahitimisha na kufunga Kampeni za Wanu Hafidhi Kwa Kishindo kikuu Makunduchi Zanzibar

    Ndugu zangu Watanzania, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Amehitimisha na Kufunga Kampeni za Mheshimiwa Wanu Hafidhi kwa kishindo kikuu kilichoitetemesha Zanzibar nzima. Ambapo Mgombea huyo wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Makunduchi amepata Heshima ya kipekee...
  18. Abraham Lincolnn

    GE2025 Kwenda kushiriki uchaguzi wakati kuna watu wametekwa na hawajulikani walipo ni kukosa utu, Ni kukosa uzalendo na kukataa misingi ya haki

    Unadiriki vipi kutoka kwenda kupiga kura wakati huo kiongozi wa chama cha upinzani yupo jela akituhumiwa kwa kesi ya uongo ambayo hatma yake ni kunyongwa? Unathubutuje kutoka kupiga kura huku kuna machozi na vilio vya watu kila kona ya nchi ambao ndugu zao wamepotezwa? unaendaje kushiriki...
  19. Mafyangula

    GE2025 Agnesta Kaiza aahidi kuwafuta machungu Wananchi wa Segerea

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Agnesta Kaiza, ameahidi kuwafuta wananchi machungu waliyoyapata wakati wa uongozi uliopita chini ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Bonnah Kaluwa. Akizungumza Oktoba 26,2025 katika moja ya mikutano yake ya kampeni...
  20. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Askofu Msoganzila: Uchaguzi ufanyike kwa haki na amani. Nendeni mkapige kura

    Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Musoma mkoani Mara, Michael Msoganzila leo Oktoba 26, 2025 amewaomba waumini wa kanisa hilo kuombea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Jumatano Oktoba 29, 2025 ili uwe wa haki na amani na kuwahimiza kwenda kupiga kura na kuchagua kiongozi wanayeona anafaa kwa...
Back
Top Bottom