uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Alex khalifa

    Naomba radhi wanaJamii Forums wa iq kubwa oktoba nitatiki

    Nimekaa nikawasikiliza wapinzani nikagundua jambo niwachonganishi na wana roho mbaya mfano ACT Wazalendo nimekaa pale Zanzibar miaka hiyo hao jamaa wanaroho mbaya yani wao mbara wanamuona kama adui ilihali watoto wao wanasoma bara puuzi kabisa hua namshangaa mbara ane washabikia hao mafedhuri...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Riziki Lulida: Tusiruhusu damu kumwagika, ni jambo baya sana

    Hata mimi sipendi kumwaga damu. Kwahiyo kama viongozi wanapaswa kuwasikiliza wa nchi ================ Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Riziki Saidi Lulida, ametoa wito kwa Watanzania wote kuendelea kulinda misingi ya amani na mshikamano iliyojengwa tangu...
  3. Mafyangula

    GE2025 Mzee Malecela: Amani haina bei, na hakuna aliyeishika

    Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, John Malecela, amewaasa Watanzania kudumisha amani na utulivu kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumatano Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa hakuna kitu cha thamani zaidi ya amani. Pia, Malecela amewataka wananchi waendelee...
  4. Mafyangula

    GE2025 Samia: Tutajenga kituo cha mabasi Mkuranga

    Baada ya kilio cha muda mrefu cha wakazi wa mikoa ya Kusini mwa Tanzania cha kukosa kituo kikuu cha mabasi, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi sasa kitajengwa katika eneo la Mkuranga mkoani Pwani. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mwandege...
  5. Common Folk

    Nyerere, Mwinyi, Mkapa kamwe wasingethubutu kutishia raia kwa "Mimi ndiye amiri jeshi mkuu" au "Hakuna Nywi nywi nywi"

    Hata hali ingekuwa mbaya vipi upande wao kisiasa, kamwe hawa wazee wetu wasingethubutu kutishia wananchi kwa kutumia hiko cheo cha juu cha nchi hii ambacho kiuhalisia ni "Sacred Post". Labda endapo kungekuwapo na tishio la kikundi cha uvunjifu amani kama yale yaliyotokea Kibiti. Lakini kamwe...
  6. R

    GE2025 Kada wa CCM, Manson Kimbo: Vijana tukosoe viongozi kwa heshima, tushiriki uchaguzi kwa amani na tukachague CCM

    Mdau wa maendeleo na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Manson Kimbo, amesisitiza kuwa vijana wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani ya Tanzania kwa wivu mkubwa. Amesema maendeleo ya taifa lolote hutegemea amani, hivyo amewataka vijana na jamii kwa ujumla kuepuka kushiriki katika...
  7. R

    GE2025 Viongozi wa dini Rukwa: Wapuuzeni wanaoshawishi vurugu Mitandaoni, Tusishiriki kwenye Maandamano tukapige kura

    Viongozi mbalimbali wa dini mkoani Rukwa wametoa wito kwa waumini wao juu kuwapuuza watu wanao shawishi kupitia mitandao ya kijamii ili kufanya vurugu na maandamano wakati wa uchaguzi mkuu na badala yake wajitokeze kutimiza haki yao ya kikatiba kwa kuwachagua viongozi wanao wataka kwa maslahi ya...
  8. R

    GE2025 Catherine Ruge: Nimekuwa nikifanyiwa vurugu kwenye kampeni zangu, Polisi hawatoi ushirikiano ipasavyo

    Mgombea Ubunge Jimbo la Serengeti mkoani Mara kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Catherine Ruge amedai kuvamiwa na kuletewa vurugu kwenye baadhi ya mikutano yake ya kampeni huku pia akidai Jeshi la Polisi halilindi mikutano yake ipasavyo. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye...
  9. R

    GE2025 Dkt. Shaimaa Mohamed: Maandamano yanaruhusiwa kisheria, lakini kwanini muandamane siku ya uchaguzi?

    Dkt. Shaimaa Mohamed kutoka London Hospital iliyopo mkoani Dar es Salaam, katika Kongamano la Wanawake wa Dar es salaam, linalofanyika leo Oktoba 26, 2025, katika ukumbi wa mikutano wa DYCCC, Chang'ombe, ameelezaa kuwa hatua ya kutaka kufanya maandamano siku ya kupiga kura ni ishara ya kuwa...
  10. R

    GE2025 Ofisi ya Mufti Zanzibar yaeleza kutofunga Madrassa kipindi cha uchaguzi ili kuondoa hofu ya kutokuwepo amani

    Ofisi ya Mufti Zanzibar, imeeleza sababu za kutofunga madrasa wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu ili kuondosha hofu na kujenga taharuki kwa wananchi kwamba hakuna amani Pia, imewatahadharisha waandishi wa habari kuzingatia weledi na kuacha kuandika habari zitakazoleta taharuki na kusababisha...
  11. JanguKamaJangu

    GE2025 Mwalimu wa UDSM, Dr. Mbunda: Uwanja wetu wa Siasa umejaa giliba, dhulma na ubabe, Tukiri tumekosea na tukubali suluhu

    TUKIRI TUMEKOSEA KISIASA; NA TUKUBALI TUNAHITAJI SULUHU ISIYO YA MAZOEA “Mawazo hayapigwi rungu, mawazo yanashindwa na mawazo yaliyo bora zaidi”-Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Usuli Katika kipindi cha wiki nne za mwisho za kampeni ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, tumeshuhudia kitu tofauti...
  12. R

    GE2025 DCP David Misime: Wanawake mkahamasishe amani majumbani kuelekea uchaguzi Oktoba 29

    Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, Naibu Kamishna wa Polisi ,(DCP) David Misime ameeleza kuwa jukumu la kulinda amani ni la kila Mtanzania, kwani vitendo vya uhalifu na uvunjifu wa amani vinafanywa na watu waliopo katika jamii ‎ ‎Misime amebainisha hayo katika Kongamano la Wanawake wa Dar es...
  13. R

    GE2025 Mwenyekiti JUWAKITA, Mariam Mtambo: Tukitaka Maandamano yatakuwa, Tusipotaka hayatokuwa

    Mwenyekiti wa Jumuiya wa Wanawake wa Kiislamu Tanzania (JUWAKITA), Mariam Mtambo, amesema wanawake katika jamii ni kundi kubwa ambalo lina nguvu ya kuamua au kutoamua juu ya ufanyikaji wa maandamano, akiwataka wanajamii kujitokeza kupiga kura ili kuchagua viongozi wanaowataka badala ya kufanya...
  14. R

    GE2025 Watangazaji radio47 Kenya: Watanzania mkienda kuandamana mkumbuke Polisi wenu hawana huruma kama Kenya, Muacheni Samia amalize muda wake

    Wakuu, Huyu mbona kama kalipwa afanye promo, nakataa hii siyo akili ya Kenya ------------- Watangazaji wa kipindi cha Maaskani cha Radio47 nchini Kenya, Billy Miya na Mbaruk Mwalimu, walitoa onyo kwa wananchi wa Tanzania wanaotaka kuandamana, wakikumbusha kuwa Polisi wa Tanzania hawana huruma...
  15. R

    GE2025 SACP Augustino Senga: Mkoa wa Songwe upo salama watu wakapige kura bila kuogopa

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga, amewahakikishia wananchi Mkoani humo kuwa Mkoa wa Songwe upo salama, wenye utulivu na amani Akizungumza na askari wa Jeshi la Polisi walioungana na majeshi mengine ya vyombo vya ulinzi na usalama...
  16. R

    GE2025 Apostle Nick Shaboka: Kuilinda Tanzania ni muhimu kuliko kupigania ndoto za mtu fulani

    Akizungumza katika kipindi cha radio Gospel Traxx Clouds FM Apostle Nick Shaboka ametaka Watanzania kwa pamoja kuilinda amani kwani Tanzania ni muhimu kuliko kupigania matakwa au ndoto za mtu mmoja hasa katika kipindi hiki ambapo kumekuwepo kwa taarifa nyingi, ushawishi mwingi na kampeni...
  17. R

    GE2025 Katibu wa Watanzania waishio China: Wanaohamasisha vurugu nchini wana sababu binafsi

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Watanzania waishio nchini China Alawi Abdallah amesema Watanzania wote walioko nje ya nchi ambao wamekuwa wakilalamikia mifumo ya uchaguzi na demokrasia nchini Tanzania wamekuwa hawana dhamira ya dhati ya kutaka mabadiliko bali wamekuwa wakiongoza na maslahi binafsi na...
  18. R

    GE2025 RC Katavi: Usalama utakuwepo siku ya Uchaguzi, vyombo vya ulinzi vimejipanga vizuri

    Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewakikishia usalama wananchi wa mkoa huo na kuwataka kushiriki kikamilifu katika zoezi la uchaguzi Mkuu wa mwaka huu linalotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba, 2025 kote nchini Pia alisema, Kamati za Ulinzi na Usalama pamoja na vyombo vya dola...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    GE2025 Polisi wana jukumu la kulinda waandamanaji na sio kuwapa vitisho

    POLISI WANA JUKUMU LA KULINDA WAANDAMANAJI NA SIO KUWAPA VITISHO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Kupiga kura ni haki na kuandamana ni haki. 2. Kama wapiga kura watalindwa basi hata waandamanaji wana haki ya kulindwa. 3. Madai ya waandamanaji mengi yanahoja na yanahitaji kufanyiwa kazi...
  20. tonicimmobility

    GE2025 Sheikh Yahya: Tukiwa na Kiongozi asiyependwa uovu utakuwepo

    “Kila mtu akapige kura ili tumpate tunayemtaka; tusiwekewe tusiyemtaka. Kwa sababu kuchagua kiongozi anayefaa huo ni mchango wa kusaidia kuleta wema na kufanya wema. Akiwepo ambaye hapendwi katika viongozi, uovu utakuwepo. Ili tusaidie uovu usiwepo, lazima sote tumchague yule tunayemtaka —...
Back
Top Bottom