uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tucker carlson

    GE2025 Ni kweli Samia alipata kura Milioni 31. Hii ndio mbinu waliotumia CCM kupata hizo kura

    Kura ni kweli alipata. CCM wanaposema Samia amepata kura Milioni 31 hawadanganyi. Kwao kura moja sio lazima ipigwe na mpigakura mmoja. Kama mnavyoona kwenye video mpiga kura mmoja anaweza kuweka nyingi awezavyo tena kwa usaidizi wa watu kutoka kwenye tume ya taifa ya Uchaguzi. CCM Oyeee!
  2. Pascal Mayalla

    PostGE2025 Kuzimwa kwa Internet kipindi cha Uchaguzi ni ukiukwaji wa haki za Binadamu na imesababisha hasara kubwa

    Wanabodi Kitendo cha Tanzania kuzima internet kwa siku 5 mfululizo toka siku ya uchaguzi mkuu, kimepelekea Tanzania kubalaswa kimataifa, kuwa uzimaji huo wa internet sio tuu ni ukiukwaji wa haki za binadamu, bali pia umesababisha hasara kubwa za ma bilioni ya pesa. Hii ni taarifa ya taasisi ya...
  3. Black Opal

    PostGE2025 Mbali na Chaneli ya Al-Jazeera kuzuiwa kwenye Visimbuzi Tanzania, tovuti yao pia imepigwa pini! Mnaficha nini?

    Mbali na Al Jazeera kupigwa pini kwenye visimbuzi Tanzania, jamaa wameona haitoshi wakaenda block na website yao! Sasa hivi tovuti hiyo haipatikani Tanzania mpaka utumie VPN. Jinsi inavyokuwa ukijaribu kufungua bila VPN Sasa unajiuliza, kama walisema watanzania hawajaandamana, waliokufa pia...
  4. McLaren

    GE2025 Hivi ndivyo Watanzania Walivyomsalimia Museveni baada ya kupongeza "ushindi" wa Samia

    Wakuu, Nilikuwa nilipitia post ya Museveni akiwa anampongeza Samia kwa kushinda Urais na kupitia hiyo post nimeona Watanzania wametuma salamu mbili tatu hapo Uzuri wa Watanzania siku hizi wanafuatilia vitu na wanajua what they are talking about. Ni aibu sana kwa nchi ambayo ilikuwa ni kitovu...
  5. Black Opal

    PostGE2025 Baada ya kushindwa kuficha ushahidi, sasa mnataka kuwaangushia mzigo CHADEMA waliokuwa gerezani. Ni ujinga gani huu?

    Yaani kila siku tunaona maajabu ya mwaka😂😂😂. Mlianza kusema walioandamana sio Watanzania, haikutosha mkasema waliokufa sio Watanzania mkadhani wananchi ni wajinga! Video zikaanza kuibuliwa hadi na kila inayotoka mnaulizwa huyu sio Mtanzania? Na Mungu alivyojua kuwaumbua, hata chawa wenu...
  6. Influenza

    Marekani: Kundi la Maseneta lataka nchi yao kupitia upya Uhusiano wake na Tanzania kufuatia mauaji kwenye maandamano ya Uchaguzi 2025

    Kundi la maseneta wa chama cha Democratic katika Kamati ya Mambo ya Nje ya Seneti ya Marekani, likiongozwa na Seneta Jeanne Shaheen, limeitaka serikali ya Marekani kufanya mapitio ya kina ya uhusiano wake na Tanzania kufuatia uchaguzi wenye utata uliofanyika Oktoba 29, 2025. Rais Samia Suluhu...
  7. DuaZaMama

    TANZIA Mwanachama wa TLS Wakili Peter Elibariki afariki kwa kupigwa risasi na Polisi Oktoba 29, 2025

    Kwa Masikitiko Makubwa tunapenda kuwataarifu kuhusu kifo cha Wakili Peter Elibariki Makundi (Roll No. 5937), mwanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Tawi la Ubungo, aliyefariki dunia kwa bahati mbaya siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, baada ya kupigwa risasi katika eneo la...
  8. P

    GE2025 Wanayopitia walimu wakati huu baada ya kushiriki kwenye uchafuzi wa kumpitisha Samia

    Watumishi wa umma hasa walimu wamekuwa na hali ngumu, wananchi walijiapiza kuwa ikiwa Samia atashinda uchaguzi huku wanajua kura hazijapigwa basi watadili na hawa watumishi wa umma walioshiriki kutia mikono yao damu Kuna mwalimu namjua binafsi kutoka Kahama, ambaye baada ya kumaliza jioni...
  9. P

    GE2025 Hiki ndio kilifanywa na wasimamizi wa uchaguzi ili kupata 98% ya kura za Samia

    Kwenye vituo vingi watu hawakujitokeza kupiga kura kutokana na wananchi wengi kujiapiza kutoka kwaajili ya maandamano kupinga uchaguzi huo dhalimu. Kwenye sehemu ambako watu walijitokeza kwenye maeneo mengi walikuwa hawafiki 50. Sasa kufika jioni ambako wasimamizi walikuwa wanafanya...
  10. Black Opal

    PostGE2025 Mliokuwa karibu na wanapozika au kuchoma miili ya watu kwa wingi tupate picha/video za ushahidi

    Maneno yaliyopo mtaani ni kuwa kinachoendelea sasa ni kuwa polisi wanazika watu makundi kwa makundi ili kufuta ushahidi kwa yaliyotekea - mass grave, na maeneo mengine wanachoma maiti. Na hili linathibitishwa zaidi maana watu wakienda hospitali kudai maiti zao-maitti hakuna! Yaani hospitgali...
  11. Influenza

    GE2025 Mo Ibrahim akosoa Uchaguzi wa Tanzania: Kwanini uue, kuteka na kufunga Watu kama unapendwa kiasi cha kupata 98% ya kura?

    Mmoja wa watetezi wakubwa wa demokrasia barani Afrika na bilionea, Dkt. Mo Ibrahim, amekosoa vikali jinsi uchaguzi wa 2025 nchini Tanzania ulivyofanyika, akisema kuwa ni “kitendo kisichofaa na kisichokubalika” kuzuia vyama vya upinzani kushiriki. “Nadhani ni kosa kubwa na jambo lisilokubalika...
  12. Carlos The Jackal

    GE2025 Kuna Matukio ya Utekaji yanaendelea, Watekaji wanapitia Video Clips za Maandamano na kuwatafuta watu Mtaani. Vijana kuweni tayari kwa lolote!

    Sikio la Kufa halisikii Dawa !!. Hawa Wapumbavu wanadhani Mbinu zao zitawasaidia , Hawajui, hawajui kua mambo yamebadilika sana. Kwani Vijana ,situmekufa?? Situmeuliwa ?. Hata hili pia Muwe nalo tayari, Msigopeshwe, msirudi Nyuma!!. Njia tuloichagua ,ndio njia sahihi, Lazima tupambane...
  13. figganigga

    GE2025 Rais Samia apuuza Vifo vya Maandamano ya Uchaguzi 2025, asema waliokamatwa wametoka Nchi za Jirani

    Rais Samia apuuza Vifo vya Maandamano ya Uchaguzi 2025, asema waliokamatwa wametoka Nchi za Jirani Katika hotuba iliyojali Kejeli, hakugusia wala kutoa heshima ya waliotangulia mbele za haki. Bali amewashukuru Wagombea Urais wenzake 16 kwa kukubali matokeo. Amesema kutokana na hayo mauaji...
  14. K

    GE2025 Tatizo kubwa la Samia ni Muongo hata kama ukweli upo wazi. Unatupa aibu kubwa

    Tatizo kubwa la Samia ni Muongo hata kama ukweli upo wazi. Una tupa aibu kubwa. Yaani Rais wa nchi ambaye kwanza kapatikana kwa kura za mezani za uongo halafu kujidanganya vitu ambavyo viko wazi kwenye kamera na kusema vijana walio andamana sio Watanzania! Uongo wa kiasi hiki huwezi kutegemea...
  15. Mtemi mpambalioto

    GE2025 Kwanini Mkuu wa Mkoa Songwe ni Mzanzibari?

    Najaribu kuunganisha doti kwa yaliyowatokea waandamanaji Tunduma na Mkuu wa Mkoa aliyepo huko! wenye D mbili mtanielewa! Je, muungano wetu unaruhusu MZANZIBARI kuwa MKUU WA MKOA BARA? Na je, what if aliwekwa huko kwa kazi maalum ambayo ndio imeanza kukamilika tokea 29 Oct?
  16. Izy_Name

    GE2025 Onyo kwa Serikali, Viongozi wake, na Chawa kilichotokea ni mfano ikiwa wananchi wataendelea kupuuzwa

    Nitoe onyo kwa serikali na viongozi wake wote bila kuwasahau machawa. Kilichotokea ni mwanzo na ni mfano. Hiyo ilikuwa kama zoezi tu; sasa mechi kamili inakuja ikiwa serikali itaendelea kuwapuuza wananchi. Kifuatacho kitakuwa hatari zaidi kwa sababu Watanzania wameishapata uzoefu wa maandamano...
  17. Piere. Fm

    GE2025 Je, Polisi Wanajihami na kile walichokifanya?

    Jamaa Leo wamewasha mtandao lakini pia zimeanza kutiririka meseji kutoka jeshi la Polisi la kuwaasa watu kuepuka kutuma picha au video mtandaoni zenye kuweza kuzua taharuki. Je, hii si ishara kuwa wanawatisha kisionekane kile Walichokifanya dhidi ya watanzania?
  18. figganigga

    GE2025 Day 3: Kuna kikundi cha Watu wanapiga watu risasi Uraiani. Hata kama haupo kwenye maandamano!

    Kuna kikundi cha Watu wanapiga watu risasi Uraiani. Hata kama haupo kwemye maandamano Wanatumia pikipiki, Bajaji, Magaari madpgo kama IST nk. Wanakuja kwako wanapiga risasi. Au risasi inapita dirishani. Hata wakikukuta dukani wanakupiga risasi. Mara nyingi wanatumia code ya rangi nyeupe...
  19. Genius Man

    GE2025 Samia eti anasubiri atangazwe, sasa akitangazwa nini kitabadilika na ataongoza wakina nani?

    Huyu Samia ni laana, eti anasubiri atangazwe, sasa akishatangazwa nini kitabadilika na ataongoza wakina nani? Sisi tumemkataaa, sababu kuu za maandamano lazima zizingatiwe sio ombi ni lazima.
  20. Agent-47

    GE2025 Mnaosema Samia ajiuzulu, ajiuzulu nini?

    Samia siyo Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba. Uchaguzi haukuwepo kwahiyo hajachaguliwa tena. Hana cha kujiuzulu. Labda tu asaidiane na wengine kutuletea serikali ya mpito, aende apumzike tutamuita kujibu tuhuma za mauaji dhidi ya wapendwa wetu. Hivyo tu.
Back
Top Bottom