uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    GE2025 Dar: Mtangazaji wa Clouds, Master Tindwa apigwa risasi

    Tindwa amepigwa risasi akiwa kibarazani kwake tu; wala sio kwenye maandamano. Inaonekana Polisi now hawavai sare zao. Wanavaa kiraia na wanatumia magari ya kawaida. Wanaofanya matukio haya wamevaa kininja na wanatumia IST. Pole sana Tindwa
  2. M

    GE2025 Haya ni matokeo ya kupuuza sauti za wanyonge kwa muda mrefu

    Najiuliza: 1) Kwanini viongozi wetu walichagua kukaa kimya au kupuuza sauti za Watanzania pale Watanzania walipodai haki kwa amani? 2) Kwanini walichagua kuzungumza kwa vitisho na ukali kwa raia ambao walijaribu kupaza sauti kudai usalama wa maisha yao na mali zao? 3) Kwanini waliahidi...
  3. M

    GE2025 Day 3: Maandamano yanaendelea jijini Dar es Salaam

    Maelfu ya watanzania kutoka Mbezi jijini wanaelekea Ikulu muda huu. Madai ya waandamnaji, Matokeo ya uchaguzi yafutwe, KATIBA MPYA, Waliotekwa waachiliwe huru, Tume huru ya uchaguzi na utawala wa Haki. Video hii ni ya asubuhi ya leo: 👇🏽 Leo, wanajeshi wameonekana kuendelea kulinda wananchi...
  4. N

    GE2025 Kwanini Wanaharakati wa Kenya wana maslahi sana na Tanzania kuliko Uchaguzi wao?

    Nauatilia kuna independent streams, youtubers kama 6 kila baada ya nusu saa wanapost mambo ya protest mambo mabaya tu ya Tanzania na kuna mama mmoja mzungu katikakati kwenye press za wanaharakati. Huyu alikuwepo sana kwenye kumsuport rickie machari wakati amaefukuzwa, fuatilieni video za 2019...
  5. 888I

    GE2025 Uchaguzi au Maonesho ya Takwimu na kulazimisha asilimia 98?

    Kuna wakati mtu anaangalia matokeo yanayotangazwa na Tume ya Uchaguzi na anajiuliza kimya kimya — tulishiriki uchaguzi kweli, au tunapewa hadithi nzuri za takwimu? Wanalazimisha kuonesha kuwa zaidi ya 90% ya wapiga kura wamejitokeza, lakini vijijini vituo vingi vilikuwa vitupu, na wengine...
  6. N

    GE2025 Tume yako ya Uchaguzi itakutangaza Samia kuwa mshindi wa nafasi ya Uraisi lakini 'No Reforms, No Election’ na ‘nywinywinywi' umeziona na kuzisikia

    Habari wanajamvi, Kifupi sana mambo makuu matano yamepangwa; 1. Lazima Samia atangazwe kuwa mshindi. 2. Idadi ya wapiga kura iwe asilimia 80. 3. Samia ashinde kwa asilimia 80+ (Hili lilileta mjadala sana wengine walitaka iwe 90+ hadi naandika Uzi huu muafaka bado) 4. Kutakuwa na mabadiliko...
  7. Rijali jandoni

    GE2025 JWTZ nawaomba ili kuleta muafaka wa maandamano ongeeni kwa hekima na hawa

    Wakuuu poleni na kazi naomba niende moja kwa moja kutokana na muda, maandamano yanayo endelea nchi nzima ni kutokana na wananchi kutaka mabadiliko (reforms) Hili jambo ni la wananchi yaani watoto wetu, ndugu zetu na vijana tunao wafahamu tukizubaa tutajaza mitaa ikiwa na miili ya ndugu zetu...
  8. Chizi Maarifa

    GE2025 Updates: Takwimu za Ofisi, nyumba na mali za Watu Maarufu zilizoharibiwa mpaka sasa

    1. Tulia Ackson nyumba zake mbili Mbeya zimepigwa moto 2. Tulia Ackson - Mabasi yake ya Achimwene yamepigwa moto 3. Idd Azan Zungu - Nyumba yake imechomwa moto 4. Kikwete na Ridhiwani - Vituo vingi vya Lake Oil vimechomwa moto na vinaendelea kuchomwa moto 5. Mabus ya Abood 6. Mabus ya Esther...
  9. Lord Denning

    GE2025 CDF Mkunda ameamua kusimama dhidi ya wananchi. JWTZ mnajua cha kufanya. Madagascar ni case study nzuri

    Siku zote Jeshi letu lina kiapo Kikuu cha kusimama na Wananchi na Katiba. Wananchi wameamua hawawataki CCM na samia wao na Jeshi linapaswa kusimamia matakwa ya Wananchi. Wananchi wamesema hawautambui uchaguzi maana ulikuwa ni uchafuzi hivyo Jeshi linapaswa kusimama na Wananchi. Dunia inajua...
  10. M

    GE2025 Tarime, Mara: Wananchi wawaambia wanajeshi - Sisi tunakemea utekaji, tunataka Demokrasia

    Hii imetokea leo Oktoba 30, 2025 huko Tarime mkoani Mara Sikiliza, angalia:
  11. M

    GE2025 Dar: Kamatakamata yaendelea mitaani baada ya maandamano

    Maeneo ya Sinza, Watu wanakamatwa randomly. Watu wengi sana wameingizwa kituo cha Polisi Mabatini. Wanalazimisha kukamata wapita njia hata wanaokwenda kutafuta dawa. Raia wanapigishwa magoti huku wengine wakiambiwa squat, ruka - ruka.
  12. Lord Denning

    GE2025 JWTZ zuieni huo upuuzi wa kutangaza matokeo ya huo uchafuzi uliofeli jana

    Kuna taarifa kuwa ccm wanapanga kuanza kutangaza matokeo ya uchafuzi walioufanya jana na ukafeli ili kuleta panic na kujionesha kuwa wana li control Taifa. Tunawaomba askari wetu wapendwa JWTZ zuieni matokeo hayo feki na haramu ya huo uchafuzi kuendelewa kutangazwa nchi nzima. Iwe ya udiwani...
  13. M

    GE2025 Mwanza: Maandamano yanaendelea usiku huu (Oktoba 29, 2025)

    Awali ilikuwa hivi: Hali iko hivi:
  14. Mzee Mwanakijiji

    GE2025 Kuna jaribio la kutumia Nguvu Kubwa usiku huu kuzima Maandamano

    Inahotajika hekima sana kutoka kwa watawala. Wasijaribu kutumia nguvu kubwa na kusababisha umwagikaji mkubwa wa damu kwa vijana Watanzania. Wajue wasije wakafika kwenye point of no return na majuto Endapo maandamano hayatazimwa usiku huu, Masaa 48 yajayo yatakuwa ya kukumbukwa!
  15. Echolima1

    GE2025 Hongera JWTZ kwa ukomavu mliouonyesha kwenye maandamano leo!

    Hongera nyingi sana kwa askari wa JWTZ kwa ukomavu mliouonyesha kwenye maandamano ya wananchi, Mmeonyesha kweli ninyi ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Hongereni sana kwa kazi iliyotukuka wananchi wameona kazi yenu nzuri!
  16. M

    GE2025 Dar: Maandamano yanaendelea usiku huu

    Vijana hawajalala, maelekezo ya IGP yamepuuzwa
  17. K

    GE2025 Serikali ya mpito ya mwaka mmoja ni muhimu Tanzania

    Serikali ya mpito ya mwaka mmoja ni muhimu Tanzania. Jeshi litangaze kwamba hakuna tena serikali ya Samia na badala yake kuundwe serikali ya mpito kutoka kwa wadau wazalendo. Lengo ni kupata katiba ambayo ndiyo itatumika, team napendekeza hawa; 1. Dr Slaa 2. Warioba au Butiku 3. Anna Makinda...
  18. K

    GE2025 Namuona Tundu Lissu akiwa Rais wa Tanzania

    Hii siku nitafurahi kwa kulia machozi na ndiyo Tanzania itakapopata uhuru wake wa wa kweli. Mungu akiamua kitu hakuna wa kumpinga imebaki muda tu. Mungu nipe maisha marefu nikalishuhudie hili.
  19. Replica

    GE2025 Jeshi la Polisi latangaza curfew (amri ya kutotoka nje) kuanzia Saa 12 jioni kwa wakazi wa Dar es Salaam

    Jeshi la Polisi limesema kuanzia leo tarehe 29 mwisho wa watu kuwa nje ni saa 12 Jioni.
  20. Abraham Lincolnn

    Kituo cha kura chavamiwa na kuchomwa moto, Hakuna uchaguzi 2025

Back
Top Bottom