Tindwa amepigwa risasi akiwa kibarazani kwake tu; wala sio kwenye maandamano.
Inaonekana Polisi now hawavai sare zao.
Wanavaa kiraia na wanatumia magari ya kawaida. Wanaofanya matukio haya wamevaa kininja na wanatumia IST.
Pole sana Tindwa
Najiuliza:
1) Kwanini viongozi wetu walichagua kukaa kimya au kupuuza sauti za Watanzania pale Watanzania walipodai haki kwa amani?
2) Kwanini walichagua kuzungumza kwa vitisho na ukali kwa raia ambao walijaribu kupaza sauti kudai usalama wa maisha yao na mali zao?
3) Kwanini waliahidi...
Maelfu ya watanzania kutoka Mbezi jijini wanaelekea Ikulu muda huu.
Madai ya waandamnaji, Matokeo ya uchaguzi yafutwe, KATIBA MPYA, Waliotekwa waachiliwe huru, Tume huru ya uchaguzi na utawala wa Haki.
Video hii ni ya asubuhi ya leo: 👇🏽
Leo, wanajeshi wameonekana kuendelea kulinda wananchi...
Nauatilia kuna independent streams, youtubers kama 6 kila baada ya nusu saa wanapost mambo ya protest mambo mabaya tu ya Tanzania na kuna mama mmoja mzungu katikakati kwenye press za wanaharakati.
Huyu alikuwepo sana kwenye kumsuport rickie machari wakati amaefukuzwa, fuatilieni video za 2019...
Kuna wakati mtu anaangalia matokeo yanayotangazwa na Tume ya Uchaguzi na anajiuliza kimya kimya — tulishiriki uchaguzi kweli, au tunapewa hadithi nzuri za takwimu?
Wanalazimisha kuonesha kuwa zaidi ya 90% ya wapiga kura wamejitokeza, lakini vijijini vituo vingi vilikuwa vitupu, na wengine...
Habari wanajamvi,
Kifupi sana mambo makuu matano yamepangwa;
1. Lazima Samia atangazwe kuwa mshindi.
2. Idadi ya wapiga kura iwe asilimia 80.
3. Samia ashinde kwa asilimia 80+ (Hili lilileta mjadala sana wengine walitaka iwe 90+ hadi naandika Uzi huu muafaka bado)
4. Kutakuwa na mabadiliko...
Wakuuu poleni na kazi naomba niende moja kwa moja kutokana na muda, maandamano yanayo endelea nchi nzima ni kutokana na wananchi kutaka mabadiliko (reforms)
Hili jambo ni la wananchi yaani watoto wetu, ndugu zetu na vijana tunao wafahamu tukizubaa tutajaza mitaa ikiwa na miili ya ndugu zetu...
1. Tulia Ackson nyumba zake mbili Mbeya zimepigwa moto
2. Tulia Ackson - Mabasi yake ya Achimwene yamepigwa moto
3. Idd Azan Zungu - Nyumba yake imechomwa moto
4. Kikwete na Ridhiwani - Vituo vingi vya Lake Oil vimechomwa moto na vinaendelea kuchomwa moto
5. Mabus ya Abood
6. Mabus ya Esther...
Siku zote Jeshi letu lina kiapo Kikuu cha kusimama na Wananchi na Katiba.
Wananchi wameamua hawawataki CCM na samia wao na Jeshi linapaswa kusimamia matakwa ya Wananchi.
Wananchi wamesema hawautambui uchaguzi maana ulikuwa ni uchafuzi hivyo Jeshi linapaswa kusimama na Wananchi.
Dunia inajua...
Maeneo ya Sinza, Watu wanakamatwa randomly.
Watu wengi sana wameingizwa kituo cha Polisi Mabatini.
Wanalazimisha kukamata wapita njia hata wanaokwenda kutafuta dawa.
Raia wanapigishwa magoti huku wengine wakiambiwa squat, ruka - ruka.
Kuna taarifa kuwa ccm wanapanga kuanza kutangaza matokeo ya uchafuzi walioufanya jana na ukafeli ili kuleta panic na kujionesha kuwa wana li control Taifa.
Tunawaomba askari wetu wapendwa JWTZ zuieni matokeo hayo feki na haramu ya huo uchafuzi kuendelewa kutangazwa nchi nzima. Iwe ya udiwani...
Inahotajika hekima sana kutoka kwa watawala. Wasijaribu kutumia nguvu kubwa na kusababisha umwagikaji mkubwa wa damu kwa vijana Watanzania. Wajue wasije wakafika kwenye point of no return na majuto
Endapo maandamano hayatazimwa usiku huu, Masaa 48 yajayo yatakuwa ya kukumbukwa!
Hongera nyingi sana kwa askari wa JWTZ kwa ukomavu mliouonyesha kwenye maandamano ya wananchi, Mmeonyesha kweli ninyi ni Jeshi la wananchi wa Tanzania.
Hongereni sana kwa kazi iliyotukuka wananchi wameona kazi yenu nzuri!
Serikali ya mpito ya mwaka mmoja ni muhimu Tanzania. Jeshi litangaze kwamba hakuna tena serikali ya Samia na badala yake kuundwe serikali ya mpito kutoka kwa wadau wazalendo.
Lengo ni kupata katiba ambayo ndiyo itatumika, team napendekeza hawa;
1. Dr Slaa
2. Warioba au Butiku
3. Anna Makinda...
Hii siku nitafurahi kwa kulia machozi na ndiyo Tanzania itakapopata uhuru wake wa wa kweli.
Mungu akiamua kitu hakuna wa kumpinga imebaki muda tu.
Mungu nipe maisha marefu nikalishuhudie hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.