Sio kukubali hawa wahuni kuwa matendo yao yanaweza kuwa makubaliano kuwa sisi ni wapole na wapenda amani.
Watu wamekufa vifo vibaya sana tena kama vina amri toka juu.
Kuna mtu alipigwa risasi ila alipopelekwa hospitli kutibiwa tarehee 30 usiku alichukuliwa na mpaka sasa hatujui yupo wapi na...
1. Kwa kuwafunga wapinzani wako wasishiriki uchaguzi.
2. Watu wanaokukosoa kutekwa. Hupendi kukosolewa.
Job Ndugai aliposema mambo ambayo yalionekana yanakukosoa wewe, ukamfukuza uspika.
Dokta Slaa aliposema mambo ambayo yalionekana kama yanaukosoa utawala wako, ukamvua ubalozi.
Humphrey...
Ghafla tumeanza kusikia Yada Yada za maneno mapya kwenye vyombo vya habari na mitandaoni, Eti "Kuna foreign Element" zinataka kuleta machafuko," "Watu waliovuruga OKtba29 si Watanzania," "Tutafanya demokrasia yetu bila shinikizo la mtu yeyote," "Kuna waasi wa M23 wanaandaliwa kuvuka mpaka," na...
Habari wakuu
Jana usiku baada ya Mange Kimambi kutuma video ikionesha maiti za waandamanaji zikiwa zimerundikwa kama mikungu ya ndizi hapo Mortuary ya Mwananyamala hospital,
Wizara ya Afya kupitia page zao WALIKANUSHA eti ni FEKI.
Kitu ambacho kiliibua hasira kali na watu kuanza kushambulia...
Kwa mujibu wa chanzo hiko hapo ni mortuary ya mwananyamala.
Ni maelezo ya namna gani yanaweza kukubalika juu ya tukio kama hili? HAKUNA.
==============
Ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia video hii anahofia mnooo maisha yake ndo maana imemchukua muda sana kunipa video hii.
Anasema kuwa...
Ila Samia anazidi kuongezea watu hasira tu, kwahiyo wazazi wao walitoa polisi nje kuua watoto wao?
Ndio anahalalisha yaliyotokea kwa kusema mkubwa hakosei?
Rais Samia kasema kama wao wazazi wangefanya waliyofanya vijana (maandamano) basi nchi hii isingekuwa na neema.
Amewaambia vijana...
Rais samia amewashukuru wananchi kushiriki vilivvyo kwenye uchaguzi kuanzia kujiandisha pamoja na kujityokeza kwa wingi kupiga kura na kuchagua vviongozi wanaowataka.
Rais Samia ameongeza kwa kusema wananchi wamethibitisha kushiriki uchaguzi ndio njia ya kubadilisha viongozi wasioridhika nao...
Yaani sasa hivi kila ukiingia mtandaoni unapigana na hisia zako usije kupata presha kwa hasira!
Aaaaaa! Wazee kabisa ambao vijana wanategemea muwe na busara kushauri mambo vizuri mnajitokeza kuongea upuuzi bila soni hata kidogo usoni!
Pia soma PostGE2025 - BAKWATA na taasisi za kiislamu...
Maseneta wawili wa Marekani, Jim Risch na Jeanne Shaheen, wametoa shutuma kali dhidi ya serikali ya Tanzania wakidai kuwa matokeo ya uchaguzi wa Oktoba 29 yalipangwa kabla ya wananchi kupiga kura.
Katika taarifa yao ya pamoja, viongozi hao wa Kamati ya Mahusiano ya Kigeni ya Seneti wamesema...
Hamna Jambo la Sirini litabakia kua Sirini !!.
Mbinu Yao walitumia, imewekwa Wazi Sasa !!.
Watekaji na Wauaji walipenyeza Mamuluki wao wachome Vituo vya Mafuta na Ma Bus ili kuhalalisha Matumizi ya Risasi za Moto Kwa Watanzania .
Ni Mamuluki hao hao walotumwa na Watekaji walivamia Na Kuchoma...
Wakuu,
Baada ya maandamano vifo vingi vimetokea vikisisabishwa na risasi za polisi. Wachache wamefanikiwa kupata miili ya wapendwa wengi huku wengi wazikinga ndugu zao kwa kutumia nguo, viatu na vitu vingine vya wapendwa wao kutokana na kunyimwa miili hiyo.
Tutumie uzi huu kama rekodi ya wale...
Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2025, uliofanyika Oktoba, ulilenga kuchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wabunge na Madiwani. Licha ya maandamano yaliyotokea baada ya uchaguzi na kupelekea vifo vya raia kutoka kwenye silaha za moto za Polisi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Lake Oil Group, Stephen Mtemi, ameeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha watu kuchoma vituo vya mafuta vya kampuni hiyo, akisema mbali na hasara kubwa iliyotokea, Watanzania zaidi ya 300 waliokuwa wakifanya kazi kwenye vituo hivyo sasa wako nyumbani bila kazi...
Watanzania 463 Wakabiliwa na Mashtaka ya Uhaini, Unyang’anyi kwa kutumia silaha - akiwemo Mfanyabiashara Jenifer Jovin (Niffer)
Jamhuri imewafungulia kesi Watanzania 240 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, Ijumaa Novemba 7, 2025, wakikabiliwa na mashtaka matatu ya uhaini; la...
Wakuu,
Hiki ndio kinachoendelea mtaani kipindi hiki! Wakati wa maandamano wananchi walishuhudia wapendwa wao wakipigwa risasi na polisi na kuona miili ikizagaa mtaani wengine mpaka siku tatu.
Walipojaribu kuchukua miili hii kwa taratibu nyingine za kupumzisha wapendwa wao, polisi waliwakataza...
1. Maandamano makubwa zaidi
2. Kususia bidhaa na huduma za watu wanaojinasibisha na utawala dhalimu.
3. Kuunganisha nguvu na Kanisa Katoliki ambayo ndiyo taasisi kubwa pekee iliyobaki inayoweza kupaza sauti kupinga ukandamizaji.
Taarifa ya Awali ya Ujumbe wa Uangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Afrika kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: Ujumbe wa Uangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Afrika unatoa wito wa kufanyika kwa mageuzi ya haraka ya kikatiba na siasa shirikishi katika Jamhuri ya...
Historia ina tabia ya kujirudia
Huyu ni Sadam Hussein mwaka 2006 baada ya mahakama maalum ya Iraq kumtia hatiani kwa kosa la mauaji ya raia 148 wa kijiji cha Dujail mnamo mwaka 1982.
Saddam alihukumiwa kufa kwa kunyongwa kwa madai ya kuamuru mauaji hayo kama kisasi baada ya jaribio la kutaka...
Huu ndio ukweli mchungu kwa mtu yeyote mwenye kujali utu na mzalendo kwa nchi yake.
Raha ya kuwa mbunge ama diwani katika mazingira haya ya uchaguzi uliojaa damu za watu unaipata wapi?
No wonder mpaka muda huu sijaona diwani au mbunge yoyote mteule aliejitokeza hadharani au kwenye mitandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.