Samia Suluhu kutoka CCM atangazwa kushinda kwa asilimia 97.66% ya kura 31,913,866
Kwa mujibu wa Tume, jumla ya wapiga kura walioandikishwa ni milioni 37,655,559; Waliopiga kura ni milioni 32,678,844
Anayemfuatia ni Salum Mwalimu wa CHAUMMA ambaye amepata kura 213,414 sawa na 0.65%
======...