PostGE2025 Wizara ya Afya imefuta post ya kukanusha video ya Mwananyamala

PostGE2025 Wizara ya Afya imefuta post ya kukanusha video ya Mwananyamala

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Amon Lisa

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2018
Posts
464
Reaction score
1,170
Habari wakuu

Jana usiku baada ya Mange Kimambi kutuma video ikionesha maiti za waandamanaji zikiwa zimerundikwa kama mikungu ya ndizi hapo Mortuary ya Mwananyamala hospital,
Wizara ya Afya kupitia page zao WALIKANUSHA eti ni FEKI.

Kitu ambacho kiliibua hasira kali na watu kuanza kushambulia page zao. Aibu ikawaingia WAMEFUTA POST ZAO ZA KUKANUSHA.

Yaani wauaji bado mtahangaika sana ila mwisho wenu ni mbaya sana.

Naam 9 December tutakuwepo!
C7E45734-6D50-405F-B00E-C35C74BD5E2F.jpeg
 
Habari wakuu

Jana usiku baada ya Mange Kimambi kutuma video ikionesha maiti za waandamanaji zikiwa zimerundikwa kama mikungu ya ndizi hapo Mortuary ya Mwananyamala hospital,
Wizara ya Afya kupitia page zao WALIKANUSHA eti ni FEKI.

Kitu ambacho kiliibua hasira kali na watu kuanza kushambulia page zao. Aibu ikawaingia WAMEFUTA POST ZAO ZA KUKANUSHA.

Yaani wauaji bado mtahangaika sana ila mwisho wenu ni mbaya sana.

Naam 9 December tutakuwepo!
Wao ndio watajiona wajinga. Too bad wameshachelewa
 
Samia hasipo jiuzulu, kuna vita vya kutumia silaha vinakuja baina ya wananchi na serikali…nchi ipo hatarini, wao wameshupaza shingo
Samuya must go......hakuna jinsi huwezi kutawala na damu hiviii bila hatia urais si zaidi ya Taifa na Utu.....nenda mwana kwenda....historia itakumbuka milele
 
Kila kitu kazi yao kukanusha then mwisho wa siku wanaumbuka, watu kibao wanaona ndugu zao hapo, wengi wameona ndugu zao, yani hasira hasira daah
 
ni ngumu sana kuutetea utawala huu
 
Serikali yao yooote imejaa damu, walivyo mafala wanafurahia tu, hivi ni madaraka tu au Kuna kitu kingine jamani, kama ni hela ndio hizi hizi ukifa unaziacha ndio umwage Damu nyingi hivi..
 
Ndugu yetu Samia . Kila mtu anajua kuwa wewe ndiyo chanzo cha nchi kukosa Amani . Utulivu na Yaharuki . Kwanini Usiondoke ? Watu hawakutaki nendaaa. Utaendelea kuua mpaka lini ? Kwann unajitafutia dhambi ? Kama utajiri umeshaupata . Tuachie nchi Mama. hali mbaya SANA
 
Uzuri ni kwamba sasa hv sio 1970s kwamba raia hawawezi kupata taarifa sahihi
 
Ndugu yetu Samia . Kila mtu anajua kuwa wewe ndiyo chanzo cha nchi kukosa Amani . Utulivu na Yaharuki . Kwanini Usiondoke ? Watu hawakutaki nendaaa. Utaendelea kuua mpaka lini ? Kwann unajitafutia dhambi ? Kama utajiri umeshaupata . Tuachie nchi Mama. hali mbaya SANA
Labda ndugu yako sio sisi, huyo shetani hafai kuitwa ndg
 
Jamani wale waandishi wazuri waandike makala na sababu ya kwanini Samia anatakiwa kujiuzulu kabla ya tarhehe 9 Dec.Waandishi manguli wazuri wapo wengi humu jamani.
Tufanye hivo ujumbe umfikie mapema!
Ni wakati sasa Watanganyika tuongee kwa sauti moja hatuna mtetezi
 
Serikali yao yooote imejaa damu, walivyo mafala wanafurahia tu, hivi ni madaraka tu au Kuna kitu kingine jamani, kama ni hela ndio hizi hizi ukifa unaziacha ndio umwage Damu nyingi hivi..
Wakiwa kinyonge ndio watashtukiwa zaidi so lazima wazuge na confidence fake kuonesha hakuna big deal
 
Back
Top Bottom