Neutral Man ZT
JF-Expert Member
- Sep 5, 2025
- 293
- 515
Chama hiki kilidai kufungua kesi kupiga matokeo ya uchaguzi katika majimbo 25 ya uwakilishi Zanzibar na kikitarajiwa kupiga pia yale ya Ubunge.
Huku pia kikiweka pose kuingia kwenye kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar.
Swali, je ni mpango maalum baina yao na kundi la Gasom & Zikamziki maji yakiwa ya shingo huku Kanyingata wawatumie ACT kama miongoni mwa kete zao?
Huku pia kikiweka pose kuingia kwenye kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar.
Swali, je ni mpango maalum baina yao na kundi la Gasom & Zikamziki maji yakiwa ya shingo huku Kanyingata wawatumie ACT kama miongoni mwa kete zao?