Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,959
- 8,130
Wakuu,
Yaani kila kiongozi na chawa wao wakitoka utasikia "Wanataka kufanya vurugu", "Sio maandamano ni vurugu", "Wanahamasisha vurugu"..... yaani neno vurugu ndio linapigiwa promo!
Unaenda kukamata mtu eti anahamasisha vurugu Disemba 9, hapo mtu kasema nitashiriki maandamano au kuwaambia wengine waandae mabango! Kwa katiba ipi wazee? Hata mnachosha vichwa vyetu kujadili maya mambo!
Yaani kila siku mnaingiza hili kwenye vichwa vya watu ili siku ikifika, muweke wahuni wenu tena, wachome na kuharibu vitu, wauwe watu ili mje kujustify kuwa yalikuwa ya vurugu, kwa mara ya pili mjaribu kuget away with it?!
Mnazidi kuwadharau Watanzania na kuchukulia poa uwezo wao wa kufikiri, yaani mnarudia makosa yaleyale, huku vijana wakiwa wamejifunza kutokana na experience yao ya kwanza! Yaani unashindwa hata kuwonder, kwani huko Serikalini na Jeshi la Polisi KUMEJAA WAJINGA? HAKUNA HATA MMOJA MWENYE AKILI akawatoa kwenye hii chain ya upumbavu?
WAtanzania wa leo sio wa jana, hili nalo litakuja kubackfire!
Yaani kila kiongozi na chawa wao wakitoka utasikia "Wanataka kufanya vurugu", "Sio maandamano ni vurugu", "Wanahamasisha vurugu"..... yaani neno vurugu ndio linapigiwa promo!
Unaenda kukamata mtu eti anahamasisha vurugu Disemba 9, hapo mtu kasema nitashiriki maandamano au kuwaambia wengine waandae mabango! Kwa katiba ipi wazee? Hata mnachosha vichwa vyetu kujadili maya mambo!
Yaani kila siku mnaingiza hili kwenye vichwa vya watu ili siku ikifika, muweke wahuni wenu tena, wachome na kuharibu vitu, wauwe watu ili mje kujustify kuwa yalikuwa ya vurugu, kwa mara ya pili mjaribu kuget away with it?!
Mnazidi kuwadharau Watanzania na kuchukulia poa uwezo wao wa kufikiri, yaani mnarudia makosa yaleyale, huku vijana wakiwa wamejifunza kutokana na experience yao ya kwanza! Yaani unashindwa hata kuwonder, kwani huko Serikalini na Jeshi la Polisi KUMEJAA WAJINGA? HAKUNA HATA MMOJA MWENYE AKILI akawatoa kwenye hii chain ya upumbavu?
WAtanzania wa leo sio wa jana, hili nalo litakuja kubackfire!