uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 Mkojani amwaga machozi akililia laki 5 ya fomu ya Ubunge baada ya jina lake kukatwa

    Wakuu! :D:D sasa hii ndio kazi yako Mkojani, endelea kuchekesha Watu tu! Mwigizaji na mchekeshaji Abdallah Mohamed Nzunda, maarufu kama Mkojani, amemwaga machozi akidai kufadhaishwa na matokeo ya kura za maoni za Ubunge Jimbo la Temeke kupitia CCM. Adai Wajumbe walimtia moyo sana kuwa atatoboa
  2. Waufukweni

    GE2025 VIDEO: Askari Magereza wamsukuma Lissu kidogo aanguke Kizimbani wakati akiaga Mahakamani

    Wakuu! Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, alisukumwa na baadhi ya Askari wa Magereza wakati akitoka kizimbani akiwa anaaga kwa waliofika kufuatilia mwenendo wa Kesi yake ya Uhaini, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, hali iliyomfanya akaribie kuanguka kabla ya kudakwa na Askari wengine waliokuwa...
  3. Waufukweni

    GE2025 Wakili wa Jamhuri aomba Mahakama iahirishe tena Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

    Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga, kwa niaba ya upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameomba mahakama kuahirisha kwa mara nyingine usikilizwaji wa kesi hiyo. Fuatilia hapa: Mwenendo wa Kesi ya Lissu...
  4. Roving Journalist

    GE2025 Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yaahirishwa hadi Agosti 13,2025

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu baada ya kuahirishwa Julai 15, 2025 inatarajiwa kuendelea tena leo, ambapo bado inasubiriwa hatua ya Ofisi ya Mwendesha mashtaka (DPP) kufanya uamuzi wa kufikisha kesi hiyo Mahakama Kuu ambayo ina hadhi ya kisheria. Mara ya...
  5. B

    GE2025 EFM si mjiite tu ECCM? Mnampongeza Rais Samia utafikiri nyie ndio wajumbe!

    Eti mnapongeza Mwenyekiti kwa kutoa majina:BearLaugh::BearLaugh: Kama nani? Wajumbe mliokuwa mnayasubiri kwa hamu ili mkachinje wagombea kwenye kura? Hiki kituo kibadilishwe tu jina ili watanzania wawe wanajue kuwa mpo kwaajili ya kutoa habari za chama, mambo mengine wakatafute kwenye vyanzo...
  6. Waufukweni

    GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025

    Wakuu! Baada ya ahirisha ahirisha sasa ndio muda wenyewe wa kujua mbivu na mbichi huko CCM Majina ya wagombea wa Ubunge wa Majimbo, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Viti Maalum vya Ubunge na Baraza la Wawakilishi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) yanatarajiwa kutangazwa mchana huu baada ya...
  7. B

    GE2025 Kitu cha nusu saa tu mmetufanya tukeshe na hamjatoboa, Dira ya miaka 25 wataweza kuitekeleza?

    Alooooo, yaani picha limejirudia, kila walichobeza kimerudi kwa namna nyingine🤣🤣🤣 ulianza mpasuko sasa hili! Yaani kuchuja tu majina na tayari yapo mmekwama kiasi hiki, nyinyi hiyo dira yenye mambo kibao mtaweza kuitekeleza kweli tufike kwenye Tanzania tunayoitaka?:KEKWlaugh::KEKWlaugh: Sasa...
  8. Waufukweni

    GE2025 VIDEO: Kamati Kuu CCM yamaliza kikao saa 5 usiku, yapitia na kuchuja mapendekezo ya majina ya Wagombea

    Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, iliyoketi Jumatatu, tarehe 28 Julai 2025, Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakitoka kikaoni, baada ya kikao hicho kumalizika usiku huu. Fuatilia...
  9. Roving Journalist

    GE2025 Wanachama 11 wa CHADEMA wakamatwa kwa kufanya mkusanyiko usio halali - Wilayani Nkasi‎

    Jeshi la Polisi mkoa wa Rukwa limewakamata wanachama 11 wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kati yao wanaume 7 na wanawake 4 wakiwemo viongozi wanne wa chama hicho kwa kufanya mkusanyiko usio halali. Viongozi hao ni Winfrida Joseph Khenani (Katibu mwenezi wa Baraza la vijana CHADEMA...
  10. Waufukweni

    GE2025 Moza Ally kuwania Ubunge Kinondoni kupitia CHAUMMA

    Mwanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Moza Ally, ametangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo hilo kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2025. Akizungumza leo Julai 28, 2025, Moza amesema ana uhakika wa kushinda nafasi hiyo iwapo Chama chake kitampatia ridhaa ya kugombea. "CHAUMMA kikinipa...
  11. Mindyou

    GE2025 Tume imetangaza kuandikisha wapigakura wengi wengi wanawake kuliko wanaume. Agenda ya Women Empowerment inatakiwa iwe revisited!

    Wakuu, Hivi mmemsikia huyu jaji Jacobs Mwambegele ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi? Hivi karibuni alisema jumla ya Wapiga Kura walioandikishwa kwenye Uchaguzi Mkuu 2025 ni Milioni 37.6. kati ya hao Milioni 18.9 ni Wanawake, sawa na Asilimia 50.31, huku Wanaume wakiwa Milioni 18.7, sawa...
  12. Waufukweni

    GE2025 Kada CCM, Malick Malupu: Mchakato wa kumpata mgombea wa Urais, CCM ulikuwa wa Kidemokrasia

    Wananchi wametakiwa kupuuza taarifa za upotoshaji zinazotolewa na baadhi ya wanasiasa kupitia mitandao ya kijamii kuhusu mchakato wa kumpata Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulivyofanyika kwani taarifa hizo zinalenga kupotosha umma na kuvuruga mshikamano wa kitaifa...
  13. R

    GE2025 Askofu Bagonza: Usawa wa kisiasa ni DENI linalomkabili Rais Samia, ana uwezo wa kulilipa na kubakiza chenji

    Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD) CCM HONGERA SANA: Mmekula Ng’ombe mzima, Msishindwe kula mkia. Kwa moyo wa dhati nawapongeza CCM kwa kuitisha na kuendesha Mkutano Mkuu Maalum kwa mtandao. Nawapongeza zaidi kwa kufanya mabadiliko madogo (kwangu ni makubwa) ya katiba ili kuwapa viongozi...
  14. W

    GE2025 Sheikh Kaniki: Siasa na dini havitenganishiki

    Sheikh Ibrahim Kaniki amesema hakuna utengano kati ya dini na siasa, akisisitiza kuwa masuala ya kisiasa huathiri moja kwa moja maisha ya waumini wa dini, hivyo ni muhimu viongozi wa dini kushiriki katika kuombea amani, haki na viongozi wanaokumbwa na changamoto. Akizungumza siku ya Jumamosi...
  15. Waufukweni

    GE2025 Sheikh Kaniki: Dini na Siasa havitengani. CHADEMA inapitia magumu kwasababu ya kusimamia wanachokita Wananchi

    Sheikh Ibrahim Kaniki amesema hakuna utengano kati ya dini na siasa, akisisitiza kuwa masuala ya kisiasa huathiri moja kwa moja maisha ya waumini wa dini, hivyo ni muhimu viongozi wa dini kushiriki katika kuombea amani, haki na viongozi wanaokumbwa na changamoto. Akizungumza siku ya Jumamosi...
  16. Waufukweni

    GE2025 Mwenyekiti UVCCM Dodoma: Kundi lililotaka kuupora Urais wa Samia baada ya Kifo cha Rais Magufuli wamefahamika, hatutanyamaza

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dodoma, Abdulhabib Mwanyemba, amelaani vikali kile alichokiita juhudi za watu wachache wenye nia ya kukwamisha misingi, tamaduni na Katiba ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kueneza na kuhamasisha usaliti ndani ya chama...
  17. B

    GE2025 Kwahiyo mtu akila kichapo kwenye 'Knockout ya Mama' ndio inamaanisha Rais Samia kawakung'uta wapinzani wake?

    Mi nauliza tu swali, mlianza kwenye comedy hadi mkampa tuzo, na wakasema mama ndio mchekeshaji wa kwanza😂😂 haya tukatulia. Sasa kwenye Knockout ya Mama mtu akila kichapo inamaanisha kala kichapo kwaajili ya mama, au mama kala kichapo au walioshinda ndio wameshinda kwaajili ya Samia? Mwisho...
  18. Roving Journalist

    GE2025 CCM yafanya marekebisho ya Katiba yanayohusisha maamuzi ya Kamati Kuu uteuzi wa wagombea udiwani na ubunge

    Rais Samia na Mwenyekiti wa CCM akishiriki Mkutano Mkuu Maalum CCM kwa Njia ya Mtandao White house -Dodoma, leo tarehe 26 Julai, 2025 https://www.youtube.com/live/-Tu6zVGA9PU?si=2ByaTaVIA6m33xsQ Mwenyeiti wa chama cha mapinduzi (CCM) Rais Samia ameshafungua mkutano na sasa shughuli zimeanza...
  19. L

    GE2025 Rais Samia Kuchukua Fomu ya Urais Mwezi Ujao. Vijana Wajipanga Kumsindikiza Kwa Maandamano Makubwa Yatakayo Itikisa Nchi

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anatarajiwa kuchukua Fomu Ya Urais Mwezi Ujao. Hii ni Baada ya hii leo Tume Huru ya Uchaguzi kutangaza kwa tarehe ya uchukuaji na urejeshaji wa Fomu Za Uteuzi wa...
  20. Kimbesa11

    Hongereni sana viongozi wetu wa chama na serikali kwa kutoijibu haraka barua ya ndugu Polepole. Hii ni adhabu kubwa na ya kisayansi kwa Polepole

    Napenda kutoa Pongezi kubwa kwa viongozi wetu wa chama na serikali kwa kufanya kazi kwa hekima na busara huku mkitanguliza uzalendo kwa Taifa letu mbele. Narudia tena, ninaiona busara na hekima kubwa ya uongozi huu wa awamu ya sita chini ya Dr. Samia Suluhu Hassan, viongozi wetu mnafanya...
Back
Top Bottom