uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PreGE2025 POTOSHI Witara akimwaga machozi baada ya kuliwa kichwa na wajumbe

    Waitara analia. Magufuli hayupo Wajumbe wamemla kichwa tayari
  2. M

    GE2025 Hivi kwanini kazi ya ubunge isiwe na kipindi cha kujitolea kama kazi zingine?

    Hivi kwanini kazi ya ubunge isiwe na kipindi cha kujitolea kama kazi zingine? Mtu akishachaguliwa ajitolee mwaka Mmoja au miwili baada ya hapo akiwa ameonesha uwakilishi mzuri apewe ajira Kwa miaka iliyobaki.
  3. mwanamwana

    GE2025 Mara: Wananchi Mwibara wamchoka mbunge anayemaliza muda wake, waomba kupatiwa mgombea mpya

    Wananchi wa Jimbo la Mwibara, lililopo mkoani Mara, wamemwomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), awasikilize kilio chao kwa kuwapatia mgombea mpya katika uchaguzi ujao, wakieleza kutoridhishwa na utendaji wa...
  4. M

    GE2025 Baada ya uchaguzi CHADEMA watashikwa na butwaa kusubiri miaka mitano ijayo nje ya siasa

    Ni dhahiri kuwa chadema baada tu ya uchaguzi watashikwa na butwaa wasijue wafanye nini maana kwa sasa wanachokihubir ni kitu ambacho hakiwezekani watu wanajiandaa kwa uchaguzi wanabaki na kakikundi kado sana na chadema hawajui watanzania walivyo yaaani wasione watu wanavyojaa kwenye mikutano yao...
  5. PLOII

    Mwaka wa uchaguzi na kamati za giza, wanasiasa msiue watanzania kisa ushindi wa kisiasa

    Hello guys, It's supercalifragilisticexpialidocious on our current political trends not only that but it's flabbergasted, lambasted & distressed. Niende kwenye Mada baada ya kutoa sumu kupitia hiyo statement. Siasa ya Nchi ni kama Uganda, DRC, Mozambique, Comoro, Angola n.k Ila tofauti na...
  6. T

    Tetesi Baada ya uchaguzi 2025 vigogo watakoma kuingilia maamuzi ya idara

    Kuna kila hali tangu JPM atutoke viongozi wenye nguvu kwenye mfumo wamekuwa wakitumia nguvu na ushawishi wao ku diverse mapendekezo ya idara jambo sasa limekuwa ni hatari na kitisho cha usalama maana idara inafanya kazi ngumu kulinda uhai wa taifa na ukisha waingilia hawa jamaa na kuweka siasa...
  7. B

    GE2025 Ikitokea kesi ikafutwa sababu ya ushahidi dhaifu au kwa kubambikiwa, haki ya mtuhumiwa inarejeshwaje?

    Kuna msemo unasema 'Justice delayed is justice denied' na huu ndio uhalisia unaojitokeza kwenye mifumo yetu ya Haki Jinai. Mtu anakamatwa, anafunguliwa kesi, lakini upelelezi haujakamilika—maombi ya muda yanaendelea. Shauri likifika mahakamani, bado upande wa mashitaka unaomba muda zaidi, au...
  8. BLACK MOVEMENT

    Haya yatatokea baada ya Uchaguzi huu

    Mara baada ya uchaguzi haya ndio yatakayo tokea, na wakati ukifika nitapandisha huu uzi tuombe uzima. 1. Raia wataielewa sana NO reform ya CDM kwa sababu wanasiasa watakuwa wameisha wasahau na wako busy kurudisha pesa walizo tumia kwenye kampeni. KWa sasa wanasiasa wanasalimia hadi watoto...
  9. JanguKamaJangu

    Wakili Peter Madeleka: CHADEMA kuzuia Uchaguzi 2025 kwa kigezo hakuna "reforms" ni kosa la Jinai

    Wakili Peter Madeleka amesema CHADEMA kupanga kuzuia Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 ni kupanga kufanya kosa la jinai, na kwamba ACT Wazalendo haiwezi kuunga mkono suala hilo. Mahojiano ya One on One ambayo Shahidi wa Jamhuri Charles William amefanya na Wakili Madeleka yanapatikana pia katika...
  10. Waufukweni

    PreGE2025 Wakili Addo November: CHADEMA bado wanayo nafasi kutia saini kanuni za maadili

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeelezwa kuwa bado kina nafasi ya kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi ili kipate fursa ya kushiriki uchaguzi. Akizungumza katika Kongamano la Sheria lililofanyika jijini Dar es Salaam jana, Addo November kutoka Chama cha Wanasheria wa...
  11. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mjumbe wa BAKWATA: Tushiriki uchaguzi 2025 kwa amani, tusiige mataifa mengine

    Watanzania wamehimizwa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi Mkuu ujao ifikapo mwaka 2025 Oktoba huku wakiaswa kushiriki uchaguzi huo kwa amani na kutoiga mataifa mengine ambayo yanaingia kwenye vurugu kipindi cha uchaguzi. Hayo yamesemwa na Mjumbe wa Halmashauri Baraza la Waislamu Tanzania...
  12. Y

    PreGE2025 Ushauri binafsi : Mpina agombee tena kwa maslahi ya uchaguzi 2025

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. kwenye mada..... Hivi karibuni kumeibuka mjadala mkali juu ya kilichotokea jimboni kisesa ilipokuwapo ziara ya Rais na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi. Watu wengi, pengine ni uelewa mdogo, wanauliza kwanini Mhe, Raisi alimjibu vile...
  13. Carlos The Jackal

    Kama ambavyo Mrusi na Mchina wameshindwa kumsaidia Mu-Iran, Vivo hivo hawataisaidia CCM baada ya Marekan na Ulaya Kutoutambua Uchaguzi 2025

    CCM endeleeni kushupaza Shingo !! Mtaelewa tu hapo Baadae !!.
  14. Mayor of kingstown

    Bajeti ya uchaguzi 2020 bilioni 300 Vs Bajeti ya uchaguzi 2025 trillion 1

    Kwa mujibu wa tume ya taifa ya uchaguzi NEC Serikali ya Tanzania imetenga kiasi cha shilingi za kitanzania Bilioni 331 wakati wa uchaguzi 2020, Vs Kwa mujibu wa Bajeti ya Serikali ya Tanzania imetenga kiasi cha shilingi za kitanzania Trillion 1 wakati wa uchaguzi 2025 Kuna siku tutaamka...
  15. mtunzasiri

    Matukio ng'amuzi kwa mwaka huu wa uchaguzi 2025.

    Tafakari,, Mwaka huu wa uchaguzi 2025 una migogoro mingi hatarishi kuliko miaka yote- 1). Kuna mgomo baridi ya kimichezo kutokucheza na wanaenda mbele wanatishia kuandamana, kati ya YANGA UPANDE MMOJA na bodi ya ligi, TFF kwa pamoja Kwa upande mwingine, ukiangalia utasema ni suala la michezo tuu...
  16. Alloyce PR

    Uchaguzi 2025: Chagua kuwa Kasongo

    "Si kila mnyama wa porini huweza kuvuka msitu wa siasa; ni yule anayejua kufuata njia kwa akili, subira, na ujasiri atakayevuka salama. Ukitaka kuvuka salama, acha ujanja wa Sungura badala yake chagua hekima ya Ngiri."— Alloyce, P.R.
  17. M

    PreGE2025 Kwanini Vyama vya Siasa vinapaswa kujumuisha masuala ya Mazingira na mabadiliko ya Tabianchi kwenye Ilani za Uchaguzi 2025

    Katika kipindi hiki cha maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2025, mjadala mkubwa unaendelea juu ya sera za vyama mbalimbali. Lakini swali la msingi ni: Je, vyama vyetu vya siasa vinatilia mkazo masuala ya mazingira na mabadiliko ya tabianchi kwenye ilani zao? Kwa hali ya hewa inayozidi kubadilika...
  18. Lord Denning

    Kwa hali ilivyo mbaya kwa CCM mwaka huu inawezekana nchi ika collapse baada ya Uchaguzi

    Nimepenyezewa taarifa kuwa hali si hali korido za Ofisi za Chama cha Mapinduzi. Nguvu pekee wanayoitegemea kwenye kushika madaraka ya nchi kupitia uchaguzi wa kiini macho wa mwaka huu ni vyombo vya dola tu. Katika kuvishawishi vyombo vya dola inawabidi CCM kuongeza mishahara ya Watumishi wote...
  19. funaku

    GE2025 We must unite for the true liberation!

    THIS IS ONE INSPIRATIONAL COMMENT AMONG MANY TO COME FOR THE SUSTAINANCE OF OUR FREEDOM.!! Mwalimu Julius Kambarage Nyerere the late father of our nation had tried hard,endured a lot,sucrsified some and let go a number of issues so as Tanzania to get free.. For us few scholars of Nyerere...
  20. D

    2025 wabunge wanaenda kuwa wengi inaweza karibiana na marekani . Kwa nchi ndogo Kama yetu

    I will be short Majimbo yanazidi kuwa mengi , gharama zinakuwa kubwa . Hizi pesa serikali Itatoa wapi ?? Majimbo mengi Inchi mdogo . What’s going on ?? Hapo Dc na RC . A Naongea na wabunge 3-4 kila Wilaya ?? Hivi sisi watu weusi tumechanganyikiwa au ?! Hatuna hela , tuna increase...
Back
Top Bottom