uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    GE2025 Naweka kumbukumbu ya rejea: wanaCCM wanajengwa na mfumo wa Chama na hakuna mkubwa zaidi ya mfumo

    Sitozungumzia yaliyotokea huko nyuma lakini Uzi huu ubaki kumbukumbu ya rejea kwa vizazi vijavyo kwenye mambo yafuatayo kuhusu CCM: 1. CCM ni mfumo 2. CCM ni mfumo mkubwa kuliko mifumo watu 3. Umaarufu wa wanaCCM unajengwa na mfumo 4. Hakuna ndani ya CCM ambaye ni mkubwa kuliko mfumo 5...
  2. W

    GE2025 Polepole: CCM tunakaribia kutekwa na kundi la wanamtandao

    Agosti 13, 2025 wakati Humphrey Polepole akiendelea na mazungumzo yake kupitia mitandao ya kijamii ameeleza kuwa CCM inakaribia kutekwa na Wanamtandao na watu wanajua ingawa wanawaogopa ila yeye hawaogopi. "Huku sisi tunakaribia kutekwa na kundi la wanamtandao mtu yeyete aliyekuwepo toka zamani...
  3. S

    Kama sio uonevu wa makusudi, Lissu peke yake anawezaje kupanga uhaini wa kupindua serikali? Wahaini wengine walioshirikiana na Lissu wako wapi?

    Unajua serikali yetu hii na chama chake tawala mara nyingine ifikie mahali ione aibu kutumia njia za kimabavu kuonea watu. Ukitaka kuonea watu, basi fanya kwa namna ambayo watu watakuona una akili basi, sio kama mlevi wa pombe kali. Hivi umewahi kusikia duniani mtu mmoja peke yake anapanga...
  4. Baraka Mina

    GE2025 Harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025, Mlimani city (CCM gala dinner 2025) wamekusanya Bilioni 86.31

    https://www.youtube.com/live/Kl7JY-zdy0c?si=TWJ9NKMmXZrdQII6 Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Mlimani City jijini Dar Es Salaam ambapo leo tarehe 12 Agosti 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinafanya harambee ya kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na...
  5. McLaren

    GE2025 Salum Mwalimu: Nikipata Urais nitafanya mabadiliko ya Katiba

    Mgombea Urais kupitia Chama cha maendeleo kwa Umma (CHAUMA) Salum Mwalim amesema kuwa Kama akipata ridhaa ya kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania atahakikisha anafanya mabadiliko ya Katiba ya nchi Pamoja na mifumo ya kisheria. Mwalimu ameyasema hayo mara baada ya kuchukua fomu ya...
  6. Just Pray

    GE2025 Tume ya Uchaguzi wangeweka kanuni za kusimamia mchakato wa viti maalum bungeni ili kuzuia yale yaliyotokea mwaka 2020 sakata la wabunge wa Covid 19

    Wakuu, Kwa mambo yanavyoenda, ni dhahiri kuwa kuna uwezekano mkubwa CCM ikashinda ubunge kwa 99% kama ambavyo ilitokea mwaka 2020 Maana yake kuna uwezekano wa kukosekana kwa upinzani bungeni kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa 2020. Kuna sheria zozote zilitengenezwa na tume kukabiliana na...
  7. K

    Upinzani Tanzania: Tishio kwa CCM uchaguzi 2025

    Sote tunakumbuka kuwa tangu nchi yetu ipate uhuru kumekuwa na ukuaji mkubwa wa siasa za upinzani. Hali hiyo ya ukuaji imeanza tangu uchaguzi wa mwaka 1958,tukazuia vyama vingi lkn bado ndani ya TaNU kukawa na tishio la upinzani mkubwa uliotishia falsafa za Hayati Nyerere. Wakaibuka akina...
  8. britanicca

    GE2025 Polepole ni Mkweli. Mimi (Britanicca) Mwezi wa Kwanza 2021 nilisema hili

    Huyo mzee anayekuwa anapeleka bahasha nilimjua kwa jina si vema kutaja alitumwa na nani ! I Niliandika Twitter Pitia 👇🏾
  9. Morning Glory1

    Uchaguzi 2025: CcmA vs CcmB vs CcmC.. ..HII NI MAAJABU!!

    Unaambiwa kinyang'anyiro cha uchanguzi wa mwaka huu ni Mama Samia vs Salum Mwalim vs Mpina.. Uchaguzi wa mwaka huu ni zaidi ya futuhi ni zaidi ya cheka tu ni zaidi ya sinema zetu kusema kweli ni vichekesho + comedy...nchi hii inadidimia na bado kuna nyumbu na vyura wa kijani unawasikia wakisema...
  10. H

    GE2025 Maneno ya Polepole hayawasaidii Watanzania kwa sasa, ni unafiki

    Kuitumikia kwake serikali na viongozi fisadi na akakubali kuteuliwa nyadhifa mbalimbali serikalini akiyajua yoooote haya na kukaa nayo kimya ni wazi alikuwa ananufaika na huo uozo!! Nivyema akawashitaki wote anaowatuhumu kwa makosa yao siyo kuwatonesha vidonda watanzania ni uhuni.
  11. B

    GE2025 ACT mmeshindwa hata kuvunga kuwa nyie sio CCM B? Eti Mpina kama mgombea Urais! Watu sio wajinga bana!

    Kulingana Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa; "Vyama vinavyopata ruzuku ni vile vilivyopata angalau asilimia tano ya kura zote halali zilizopigwa katika Uchaguzi Mkuu na vyama vyenye Wabunge au Madiwani. Kigezo kinachotumika ili chama kiweze kupata ruzuku ni kuangalia matokeo ya uchaguzi kuona...
  12. Determinantor

    GE2025 Wananchi wakutana kushangilia kifo cha Ndugai!

    Nimesikitishwa na kutishika na video hizi zinazodaiwa kuwa za Wananchi jimboni kwa Job Ndugai wakishangilia kifo chake
  13. W

    GE2025 Kumbikizi: Yericko Nyerere aliwahi kusema atakayepigwa kwenye uchaguzi wa ndani wa CHADEMA hakuna kuhama chama, ila leo kiko wapi?

    Wakuu mnakumbuka hii kutoka kwa Yericko Nyerere? Alipokuwa akihojiwa siku ya uchaguzi wa CHADEMA kwa ngazi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti, alisema kuwa ukipigwa hakuna kuhama chama lakini baada ya timu yake kupigwa ameshindwa kuvumilia😂
  14. Waufukweni

    GE2025 Festo Sanga ashinda Kura za Maoni Jimbo la Makete

    Festo Richard Sanga ambaye anatetea nafasi yake amepata kura 4,104 akimshinda Dr.Toba Nguvila aliyepata kura 2,359 na kufuatia na mfanyabiashara Award Mpandilla aliyepata kura 946.Wengine ni Prof.Norman Sigalla 103 aliyepata kura na Selina Msigwa aliyepata 21.
  15. McLaren

    GE2025 Video: Aggrey Mwanri kwenye harakati za kutafuta kura za wajumbe aimba wimbo wa "Asimama peke yake"

    Wakuu, Yaani huyu jamaa ni full comedy. Wajumbe wote wamebaki na vicheko. Huyu asiposhinda CCM watatuambia kura zake walizipeleka wapi
  16. Just Pray

    GE2025 Kimewaka CCM Kibaha: Wajumbe wawakataa watia nia wazee wa udiwani, wasusia kikao

    Wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kata ya Kibaha wametoka nje ya ukumbi wa Mkutano maalum wa kuwatambulisha watiania wa Ubunge na Udiwani uliofanyika kwenye Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kibaha. Wajumbe hao wamechukua hatua hiyo mara tu baada ya kumaliza kutambulishwa majina...
  17. Just Pray

    GE2025 Mwenyekiti wa CCM ampigia kampeni mgombea mmoja kabla ya kura za maoni

    Wakuu Hali ya kushangaza imejitokeza katika Jimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro baada ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Hai Wanguba Maganda na Katibu wa Kata Machame kumpigia kampeni kinyume cha taratibu Aliyekua Mbunge wa Jimbo hilo la Hai Mkoani Kilimanjaro Saashisha Elinikyo Mafuwe. Kupitia video...
  18. Chachu Ombara

    GE2025 CCM yataka wagombea udiwani wote waliopitishwa na walio kwenye orodha ya awali kurejeshwa ili wapigiwe kura za maoni

    Taarifa ya Sekretariati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyotolewa Agosti 1, 2025 imewataka Wagombea wote wa Udiwani wa Kata, waliopitishwa na Kamati za Siasa za Mikoa warejeshwe ili wakapigiwe Kura za maoni. Pia, taarifa hiyo imeeleza wote waliopo kwenye orodha ya awali waliyotumiwa Makatibu wa...
  19. Just Pray

    GE2025 Stephen Wasira: Itakuwa jambo la busara kama CHADEMA watashiriki uchaguzi, tunasikitika wana matatizo mengi

    Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Stephen Wasira amesema Itakua jambo la busara kama CHADEMA watashiriki uchaguzi mkuu. Aidha Wasira amesema walikutana na chama hicho chini ya mwamvuli wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) chini mwenyekiti wake Tundu Lissu ili kujadili tofauti zilizopo kati ya vyama...
  20. figganigga

    GE2025 Simon Sirro ndio Mfano wa Polisi Tanzania? Je, Polisi wote ni CCM?

    Huu ndio uhalisia wa Polisi wa Tanzania? Wakivua Sare za Polisi ndio unaona sare yake halisi. Je, Sare ya jeshi la Polisi huwa inatumika kuhadaa Watanzania kwenye baadhi ya matukio? Hapa ni aliyekuwa IGP Mkuu wa Mapolisi wote Nchini baada ya kuvua sare ya Polisi Ndio maana kila siku...
Back
Top Bottom