uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Gamba la Nyoka

    GE2025 CCM kwanza na taifa baadae ya Humphrey Polepole

    Na Dr Mutatis Mutandis Nimefuatilia kiukaribu sana sakata hili linalomhusu ndugu Humphrey Polepole nilichoking'amua ni kuwa ndugu Polepole (wa leo) kwake CCM ndiye mzaliwa wa kwanza na Taifa ni mtoto wa kuasili (adopted child). Kwa hiyo mapenzi yake, roho yake, liwazo lake ni CCM kwanza...
  2. Komeo Lachuma

    Uchaguzi 2025. Maandalizi/Kampeni,mchakato na matokeo yake. Fujo, Hatari na Vifo. Tutokeje Salama?

    Tutaendelea kujulishana yanayojiri hapa. Kuanzia Kampeni na hadi kutangazwa kwa mshindi na mwitikio.
  3. Waufukweni

    GE2025 MNEC, Muhsin Ussi: Zanzibar huduma za afya ni bure, hakuna malipo

    Muhsin Ussi (MNEC) — Kiongozi wa Kitaifa wa Vijana kutoka Zanzibar (CCM). "Wakati Rais Dkt Hussein Mwinyi anaingia madarakani Zanzibar tulikuwa na hospital kubwa Moja tu inaitwa Mnazi Mmoja na kwa Pemba tulikuwa na hospital inaitwa Abdallah Mzee. "Unaweza kwenda hospital Saa 11 Alfajiri...
  4. Waufukweni

    GE2025 Madeleka: Niliunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu hakusema atazuia uchaguzi, kama angesema hivyo kabla, nisingemuunga mkono

    Wakili Peter Madeleka akihojiwa na Jambo TV amesema, "Wakati namuunga mkono ili Tundu Lissu achaguliwe na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama, hakuna mahala popote alisema atazuia Uchaguzi akiingia madarakani, na kama angelisema hivyo mimi nisingemuunga mkono."
  5. Just Pray

    GE2025 Askofu Bagonza: Kuna watu wanaua wenzao kwa kisingizio cha kulinda taifa, ndugu hao watakufa na taifa litabaki halafu litawasahau

    Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Kalikawe Lwakalinda Bagonza anasema "wapo wanaowaua wenzao kwa kisingizio cha kulitetea taifa, ndugu hao watakufa na taifa litabaki alafu litawasahau" :
  6. figganigga

    GE2025 Kilwa kuna nini? Historia yake ya kupatikana mbunge inatisha!

    Huyu dada nimependa Simulizi zake. Sijamtaja jina sababu simjui ila aliyoyaongea 50% nilishawahi kusimuliwa. Je, ni kweli ili uwe Mbunge wa CCM Kilwa lazima uue mpinzani wako? Watu wa Kilwa tusaidieni kuhusu anachoongea huyu Dada kama kweli unajua. Niaje huko?
  7. Yoda

    GE2025 Kwanini Nyerere aliuchukulia urais katika muktadha wa Ufalme?

    Sio tu katika katiba ya nchi ambapo Mwl Nyerere aliujenga urais katika hadhi ya ufalme bali pia hata katika maongezi yake na utamaduni ni hivyo pia. Nyerere aliwajengea raia mtizamo kwamba watu kutaka kuwa rais au kuwa na ndoto hizo ni kama aina fulani ya dhambi hivi, kwamba urais huwa unaenda...
  8. Manyanza

    GE2025 Namna Rais anavyopatikana Kikatiba pasipo nguvu ya vyombo vya dola na Msajili wa Vyama vya siasa

    Kikatiba, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hupatikana kwa mujibu wa Ibara ya 33 ya Katiba ya Tanzania. Kwa sasa, Samia Suluhu Hassan alichukua madaraka kwa mujibu wa katiba baada ya nafasi hiyo kuwa wazi, jambo ambalo ni halali na lina msingi wa kisheria, siyo wa kiroho wala wa hisia...
  9. Waufukweni

    GE2025 Polepole: Mchakato wa CCM kumpitisha Samia kuwa Mgombea Urais 2025 haukuwa halali

    Mchakato wa CCM kumpitisha Samia kuwa Mgombea Urais 2025 haukuwa halali Kusema ni mgombea mmoja ni makosa Polepole asema kikao kilichotumika kumteua Rais kilikiuka taratibu na sheria za CCM. Ameendelea kusema suala la kutoa fomu moja na kupitisha mgombea kinyume cha taratibu ni kunajisi katiba...
  10. Mindyou

    GE2025 Waziri Ndumbaro: Mtu anapanda jukwaani anamtukana mgombea mwenzake kama hana wazazi. Atakeyekiuka sheria kipindi cha Uchaguzi, akamatwe

    Wakuu Hivi mbona wananchi tunatishiwa sana na hawa viongozi? Yaani Bongo kila mtu mbabe ==================== Waziri wa Katiba na Sheria Damas Ndumbaro amewaonya wagombea wanaotoa "matusi" na lugha zasizo na staha katika kipindi hiki cha Uchaguzi "Sasa hivi mchakato wa Uchaguzi umeanza. Wadau...
  11. Waufukweni

    GE2025 Askofu Gwajima: Kutawala Nchi wakati imemeguka kwa makovu ya Uchaguzi ni kazi ngumu sana, tuwape Reforms CHADEMA

    Askofu Gwajima amesema, "Kushinda Uchaguzi ni jambo jepesi lakini kuitawala Nchi na kuiletea Maendeleo iliyomeguka meguka kutokana na Makovu na Majeraha ya Kiuchaguzi ni kazi ngumu sana, sisi kama CCM tunaweza kuamua kuendelea [na Uchaguzi] na tukashinda lakini jaribu kuwaza tangu siku unapo...
  12. Mindyou

    Huyu Wakili Ukashu ameelezea vizuri sana kwanini watu maarufu wanapenda kwenda Bungeni. Neema iliyopo kwenye Ubunge ni kubwa sana

    Wakuu, Hili suala la watu maarufu kutaka kuwa wabunge na kuacha kazi walizonazo naona huyu jamaa ameielezea vizuri sana. Huyu ni Wakili anaitwa Emmanuel Ukashu ameelezea kwanini watu maarufu wanapenda kuwa wabunge. Hapa walikuwa kwenye mjadala hapo TBC uliofanyika a few days ago
  13. M

    GE2025 CCM Makete: Mnazua taharuki kuweka majina mtandaoni kuwa wamekatwa

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Makete mkoani Njombe kimewaonya wanaoingilia mamlaka na kuweka wazi mitandaoni majina ya wagombea wakidai yamekatwa na kuwataka kuacha utaratibu wa chama ufanye kazi. Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Makete, Clement Ngajilo ametoa onyo hilo wakati akizungumza...
  14. M

    GE2025 Suzan Kiwanga: CCM ni sawa na manyani, 2025 ama zao ama zetu, nyani hasusiwi shamba la mahindi

    Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Matangini, Mlimba – Morogoro, Suzan Kiwanga alisisitiza kuwa haoni sababu ya chama tawala kuachwa kipite bila kupingwa, akisisitiza kuwa wapinzani hawapaswi kususia uchaguzi bali kupambana hadi mwisho – mvua au jua. Kwa mujibu wake...
  15. Pdidy

    Nimeshangazwa kuona watu wanalalamika kwenye mchakato uteuzi wa wagombea CCM

    Labda hili jambo ni geni kwa baadhi ya watu, lakini kwa waliokuwa kwenye chama kwa muda mrefu, haya mambo walitakiwa wawe wanayafahamu. Nashangaa kuona watu wanalalamika kwamba wameonewa, ilhali walishindwa hata kujifunza na kuelewa mchakato huu tangu zamani. Wajumbe wana kazi maalum, na hiyo...
  16. Ex Spy

    GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    More to come… Kaiweka barua mwenyewe mtandaoni: ======= Kwa heshima na unyenyekevu, naomba kukutaarifu kuwa nimefikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yangu ya Uongozi wa Umma nikiwa Balozi na Mkuu wa Kituo cha Uwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Havana – Cuba, pamoja na uwakilishi wa...
  17. mwanamwana

    GE2025 TAKUKURU Bukombe: Mawakala wa Miamala ya fedha msitumike kupitisha rushwa wakati wa uchaguzi

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita, imetoa rai kwa mawakala wa miamala ya kifedha kuchukua tahadhari na kufuata sheria na miongozo ya kazi zao, hasa kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, ili kujiepusha kutumiwa na wagombea, wapambe wa wagombea...
  18. B

    Tetesi: GE2025 Uzi Maalum wa Tetesi za Watiania CCM Kuenguliwa/Kupita Mchujo wa kupata majina 3 ya kupigiwa kura na wajumbe

    Wakuu salama? Watiania huko matumbo joto, presha inapanda na kushuka, wanaoroga wanachochea kuni na wanaosali wanasugua maguti/paji za uso kwelikweli kuhakikisha wanatoboa kwenye mchujo wa kwanza. Tupeane tetesi kupitia uzi huu na kujadili kule kwenye ushindani mkali kutabari ni majina ya...
  19. Just Pray

    GE2025 CCM yamtupa nje Luhaga Mpina Mbio za Ubunge jimbo la Kisesa

    Mbunge wa Jimbo la Kisesa anayemaliza muda wake Luhaga Mpina huenda safari yake ya kuwawakilisha wananchi wa Kisesa ikafikia tamati ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka huu baada ya vikao vya mchujo kwa ngazi ya wilaya ya Meatu na mkoa wake wa Simiyu kumtupa nje ya mbio za kuwania kuteuliwa...
  20. KakaKiiza

    GE2025 Nani kaliwa kichwa huko CCM?

    Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kama una taarifa ya mgombea aliyeliwa kichwa katika mchujo weka jina!. Kumeanza kuchemka
Back
Top Bottom