ubunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2020 Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum CHADEMA, Sabreena Sungura Atia nia kugombea ubunge jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Wananchi CUF

    Mhe. Sabreena Sungura Atia Nia Kugombea Ubunge Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala Mkoani Dar es Salaam Kupitia Chama Cha Wananchi CUF. Sabreena Sungura Mwanamama Jasiri Na Mpambanaji. #2020WanawakeTunawaaminia.
  2. GE2020 Kwaheri Charles Mwijage, Ubunge sio cheo cha Ufalme

    Serikali ya awamu ya tano chini ya Dr John Magufuli wakati ikipambana kuhakikisha nchi inakua kiuchumi kuna baadhi ya viongozi wa ovyo wao akili zao wanawazia nafasi za uongozi wao. Ni tarehe mbili mwezi wa saba tu mwaka huu Tanzania inafanikiwa kuingia kwenye uchumi wa kati wa chini ambapo...
  3. J

    RC Chalamila atengua nia yake ya kugombea ubunge Iringa mjini

    Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema anatengua nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini na kwamba ataendelea kuwatumikia wana Mbeya. Chalamila amesema baada ya kumsikiliza Rais Magufuli jana kwa tahadhari aliyotoa kwa wateule wanaoomba ruhusa, alimwelewa vizuri na...
  4. GE2020 Ubunge wa CCM wageuka kituko, Komandoo Mashimo naye atangaza nia Jimbo la Kibamba

    Huku ndio tulikofikia .
  5. GE2020 Wenje asikia kilio cha wananchi, atangaza Kugombea ubunge Jimbo la Rorya

    Hii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe, kwamba huko Rorya ndio kwao na sasa amedhamiria kuondoa ombwe la uongozi lililokuwepo.
  6. GE2020 Geofrey Timoth mtia nia Ubunge Jimbo la Kawe

    Jimbo la Kawe 2020
  7. J

    GE2020 Mwita Waitara: Nafasi zenyewe chache Ubunge wa nini?

    Naibu waziri wa Tamisemi Mwita Waitara ameuliza " nafasi zenyewe ni chache ubunge wa nini?" East Africa Radio My take; CCM ni chama kikubwa nadhani Waitara alisahau. Maendeleo hayana vyama!
  8. GE2020 Abdul Nondo atia nia ubunge Kigoma Mjini

    Watia nia ubunge kigoma mjini mpaka sasa kupitia ACT-WAZALENDO ni Abdul Nondo, Baba Levo. Bado najiuliza Zitto Kabwe atahama jimbo tena au atagombea nao kura za maoni, au hatagombea mwaka huu?
  9. GE2020 Singida Magharibi wananchi wamlilia Hamisi Lissu Mahanju wa CCM kuhusu ubunge, wadai Kingu ni mwongo

    Na Fundi Madirisha, Muhintiri-Ikungi-Sigida. Katika harakati zangu za kupitapita katika kila kona ya jimbo la Singida Magharibi ili kujipatia taarifa muhimu juu ya mwenendo wa siasa za jimbo ambalo limekua chini ya CCM tangu Uhuru, inaonekana wananchi wa eneo hili wamechoka sana...
  10. J

    GE2020 Ubunge: Butiama Madaraka Nyerere vs Jackton Manyerere, Iringa Steve Nyerere vs Pierre Liquid na Kigamboni Yericko Nyerere vs Paul Makonda!

    Naona akina Nyerere bila kujali yupi ni Original na yupi ni fake wameamua kuusaka ubunge kwa udi na uvumba mwaka huu. Hata Makongoro Nyerere wakazi wenzio uliowaacha Mwananyamala Komakoma wanakukaribisha ugombee jimbo la Kinondoni kama itakupendeza. Mungu aubariki uzao wa Mwenye heri Julius...
  11. GE2020 Mch. Michael Msigati atangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Same Magh kupitia TLP, atuma salamu kwa David Mathayo " Sasa ni wakati wa bwana "

    Team salaam! Safari ya TLP kuelekea Oktoba 2020 imepamba moto kwelikweli, Leo chama chetu kimepokea tena Mgombea Wa Ubunge toka Same Magh Mhe. Mch Michael Msigati,
  12. F

    Steven Nyerere aibua kiroroja: Atinga ofisi za CCM kuchukua fomu ya Ubunge. Hakujua muda bado ila alipaswa kutangaza nia tu?

    Kuna video inatembea ikomuonesha Steve Nyerere akijinadi kufika ofisi ile kuchukua fomu ya Ubunge. Hivi hakumuelewa Dkt. Bashiru aliposema ni kuulizia tu utaratibu wa kugombea na kutangaza nia? Fomu zitatolewa kuanzia tarehe 14 hadi 17 July kupitia CCM.
  13. J

    Je, Shehe wa mkoa anaweza kugombea ubunge?

    Nauliza tu waungwana maana niko kwenye kujifunza. Kwa mfano, shehe wa mkoa wa Dsm alhad Mussa Salum anaweza kugombea ubunge jimbo la Kawe? Maendeleo hayana vyama!
  14. GE2020 Charles Hilary chukua fomu ya Ubunge Jimbo la Kibamba hakika utashinda kwa kishindo

    Bila kificho wala unafiki ningekushauri ndugu yangu Charles Hilary kuwa huu ndio wakati wako sasa kuwatumiakia watanzania baada ya kustaafu utangazaji kwa mafanikio makubwa, utashi na busara yako bado tunaihitaji watanzania ituletee faida. Hivyo basi ni wakati sahihi wa kuchukua form ya Ubunge...
  15. J

    Nilimwelewa Askofu Mwamasika wa KKKT alipojiuzulu Ubunge na kugombea Uaskofu, ila Gwajima amenichanganya

    Kiukweli wakati ule Mbunge wetu mchungaji Mwamasika alipojiuzulu Ubunge kwenye Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na kwenda kugombea uaskofu wa KKKT nilimuelewa sana. Na alipokuja kwetu wananchi kutueleza kwanini anaacha utumishi wa umma na kwenda kuitumikia mamlaka ya juu zaidi kiroho...
  16. GE2020 Boniface Budodi atangaza kugombea Ubunge Maswa Magh kwa TLP,atuma salamu kwa Mashimba Ndaki " Nakuja mtumishi wenu nisiye na faida Maswa nipokeeni "

    Hakika TLP kumenoga, Mhe Boniface Budodi atangaza nia ya kugombea Ubunge kupitia TLP, Atuma salamu kwa Mhe Mashimba Ndaki, Awaomba wana Maswa wampokee mtoto wao na mtumishi wao, Awaomba wamuunge mkono Mhe Dk John Pombe Joseph Magufuli kuelekea Oct 2020,
  17. J

    Je, Baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea Ubunge?

    Nauliza tu wadau kama baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea ubunge. Kwa mfano baba askofu Ruwaich anaweza kugombea ubunge jimbo la Ilala? Maendeleo hayana vyama!
  18. K

    GE2020 Ubunge Rorya 2025: Wenje tafadhali sana kachukue Jimbo

    Wakuu habari za asubuhi! Siku chache zilizopita nilisoma uzi mrefu wa mwanajukwaa moja aliyejitambulisha kama mwalimu wa chuo cha MIST huko Mbeya na mzaliwa wa Rorya Mkoa wa Mara. Alieleza kinaga ubaga jinsi wilaya hiyo inavyotafunwa na makundi ya kitarafa linapokuja suala la uchaguzi akisema...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…