sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 369
- 2,513
Wakuu nina gari yangu imepaki nataka iniingizie pesa kwa kuifanya uber.
Naomba kwa mwenye ufahamu anifahamishe process yote mpaka gari inaingia barabarani.
Yani kama kuna vibali ni vipi? Kama najisajili naenda wapi kujisajili? Kama ni leseni naenda kuikata wapi?
Pia nilitaka kufahamu kama nitampa dereva kwa siku hesabu uwa ni sh ngapi?
Ni hayo tu ninahitaji kuyafahamu ili nione naanzia wapi.
Naomba kwa mwenye ufahamu anifahamishe process yote mpaka gari inaingia barabarani.
Yani kama kuna vibali ni vipi? Kama najisajili naenda wapi kujisajili? Kama ni leseni naenda kuikata wapi?
Pia nilitaka kufahamu kama nitampa dereva kwa siku hesabu uwa ni sh ngapi?
Ni hayo tu ninahitaji kuyafahamu ili nione naanzia wapi.