twiga

Tanzania Portland Cement Company Limited (TPCC), also Twiga Cement is a cement-manufacturing company in Tanzania. It is the first company in Tanzania to start manufacturing cement; in 1966.As of 2020, Twiga Cement is a member of the Heidelberg Group and Twiga's shares of stock are listed on the Dar es Salaam Stock Exchange, where they trade under the symbol:TWIGA.

View More On Wikipedia.org
  1. Buhaya Empire

    Sipendezwi na picha halisi ya twiga katika ndege za atcl

    Habari, Bila kupoteza muda niseme tu kwamba binafsi kama mtanzania, nakerwa na kuchukizwa sana na picha halisi ya Twiga iliyopo katika mkia wa ndege katika kila ndege ya Shirika la ndege la Tanzania ATCL. Sipendezwi na uamuzi huo wa kuweka picha halisi ya mnyama (Twiga) isiyokuwa na ubunifu...
  2. Jamii Opportunities

    Kiln Planner at Twiga Cement January, 2024

    Position: Kiln Planner Areas of Responsibility: As Assigned by the supervisor Reports To: MCC MANAGER Specific Knowledge: Preferably 5 years’ experience in kiln operations; experience in cement industry is an added advantage. The Management of Tanzania Portland Cement Public Limited Company is...
  3. Pfizer

    Twiga minerals yashinda kipengele cha kampuni za ubia na serikali

    Yatoa Gawio la Shilingi Bilioni 84 Serikalini Arusha Kampuni ya Twiga Minerals Cooperation Limited inayomilikiwa kwa ubia kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Barrick Gold Cooperation imeongoza katika kipengele cha Kampuni zenye ubia na Serikali katika utoaji Gawio...
  4. Sildenafil Citrate

    UZUSHI Twiga waonekana Maeneo ya Ubungo, Dar es Salaam wakisafirishwa kuelekea kusikojulikana

    Picha hii inadaiwa kuchukuliwa maeneo ya Ubungo, Dar es Salaam. Inadaiwa kuwa twiga hawa wanasafirishwa kinyume cha utaratibu hivyo mamlaka za Serikali ikiwemo Polisi zifuatilie kwa undani suala hili.
  5. J

    Kwanini tulimchagua Twiga awe Nembo ya Taifa la Tanzania?

    Najua lilikuwa ni Chaguo la kisiasa likiwa na sababu zake Twiga kiasili ni Mnyama mpole, mnyonge asiyependa shida na Chakula chake ni majani laini Twiga hawindi ila Nyakati fulani anawindwa na wanyama " wakali sana" like Simba, Chui na Kundi la " Mbwa mwitu" Kwanini tulimchagua Twiga?
  6. Stephano Mgendanyi

    Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement

    SERIKALI IMETOA UFAFANUZI KUHUSU UNUNUZI WA TANGA CEMENT UNAOFANYWA NA TWIGA CEMENT Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement, kuwa umefuata taratibu za kisheria na kwamba kampuni inayopinga ununuzi huo ya Chalinze Cement imeshafutiwa usajili...
  7. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ahoji, Kwanini Tanga Cement Ilazimishwe Kuuzwa Twiga Cement

    KUNTI MAJALA AHOJI KWANINI TANGA CEMENT ILAZIMISHWE KUUZWA TWIGA CEMENT Mhe. Kunti Majala, Mbunge wa Viti Maalum tarehe 04 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga Cement wakati wa kuwasilishw akwa hoja ya bajeti ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara iliyosomwa na Waziri...
  8. Stephano Mgendanyi

    Tanga Cement vs Twiga Cement

    MBUNGE MHE. GETERE - TANGA CEMENT INA HIFADHI YA MALIGHAFI YA SARUJI HUKU TWIGA CEMENT WANA MITAMBO MIZURI YA KUZALISHA SARUJI Mbunge wa Jimbo la Bunda Vijijini Mhe. Boniphace Mwita Getere amegusia suala la Twiga Cement na Tanga Cement huku akichangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Uwekezaji...
  9. Stephano Mgendanyi

    Utaratibu Ufuatwe Baina ya Twiga Cement na Tanga Cement

    MBUNGE JUDITH KAPINGA ASISITIZA UTARATIBU UFUATWE BAINA YA TWIGA CEMENT NA TANGA CEMENT Mbunge wa Viti Maalmu Vijana Kupitia Kundi la Vijna, Mhe. Judith Kapinga jana tarehe 04 Mei, 2023 amechangia Bungeni suala la Twiga Cement kuinunua Tanga Cement katika hoja ya bajeti ya Wizara ya Uwekezaji...
  10. Stephano Mgendanyi

    Taratibu Zifuatwe Twiga Cement Kuinunua Tanga Cement

    MHE. DUNSTAN KITANDULA - TARATIBU ZIFUATWE TWIGA CEMENT KUINUNUA TANGA CEMENT Mbunge wa Jimbo la Mkinga, Tanga, Mhe. Dunstan Luka Kitandula wakati anachangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara amesema kuwa watu wa Tanga hawatakuwa tayari kuona Tanga Cement inageuka kuwa...
  11. Stephano Mgendanyi

    Mchakato wa Twiga Cement Kuinunua Tanga Cement Uwekwe Wazi ili Kuondoa Malalamiko

    MHE. TIMOTHE MNZAVA - MCHAKATO WA TWIGA CEMENT KUINUNUA TANGA CEMENT UWEKWE WAZI KUONDOA MALALAMIKO Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timotheo Paul Mnzava leo Bungeni wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara amesema Mchakato wa Kampuni ya Twiga Cement...
  12. Bushmamy

    Manyara: Mtuhumiwa wa Ujangili akamatwa

    Mtuhumiwa wa ujangili wa Twiga ambaye amekuwa akisakwa kwa muda mrefu na askari wa Wanyamapori katika hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori Burunge, wilayani Babati mkoa Manyara Amos Benard Meja amekamatwa Jana usiku. Mtuhumiwa huyo amekamatwa kutokana na mtego ulioandaliwa na askari wa Mamlaka ya...
  13. Simchezo

    Tubadilishe mnyama wa Taifa asiwe Twiga

    Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege. Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake; 1. Ni mpole kupita kiasi. 2. Atoi sauti...
  14. benzemah

    Vijana wadogo wakamatwa kwa ujangili, waua Twiga

    Jeshi la Polisi mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na TAWA limewakamata watu wawili waliotambulika kwa majina ya Richard Paulo (Miaka 23) na Masiaya Lais (Miaka 19) katika kijiji cha Minjingu katika hifadhi ya Jamii ya Burunge wilayani Babati wakiwa nyara za serikali ambazo ni nyama ya Twiga...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kwanini Tanzania tuliamua kumtumia twiga mnyama legelege kwenye nembo ya taifa?

    Twiga ni mnyama legelege, mzuri anayevutia lakini hafaidiki na uzuri wake. Mrefu, anaona mbali na anaishia kuona tu. Kwa kweli utambulisho wowote unaoamua ukutambulishe utabeba taswira na tabia yako. Tanzania ni taifa ambalo ni legelege, haliko aggressive kwa lolote. Watu wake ni masikini...
Back
Top Bottom