twiga

Tanzania Portland Cement Company Limited (TPCC), also Twiga Cement is a cement-manufacturing company in Tanzania. It is the first company in Tanzania to start manufacturing cement; in 1966.As of 2020, Twiga Cement is a member of the Heidelberg Group and Twiga's shares of stock are listed on the Dar es Salaam Stock Exchange, where they trade under the symbol:TWIGA.

View More On Wikipedia.org
  1. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania KERO Lift za Majengo ya Victoria Plaza na Twiga House (Posta) ni mbovu, zitakuja ziue watu

    Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Leo ni jumanne ya pasaka toka mwokozi wetu YESU KRISTO afufuke Hii nimeleta kama taarifa kuwa rift za majengo ya Victoria plaza jengo lililopo mataa ya Morogoro road na Samora street ni mbovu sana na mda wowote litauwa watu Jengo lingine ni...
  2. britanicca

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ni kweli maiti zimebebwa na canter. Pia nyingine zimepelekwa Twiga

    Walisomba maiti kwa malori, wamezipeleka kule Wazo...Twiga Cement kwenda kuziteketeza kwenye yale matanuri ya kuchomea na kuyayushia mawe. Mkifuatilia pale Twiga lazima mtaambiwa kuwa siku mbili tatu hizi watu hawakutakiwa kwenda kufanya kazi lakin mitambo iliwashwa Naongea ninachojua Britanicca
  3. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Oliver Semuguruka 'Twiga' akatwa Kamati Kuu

    Twiga katenguliwa miguu na Kamati Kuu. Chezea Siasa za bongo
  4. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Oh Twiga Stars

    Twiga Stars jana tulipigwa 4-1,ni wazi kabisa kocha wetu Bakari Shimye,kwa sasa inatosha.Tumpe asante yake na tutafute makocha wenye ujuzi mkubwa
  5. B

    JamiiForums Tanzania Twiga Stars yaanza vizuri kuelekea Wafcon 2025 Morocco

    21 June 2025 Dar es Salaam, Tanzania TWIGA STARS YATWAA KOMBE LA MICHUANO YA CECAFA FULL MATCH FINAL CECAFA 2025 KENYA VS TANZANIA https://m.youtube.com/watch?v=0D7FA4xY-K4 Hivyo michuano ya CECAFA yazidi kuiimarisha kuelekea michuano ya mataifa ya kiafrika ya mpira wa miguu WAFCON itakayoanza...
  6. Shobi

    JamiiForums Tanzania Tanzania ndio nchi inaongoza kwa kuwa na wengi Simba Duniani, Kwanini waliweka mnyama mpole kwa Twiga kuwa Nembo

  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Je umewai kusikia Sauti (Mlio) wa Twiga?

    Wengi wetu hatuna ufahamu kuhusu kama Twiga anatoa Sauti au lah na hii ni kutokana na kuwa Twiga ni mnyama anayejulikana kwa kuwa kimya sana, lakini anaweza kutoa sauti chache zisizojulikana sana kwa wengi. Kwa ujumla, twiga huwasiliana kwa kutumia sauti za chini sana (infrasound) ambazo...
  8. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Unajua twiga analala vipi?

    Twiga mara nyingi hupumzika akiwa amesimama, lakini utafiti mpya unaonyesha kwamba wanalala chini mara nyingi zaidi kuliko ilivyofikiriwa hapo awali. Wakati wamelala chini, wao hukunja miguu yao chini ya miili yao, lakini zaidi wakiweka shingo zao juu. Twiga wamejulikana kuendelea kuvinjari na...
  9. Oya Tusepe

    JamiiForums Tanzania Sipendezwi na picha halisi ya twiga katika ndege za atcl

    Habari, Bila kupoteza muda niseme tu kwamba binafsi kama mtanzania, nakerwa na kuchukizwa sana na picha halisi ya Twiga iliyopo katika mkia wa ndege katika kila ndege ya Shirika la ndege la Tanzania ATCL. Sipendezwi na uamuzi huo wa kuweka picha halisi ya mnyama (Twiga) isiyokuwa na ubunifu...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Kiln Planner at Twiga Cement January, 2024

    Position: Kiln Planner Areas of Responsibility: As Assigned by the supervisor Reports To: MCC MANAGER Specific Knowledge: Preferably 5 years’ experience in kiln operations; experience in cement industry is an added advantage. The Management of Tanzania Portland Cement Public Limited Company is...
  11. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Twiga minerals yashinda kipengele cha kampuni za ubia na serikali

    Yatoa Gawio la Shilingi Bilioni 84 Serikalini Arusha Kampuni ya Twiga Minerals Cooperation Limited inayomilikiwa kwa ubia kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Barrick Gold Cooperation imeongoza katika kipengele cha Kampuni zenye ubia na Serikali katika utoaji Gawio...
  12. Sildenafil Citrate

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Twiga waonekana Maeneo ya Ubungo, Dar es Salaam wakisafirishwa kuelekea kusikojulikana

    Picha hii inadaiwa kuchukuliwa maeneo ya Ubungo, Dar es Salaam. Inadaiwa kuwa twiga hawa wanasafirishwa kinyume cha utaratibu hivyo mamlaka za Serikali ikiwemo Polisi zifuatilie kwa undani suala hili. Kadhalika picha hiyo imetumika Oktoba 10, 2025 katika mtandao wa Instagram na kuelezwa kuwa...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini tulimchagua Twiga awe Nembo ya Taifa la Tanzania?

    Najua lilikuwa ni Chaguo la kisiasa likiwa na sababu zake Twiga kiasili ni Mnyama mpole, mnyonge asiyependa shida na Chakula chake ni majani laini Twiga hawindi ila Nyakati fulani anawindwa na wanyama " wakali sana" like Simba, Chui na Kundi la " Mbwa mwitu" Kwanini tulimchagua Twiga?
  14. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement

    SERIKALI IMETOA UFAFANUZI KUHUSU UNUNUZI WA TANGA CEMENT UNAOFANYWA NA TWIGA CEMENT Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement, kuwa umefuata taratibu za kisheria na kwamba kampuni inayopinga ununuzi huo ya Chalinze Cement imeshafutiwa usajili...
  15. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Ahoji, Kwanini Tanga Cement Ilazimishwe Kuuzwa Twiga Cement

    KUNTI MAJALA AHOJI KWANINI TANGA CEMENT ILAZIMISHWE KUUZWA TWIGA CEMENT Mhe. Kunti Majala, Mbunge wa Viti Maalum tarehe 04 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga Cement wakati wa kuwasilishw akwa hoja ya bajeti ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara iliyosomwa na Waziri...
  16. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Tanga Cement vs Twiga Cement

    MBUNGE MHE. GETERE - TANGA CEMENT INA HIFADHI YA MALIGHAFI YA SARUJI HUKU TWIGA CEMENT WANA MITAMBO MIZURI YA KUZALISHA SARUJI Mbunge wa Jimbo la Bunda Vijijini Mhe. Boniphace Mwita Getere amegusia suala la Twiga Cement na Tanga Cement huku akichangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Uwekezaji...
  17. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Utaratibu Ufuatwe Baina ya Twiga Cement na Tanga Cement

    MBUNGE JUDITH KAPINGA ASISITIZA UTARATIBU UFUATWE BAINA YA TWIGA CEMENT NA TANGA CEMENT Mbunge wa Viti Maalmu Vijana Kupitia Kundi la Vijna, Mhe. Judith Kapinga jana tarehe 04 Mei, 2023 amechangia Bungeni suala la Twiga Cement kuinunua Tanga Cement katika hoja ya bajeti ya Wizara ya Uwekezaji...
  18. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Taratibu Zifuatwe Twiga Cement Kuinunua Tanga Cement

    MHE. DUNSTAN KITANDULA - TARATIBU ZIFUATWE TWIGA CEMENT KUINUNUA TANGA CEMENT Mbunge wa Jimbo la Mkinga, Tanga, Mhe. Dunstan Luka Kitandula wakati anachangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara amesema kuwa watu wa Tanga hawatakuwa tayari kuona Tanga Cement inageuka kuwa...
  19. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa Twiga Cement Kuinunua Tanga Cement Uwekwe Wazi ili Kuondoa Malalamiko

    MHE. TIMOTHE MNZAVA - MCHAKATO WA TWIGA CEMENT KUINUNUA TANGA CEMENT UWEKWE WAZI KUONDOA MALALAMIKO Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timotheo Paul Mnzava leo Bungeni wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara amesema Mchakato wa Kampuni ya Twiga Cement...
  20. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Manyara: Mtuhumiwa wa Ujangili akamatwa

    Mtuhumiwa wa ujangili wa Twiga ambaye amekuwa akisakwa kwa muda mrefu na askari wa Wanyamapori katika hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori Burunge, wilayani Babati mkoa Manyara Amos Benard Meja amekamatwa Jana usiku. Mtuhumiwa huyo amekamatwa kutokana na mtego ulioandaliwa na askari wa Mamlaka ya...
Back
Top Bottom