Kwanini tulimchagua Twiga awe Nembo ya Taifa la Tanzania?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,113
Najua lilikuwa ni Chaguo la kisiasa likiwa na sababu zake

Twiga kiasili ni Mnyama mpole, mnyonge asiyependa shida na Chakula chake ni majani laini

Twiga hawindi ila Nyakati fulani anawindwa na wanyama " wakali sana" like Simba, Chui na Kundi la " Mbwa mwitu"

Kwanini tulimchagua Twiga?
 
CCM ni Twiga wanakula ya huko huko juu wakishiba wanatudondoshea mbolea(Dungs) ya miradi ya kutuzuga ama ambayo kwa % kubwa wamepiga.
 
Najua lilikuwa ni Chaguo la kisiasa likiwa na sababu zake

Twiga kiasili ni Mnyama mpole, mnyonge asiyependa shida na Chakula chake ni majani laini

Twiga hawindi ila Nyakati fulani anawindwa na wanyama " wakali sana" like Simba, Chui na Kundi la " Mbwa mwitu"

Kwanini tulimchagua Twiga?
Wewe si ni mnyonge wewe Kwa mujibu wa shujaa wenu uchwara au?
 
Hatukumchagua, tumemrithi kutoka serikali ya mkoloni wa kiingereza.

1687111390056.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom