johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
Najua lilikuwa ni Chaguo la kisiasa likiwa na sababu zake
Twiga kiasili ni Mnyama mpole, mnyonge asiyependa shida na Chakula chake ni majani laini
Twiga hawindi ila Nyakati fulani anawindwa na wanyama " wakali sana" like Simba, Chui na Kundi la " Mbwa mwitu"
Kwanini tulimchagua Twiga?
Twiga kiasili ni Mnyama mpole, mnyonge asiyependa shida na Chakula chake ni majani laini
Twiga hawindi ila Nyakati fulani anawindwa na wanyama " wakali sana" like Simba, Chui na Kundi la " Mbwa mwitu"
Kwanini tulimchagua Twiga?