tundu lissu

  1. R

    Sheikh adai: Askofu Gwajima na Lissu wanamkosea sana Mama. Lissu sio wakufanya hivi, Mama alikufanyia hisani ulikuwa Mkimbizi

    "Askofu Gwajima, haya anayoyafanya kumtukana Mama aliyemsaidia kumuweka pale si sahihi." "Tundu Lissu sio wakufanya hivi, Mama kamfanyia hisani, Tundu Lissu alikuwa Mkimbizi. Mama kafunga safari akaenda kumjulia hali, Mama kampigania maisha yake Bungeni akarejeshewa akamwambia rudi sio Mkimbizi...
  2. R

    Mzee mstaafu, ikiwa Reforms zimeshafanyika, na pesa ya uchaguzi ipo, na wapinzani wapo, kwanini kuhangaika na CHADEMA na NRNE?

    Salaam! Nimesikia Mzee Mstaafu akidai Reforms zote muhimu zimeshafanyika. Sasa ikiwa Reforms zimeshafanyika, 1. Je, Tundu lissu Yuko gerezani kwa kesi ya uhaini kwa tuhuma zipi? 2. Anashtakiwa uhaini juu ya Nini? Alitamka Nini au alishinikiza Nini na kumfanya awe jella? 3. Na ikiwa kweli...
  3. Kifo cha Edgar Lungu na uhaini wa Tundu Lissu ni funzo kwa Rais Samia

    Naingia kwenye hoja moja kwa moja pasipo kuwachosha wala kuwapotezea muda. Naomba niwapitishe kwenye kisa kichungu lakini chenye nguvu kinachotokea Zambia leo, ambacho kila dikteta wa Kiafrika anapaswa kuzingatia kwa umakini mkubwa sana. Mnamo mwaka 2017, Edgar Lungu alikuwa Rais wa Zambia...
  4. Marafiki wa Tundu Lissu Watangaza tarehe 25/06/2025 kuwa siku ya Maombi Maalum

    Kimsingi Marafiki wa Tundu Lissu ni Wananchi wote wa Tanzania, kasoro Viongozi wa Tanzania na familia zao, Mashemeji zao na Chawa wao. Kwa maana hiyo hii ni siku ya Maombi Kitaifa
  5. Uonevu dhidi ya Lissu: Watanzania hatuwezi kuendelea kuitwa taifa lenye akili halafu tukanyamazie ujinga wa mamlaka

    Wana JF heshima mbele! Kwa anayefuatilia kesi ya Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu kwa umakini na kwa kutumia misingi sahihi ya taaluma ya sheria, bila ushabiki wa kisiasa, ataona wazi kuwa hii si kesi ya jinai, bali ni maigizo ya kisheria yaliyopangwa na watu wasiolitakia mema taifa hili. Sheria...
  6. K

    Mie nilijua Tundu Lissu yupo kwa VIP za sero

    Kwa ufahamu wangu mdogo wa mambo yanayohusiana na sero nilidhani Tundu Lissu atakuwa SEHEMU nyeti na salama zenye ulinzi na chakula Bora kabisa Nasema hivi kwa sababu niliwahi kufika pale Kisongo gerezani kipindi wale watuhumiwa wa mauaji ya Kimball wa Rwanda Banyamulenge wakiwa wamewekwa...
  7. Prosecution or Persecution: Unpacking the Tundu Lissu Debate Igniting Tanzania's Digital Sphere

    Prosecution or Persecution: Unpacking the Tundu Lissu Debate Igniting Tanzania's Digital Sphere Introduction In Tanzania's vibrant and often contentious digital landscape, few topics have ignited as much passion and division as the legal proceedings against prominent opposition figure Tundu...
  8. Makala maalumu ya historia ya Tundu Lissu: Ni hasa huyu mtu? Mambo saba (7) usiyoyajua kumhusu

    MAMBO SABA USIYO YAJUA KUHUSU TUNDU LISSU. - Courtesy: BBCSwahili.com Katika historia ya siasa za Tanzania, ni vigumu kutaja majina ya wanasiasa walioteka hisia za watu kwa hoja, ujasiri na misimamo bila kumtaja Tundu Antiphas Lissu. Kwa wengi, yeye ni alama ya mapambano ya haki, demokrasia na...
  9. Nyerere, Magufuli na Sasa Tundu Lissu

    Hawa ndio wataacha alama ya milele kwa Taifa la TANZANIA Watakumbukwa kwa vizazi na vizazi miaka mingi ijayo Nyerere atakumbukwa kwa uadilifu. Magufuli atakumbukwa kwa uthubutu wa kufanya. Lissu atakumbukwa kwa reform zitakazo ishi kwa vizazi na vizazi!! Mungu ibariki Tanzania
  10. Alichofanya Abacha kwa Ken Saro Wiwa ndicho anachofanya Samia kwa Tundu Lissu. Wanigeria waliona sawa enzi zile leo ni kitovu cha Ugaidi na Ufisadi.

    Hakuna jipya chini ya jua. Huu ni msemo maarufu sana unaomaanisha hakuna kitu kinachofanyika leo duniani kwenye maisha ya kawaida ya binadamu ambacho ni kipya. Miaka ya 1990- 1997 nchini Nigeria alitokea Dikteta maarufu sana Duniani aliyejulikana kama Generali Sani Abacha. Kiongozi huyu wa...
  11. Maandamano Bila Kikomo: Serikali Ishinikizwe imwachie Huru Tundu Lissu

    Katika mazingira ya kisiasa ambapo haki za msingi za raia zinaendelea kukandamizwa, maandamano ya kiraia yanabaki kuwa njia halali na ya mwisho ya wananchi kudai haki yao. Kufuatia kukamatwa na kushikiliwa kwa mwanasiasa mashuhuri Mhe. Tundu Lissu – bila msingi wa haki na kwa nia ya kisiasa –...
  12. U

    Wito kwa Watanganyika wote wapenda haki: Tum - support Tundu Lissu na CHADEMA kwa kujitoa sadaka/dhabihu kwa ajili ya wokovu/ukombozi wa sisi sote

    Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA ameamua kujitoa mwenyewe sadaka/dhabihu ya mateso kwa ajili ya ukombozi na wokovu wa Watanganyika wote Angekuwa ni mtu anayefanya haya kwa faida binafsi (personal benefits) ili apate vitu vya dunia hii kama fedha, vyeo, majumba, ardhi nk vitokanavyo na dhuluma...
  13. Hitimisho langu! Kwa nilivyomsikia Lissu jana na nilivyomsikia Samia leo, Acha tu nchi izidi kuwa masikini na deni la taifa lizidi kuongezeka

    Kwa nilivyomsikia Tundu Lissu jana akitema madini kwa ufasaha wa hali ya juu na akili iliyotulia bila hata papara huku akiwa anaishi na kuteswa Gerezani na namna nilivyomsikia Rais Samia leo akimsema vibaya mbunge wa CCM Luhaga mpina kwa namna alivyosimama kutetea maslahi ya wananchi wake...
  14. Mahakama Kuu yaagiza Lissu aletwe Mahakamani Juni 27, 2025 katika kesi ya marejeo aliyoifungua

    Kesi ya Marejeo iliyopo Mahakama Kuu Dar esn Salaam iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri Na. 14496 ya 2025 ambayo ilipangwa kutajwa leo Juni 17, 2025 imeahirishwa hadi Juni 27, 2025. Shauri hilo lilipangwa kusikilizwa kwa njia ya Mtandao mbele ya Jaji...
  15. Tundu Lissu ashauriwe ajisalimishe kwa serikali atoke magereza, anateseka bure tu

    Watu walio karibu na Tundu Lissu wamshauri ajisalimishe kwa serikali ya CCM atoke magereza tu, hakuna atakachofanikisha kwa Tanzania ya sasa kwa kuendelea na msimamo wake huo, hakuna watu wengi walio tayari kupambania sambamba naye kwa vitendo kile anachopambania yeye. Hakuna sababu ya...
  16. K

    Kuzuiwa kuabudu kwa Tundu Lissu na kufungwa kwa kanisa la Gwajima kunamtia doa Rais Samia

    Huu ni utafiti wangu mdogo nilioufanya jana na leo,sikutegemea kama kesi ya Antipas Lissu ingefwatiliwa na watu wengi kiasi hiki. Leo wanaume kwa wake wanaijadili kauli ya Tundu lissu kwa nini azuiwe kuabudu? Ukitegemea lawama zote anatupiwa Rais wa inchi ambaye ni Muisilamu, haina tofauti na...
  17. PreGE2025 Wakili wa Kimataifa Robert Amsterdam "Lissu hayupo peke yake – Dunia nzima Inatazama"

    Wakili wa Kimataifa, "Robert Amsterdam" amerusha mawe mawili gizani kwa kuisakama na kuiponda serikali ya CCM inayoongozwa na Raisi Samia Suluhu Hassan kwa ukandamizaji wa haki, sheria na uonevu kwa Raia wa Tanzania. Kupitia ukurasa wake wa X Robert Amsterdam ametweet na kusema, "Tunampongeza...
  18. B

    Tundu Lissu ni shujaa

    NImekuwa najitahidi sana kufuatilia dhamira ya ndani ya Tundu Lissu na nimekuja kugundua inawezekana hana nia ovu na taifa hili. Inawezekana ana mapungufu yake mengi mathalani kutumia lugha za uchochezi au tonne mbaya anapokuwa anazungumza au inawezekana(sina uhakika) anatumiwa na mataifa ya...
  19. Ushauri: Ondoa Kesi ya Tundu Lissu Mahakamani

    Wakati wote tumekuwa upande wako kukupigania 2025 Mitano Tena, kabla hata ya vuguvugu kuwa utagombea jaribio la awali kupima upepo wako likichagizwa na habari ya Gazeti kuwa 2025 hugombei, Ulisimama kidete tulikutia moyo kuwa you can make it. Mwaka 2024 Nuru yako iliendelea Kuangaza na kuonesha...
  20. Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu

    Tundu Lissu alizaliwa tarehe 20 Januari 1968 na alisoma shule ya msingi Mahambe, Singida. Katika miaka yake yote saba shuleni hapo, Lissu hakukubali hata mara moja kuamka alfajiri saa 11 kuwahi namba na daima aligomea kulima mashamba ya walimu, kuwachotea maji na kazi za namna hiyo kwani kwake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…