Mchungaji Samweli Karao wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Ngaramtoni mkoani Arusha, ameendesha maombi maalum Julai 23, 2025 kwa ajili ya viongozi wa CHADEMA, akimjumuisha Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Tundu Lissu.
Katika maombi hayo, Mchungaji Karao alimuomba...