tundu lissu

  1. Just Pray

    GE2025 Kiongozi wa kimila asema Wamasai wote ni CCM, Wamasai wenyewe wampinga vikali, mmoja asema 'Mimi ni Tundu Lissu damudamu'

    Kiongozi wa kimila wa jamii ya Kimaasai nchini Tanzania, Laigwanan Isack Olekisongo, ametoa wito kwa jamii hiyo kote nchini kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, huku akisisitiza umuhimu wa kuwachagua madiwani na wabunge watakaowaletea...
  2. S

    Mwambieni Tundu Lissu aheshimu taratibu za Mahakamani vinginevyo kila cku mtakuwa mnalalamika

    Kwanza Mahakama inamheshimu sana Lissu maana angekuwa mtu Kama mm kwa yale maneno yasiyo na staha mahakamani wengine tungeshakula behind the bars miezi sita kwa contempt of court lakini anachukuliwa poa Mahakama imemaliza kesi Lissu ameshakabidhiwa magerza, nyie mnataka kupiga stori naye wap na...
  3. 100 others

    Kimewaka! Mawakili wa Tundu Lissu waunguruma kwa ukali, watoa kauli nzito ya unyama unaofanywa kwa Lissu

    Umoja wa mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu wameeleza hali anayopitia gerezani huku Mahakama ikishindwa kufanya maamuzi Mawakili hao wameeleza kitendo kilichotokea wakati wa kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili Lissu Julai 30,2025 katika Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu ambapo...
  4. Just Pray

    GE2025 CHADEMA yalaani askari magereza kumsukuma mwenyekiti Tundu Lissu

    TAARIFA KWA UMMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapaza sauti kwa hasira na huzuni kubwa kulaani vikali kitendo cha kinyama na kisicho cha kibinadamu kilichotekelezwa na askari wa magereza, ambaye alimshambulia kwa kumsukuma kwa nguvu na kumuangusha Mwenyekiti wa Chama Taifa...
  5. Richard

    Kwanini Askari Magereza wakiwa mahakamani kwenye kesi ya Tundu Lissu wavalia matambara usoni kuficha nyuso zao?

    Nimepatwa na mshangao leo na joto lote hili la Da-es-Salaam hawa askari wa jeshi la magereza ambao humsindikiza Tundu Lissu mahakamani na kusimama mle, bila haya wa soni huvalia matambara usoni kuficha nyuso zao kwa muda wote wa kesi inavyoendelea. Ni nini hii kuficha aibu, kuona haya, kuogopa...
  6. Consigliere

    Tafakuri ya Kisheria Juu ya Kesi ya Tundu Lissu na Muelekeo wa Mahakama Nchini Tanzania

    Utangulizi Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa kesi inayomkabili Mwanasheria na Mwanasiasa mashuhuri nchini, Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu. Katika ufuatiliaji huu, kwa masikitiko makubwa, nimejikuta nikitafakari nafasi ya Mahakama katika jamii ya kidemokrasia. Mahakama ambayo...
  7. Waufukweni

    GE2025 VIDEO: Askari Magereza wamsukuma Lissu kidogo aanguke Kizimbani wakati akiaga Mahakamani

    Wakuu! Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, alisukumwa na baadhi ya Askari wa Magereza wakati akitoka kizimbani akiwa anaaga kwa waliofika kufuatilia mwenendo wa Kesi yake ya Uhaini, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, hali iliyomfanya akaribie kuanguka kabla ya kudakwa na Askari wengine waliokuwa...
  8. Waufukweni

    GE2025 Tundu Lissu: Ni ajabu Mshtakiwa ndiye anayedai apelekwe Mahakama Kuu ashitakiwe, kama ana hatia anyongwe!

    Tundu Lissu "Ni ajabu Mheshimiwa Hakimu hapa ni Mshtakiwa anaedai apelekwe mahakama kuu akashtakiwe, Kama Mahakama itaona ana hatia anyongwe. Twendeni tukapambane, si mnataka? Si mmefungua kesi ya uhaini? Pelekeni taarifa mahakama kuu." Fuatilia hapa: Mwenendo wa Kesi ya Lissu (Uhaini)...
  9. Waufukweni

    GE2025 Wakili wa Jamhuri aomba Mahakama iahirishe tena Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

    Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga, kwa niaba ya upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameomba mahakama kuahirisha kwa mara nyingine usikilizwaji wa kesi hiyo. Fuatilia hapa: Mwenendo wa Kesi ya Lissu...
  10. Roving Journalist

    GE2025 Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yaahirishwa hadi Agosti 13,2025

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu baada ya kuahirishwa Julai 15, 2025 inatarajiwa kuendelea tena leo, ambapo bado inasubiriwa hatua ya Ofisi ya Mwendesha mashtaka (DPP) kufanya uamuzi wa kufikisha kesi hiyo Mahakama Kuu ambayo ina hadhi ya kisheria. Mara ya...
  11. Prof_Adventure_guide

    Tundu Lissu na Mapambano ya Kikatiba: Tunapojifunza Sheria, si Kusikiliza Kejeli za Mawakili wa Serikali

    Leo hii, Tundu Antiphas Lissu, mwanasheria wa kiwango cha juu, anarejea katika chombo cha haki — mahakama — si kwa ajili ya maigizo ya kisiasa, bali kwa ajili ya kuitafuta na kuisimamia constitutional justice kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hususan Ibara ya 13(6)(a)...
  12. B

    A visionary Leader Never Stay in Comfort Zone. Tundu Lissu ameonesha mfano kwa vitendo

    Viongozi Wenye Maono Duniani kote huwa hawaridhiki kwa kidogo wanachopata. Always hupambana kuhakikisha Ndoto zao zinatimia bila kujali gharama wanazolipa. Hii ni njia ya mafanikio waliyopita akina Putin Rais wa Urusi, Donald Trump Rais wa Marekani na Viongozi wengine wengi waliofanikiwa...
  13. Idugunde

    Tundu Lissu ndie mwanasiasa anayekubalika kwa kusimamia haki Afrika na dunia nzima. Anajulikana kuliko hata baadhi ya marais wa Afrika

    We fikiria bunge la Ulaya linajadili mustakabali wake kisiasa na kimaisha. Bunge la senate la Usa linajadili musfakabali wake kisiasa na kimaisha. Huyu mtu anakubalika dunia nzima na anawazidi hadi baadhi ya marais wa wa Africa.
  14. Fbn

    Ulinzi wa Tundu Lissu unajambo fulani ambalo siku moja anaweza kutueleza tukabaki mdomo wazi

    Kuwekewa walinzi wengi mpaka wengine na mabunduki kwenye kesi ya mchongo kutoka juu ni wazi kuwa kama angekuwa mtu wa tamaa ya pesa na maisha mazuri basi angekubari. Wanachofanya kumuwekea ulinzi mkali na kuzuia watu kumuona ni kwa ajili yao kujaribu kumuomba kusitisha kama No reform No...
  15. VUTA-NKUVUTE

    Tundu Lissu: Turufu pekee iliyobaki kwa Rais Samia

    Najua hamtaniamini. Najua mpo mtakaobisha vya kutosha na kutisha. Mtapaniki kuliko pikipiki ya kutumia kiki. Lakini, nawaambia jambo hili. Ni jambo geni na kubwa lakini muhimu na linalowezekana kwenye siasa za sasa. Siasa za sasa zinahitaji amshaamsha. Haifichiki tena kuwa mambo ndani ya CCM...
  16. DuaZaMama

    GE2025 Mchungaji Arusha amwombea Lissu

    Mchungaji Samweli Karao wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Ngaramtoni mkoani Arusha, ameendesha maombi maalum Julai 23, 2025 kwa ajili ya viongozi wa CHADEMA, akimjumuisha Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Tundu Lissu. Katika maombi hayo, Mchungaji Karao alimuomba...
  17. Mto wa mbu

    Nakuuliza Samia vipi adui wako ni Tundu Lissu ?

    Samia alitumia kila aina ya ufedhuli kuibomoa Chadema. Amewaweka lockdown viongozi wa Chadema hakuna kwenda nje, amewanyima ruzuku, ameanzisha migogoro uchawara na kubwa zaidi amempa Lissu Bogous Charges. Mungu si athuman malipo ni hapa hapa. Samia ndani mwake anakabiliwa na upinzani mkubwa...
  18. Waufukweni

    GE2025 Madeleka: Niliunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu hakusema atazuia uchaguzi, kama angesema hivyo kabla, nisingemuunga mkono

    Wakili Peter Madeleka akihojiwa na Jambo TV amesema, "Wakati namuunga mkono ili Tundu Lissu achaguliwe na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama, hakuna mahala popote alisema atazuia Uchaguzi akiingia madarakani, na kama angelisema hivyo mimi nisingemuunga mkono."
  19. Idugunde

    Kama wanaibiana wao kwa wao kura za ndani CHADEMA ya Lissu ingenusilika?

    Kwanza kabisa walikiuka katiba maana mgombea wa urais amehudumu vipindi viwili vilivyowekwa kwa mujibu wa katiba. Mbaya zaidi hata kwenye chaguzi za ndani wanaibiana kur Taifa hili linahitaji katiba mpya ili kudhibiti huu uozo. Naamanisha wizi wa kura
  20. Subira the princess

    Ni yeye hakuna mwingine, bora jana kuliko kesho

    Wasalaam. Ukweli mchungu ni kwamba babu kikwete ndie kinara wa mikataba mibovu inayolinyonya taifa enzi ya utawala wake na utawala huu wa sasa. Na sasa kajipenyeza chamani ba serikali kakalia kiti cha dereva na soon kuna kutumbukia bondeni. Ushahidi huu hapa.
Back
Top Bottom